Lowassa: Siwezi kuzuia mafuriko kwa mikono
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amesema kuwazuia wananchi kwenda nyumbani kwake kumshawishi agombee urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu ni sawa na kuzuia mafuriko kwa mkono.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-paqSUUYV6CQ/VXdI-J72xgI/AAAAAAAAUtg/jVaNpwOsF9o/s72-c/Lowassa%2Bawasili%2BMusoma.jpg)
HUWEZI ZUIA MAFURIKO KWA MIKONO
![](http://4.bp.blogspot.com/-paqSUUYV6CQ/VXdI-J72xgI/AAAAAAAAUtg/jVaNpwOsF9o/s640/Lowassa%2Bawasili%2BMusoma.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-bULCAGaGLr4/VXdI6G5_PXI/AAAAAAAAUtU/1NSCYh6QbBE/s640/LOWASSA%2BAWASILI%2BmUSOMA2.jpg)
10 years ago
Vijimambo21 Jul
Nape asema CCM imezuia mafuriko kwa mikono.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Nape-21july2015.jpg)
Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimejigamba kwamba kimeweza kuzuia ‘mafuriko’ kwa mikono huku kikiwatakia kila la kheri baadhi ya makada wake waliotangaza kutogombea kupitia chama hicho pamoja na wale waliokihama na wanaotaka kukihama.
Mwishoni mwa wiki iliyopita waliokuwa madiwani jimbo la Monduli kupitia CCM mkoani Arusha, walitangaza kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), huku wabunge wa viti maalum, Ester Bulaya na James Lembeli...
9 years ago
Mtanzania29 Oct
Lowassa ataka Kura zihesabiwe kwa mikono
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
MGOMBEA urais wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa ameitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kusitisha kuhesabu kura kwa kutumia Teknolojia ya Tehama na badala yake zihesabiwe kwa mikono.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Lowassa alisema jaridhishwi na mwenendo wa matokeo ya kura za urais unavyotolewa na kueleza kuwa ukusanyaji huo wa matokeo umekuwa...
9 years ago
Mwananchi25 Sep
Lowassa: Siwezi kukubali matokeo kama..
10 years ago
Mwananchi06 Apr
Askofu Gwajima: Siwezi kuwatupa Dk Slaa, Lowassa
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-8NdoiWMeUrk/VYBpDg5hPYI/AAAAAAAAU9M/H4AUX77SoGA/s72-c/DSC_4662.jpg)
HUWEZI ZUIA MAFURIKO KWA MKONO, LOWASSA AWEKA REKODI MPYA YA WADHAMINI SINGIDA, 22,758 WAMDHAMINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-8NdoiWMeUrk/VYBpDg5hPYI/AAAAAAAAU9M/H4AUX77SoGA/s640/DSC_4662.jpg)
10 years ago
Raia Mwema01 Jul
‘Mafuriko’ ya Lowassa
KAMBI ya Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa, imejigamba kutimiza idadi ya wadhamini 879,000
Waandishi Wetu
9 years ago
Mtanzania15 Aug
Polisi Moshi: Ilikuwa ni lazima kuzuia msafara wa Lowassa
Na Upendo Mosha, Mosha
JESHI la Polisi mkoani Kilimanjaro limetoa ufafanuzi kwa vyomba vya habari kuhusiana na uamuzi wake wa kuzuia msafara wa mgombea wa urais Chadema, Edward Lowassa, likisema kuwa lilifanya hivyo kutokana na wingi wa magari na pikipiki zilizokuwa zikimsindikiza.
Akizungumza na vyombo vya habari, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Fulgence Ngonyani, alisema msafara uliokuwa ukimsindikiza Lowassa kwenye mazishi ya aliyekuwa mwasisi wa Chama Cha Mapinduzi, Peter Kisumo,...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-7MQZxzXFXvY/VXiBVsuIBUI/AAAAAAAAUu4/4RlNIRglDr0/s72-c/Lowassa%2B3.jpg)
MAFURIKO YA LOWASSA YAHAMIA SIMIYU
![](http://1.bp.blogspot.com/-7MQZxzXFXvY/VXiBVsuIBUI/AAAAAAAAUu4/4RlNIRglDr0/s640/Lowassa%2B3.jpg)