MAFURIKO YA LOWASSA YAHAMIA SIMIYU
![](http://1.bp.blogspot.com/-7MQZxzXFXvY/VXiBVsuIBUI/AAAAAAAAUu4/4RlNIRglDr0/s72-c/Lowassa%2B3.jpg)
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akiwa juu ya gari lake, akiwapungia mamia ya wana CCM waliofika kumdhamini huko Lamadi, wilaya ya Busega mkoani Simiyu, pamoja na wananchi wengine. Mh. Lowassa, aliwasili huko Jumanne Juni 10, 2015, ili apate wana CCM wa kumdhamini baada ya kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015. Lowassa, ambaye kwa sasa yuko Kanda ya ziwa, alipata maelfu ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Ro1X9pDa3WU/Vc9tF4mE2EI/AAAAAAAAAGc/l3rCL32sy8k/s72-c/tengeru.jpg)
MAFURIKO YA LOWASSA YAHAMIA JIJINI ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ro1X9pDa3WU/Vc9tF4mE2EI/AAAAAAAAAGc/l3rCL32sy8k/s640/tengeru.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UmqS5nPVW18/Vc9vX9wvQ2I/AAAAAAAAAIA/suOGZyK7Q8w/s640/MMGL0876.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-NnqFSpGuHMY/VY69maCz_HI/AAAAAAAHkfU/2xQke3F9Azo/s72-c/MMGL0288.jpg)
MAFURIKO YA LOWASSA YAHAMIA JIJINI DAR, AKOMBA UDHAMINI WA WANACCM 212, 150
![](http://3.bp.blogspot.com/-NnqFSpGuHMY/VY69maCz_HI/AAAAAAAHkfU/2xQke3F9Azo/s640/MMGL0288.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iY7vB1Zowsw/VY69pCNZwTI/AAAAAAAHkfg/Kg7nre7entE/s640/MMGL0326.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dDC09neOD8g/VY7UXwbTtLI/AAAAAAAHkmk/A_iN27UXIaQ/s72-c/MMGL1678.jpg)
MAFURIKO YA LOWASSA YAHAMIA JIJINI DAR, KINGUNGWE AMWAGA WINO HADHARANI KUMUUNGA MKONO
![](http://4.bp.blogspot.com/-dDC09neOD8g/VY7UXwbTtLI/AAAAAAAHkmk/A_iN27UXIaQ/s640/MMGL1678.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Wg8laQljgFI/VfrSWLbyYUI/AAAAAAAACNU/t5h_Y0MGm_E/s72-c/OTH_5595.jpg)
LOWASSA AENDELEA NA ZIARA ZAKE ZA KAMPENI, BARIADI MKOANI SIMIYU LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-Wg8laQljgFI/VfrSWLbyYUI/AAAAAAAACNU/t5h_Y0MGm_E/s640/OTH_5595.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-kHedDk42baw/Vh_DHeBf1pI/AAAAAAABXXU/M6uNbbsXvyg/s72-c/0.jpg)
LOWASSA AENDELEA NA ZIARA ZAKE ZA KAMPENI, MAGU MKOANI SIMIYU LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-kHedDk42baw/Vh_DHeBf1pI/AAAAAAABXXU/M6uNbbsXvyg/s640/0.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xMxuJHBnUZg/Vh_B-SbHIcI/AAAAAAABXWg/JzOKQBbASbY/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fLPH_WeqQ6M/Vh_K4FgwP4I/AAAAAAABXYA/fkmFJAhjXDw/s640/10.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0IHA_u_oAvg/Vh_K4aqUr_I/AAAAAAABXYI/QOTa7wrGNEU/s640/11.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MDKCRHAIu8A/Vh_B_3skMUI/AAAAAAABXWo/QgveB20XTY0/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xl7BFdNoOoE/Vh_CCwGsKpI/AAAAAAABXW0/nn-BzwFhbxA/s640/3.jpg)
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-_OBeVZ13YO0/VXjfsHLdblI/AAAAAAAAfCg/_94jK8UQfQ4/s1600/1.jpg)
LOWASSA APOKELEWA KWA KISHINDO MKOANI SIMIYU, APATA WADHAMINI 5,000
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-M-DYLI0WB9Q/VXhocOICSzI/AAAAAAAHeis/XQKZvvlkfCM/s72-c/unnamedL1.jpg)
LOWASSA APOKELEWA KWA KISHINDO SIMIYU, ADHAMINIWA NA WANACHAMA WA CCM ELFU 5
![](http://3.bp.blogspot.com/-M-DYLI0WB9Q/VXhocOICSzI/AAAAAAAHeis/XQKZvvlkfCM/s640/unnamedL1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-u_zRe5zz3S8/VXhocNVnKkI/AAAAAAAHeio/XLV9UIPWALE/s640/unnamedL2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ReLtUCH2P_g/VXhocK4qV0I/AAAAAAAHeiw/mVbigpuuek4/s640/unnamedL3.jpg)
10 years ago
Raia Mwema01 Jul
‘Mafuriko’ ya Lowassa
KAMBI ya Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa, imejigamba kutimiza idadi ya wadhamini 879,000
Waandishi Wetu
9 years ago
Mtanzania29 Sep
Mafuriko yamzidi nguvu Lowassa
*Avunja mkutano Tanga kwa hofu watu kupoteza maisha
Fredy Azzah na Amina Omari, Tanga
WAKATI baadhi ya watu wakimshawishi kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Edward Lowassa, alisema hawezi kuzua mafuriko kwa mikono.
Lakini jana jijini Tanga mafuriko hayo (watu) yalitaka ‘kumsomba’ kutoka na maelfu ya watu kufurika katika uwanja Tangamano kwa ajili ya kumsikiliza.
Baada ya kuona watu wanazidi kuongezeka, huku wengi wakianguka na kupoteza fahamu, Lowassa alitangaza kuuvunja...