Mafuriko yamzidi nguvu Lowassa
*Avunja mkutano Tanga kwa hofu watu kupoteza maisha
Fredy Azzah na Amina Omari, Tanga
WAKATI baadhi ya watu wakimshawishi kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Edward Lowassa, alisema hawezi kuzua mafuriko kwa mikono.
Lakini jana jijini Tanga mafuriko hayo (watu) yalitaka ‘kumsomba’ kutoka na maelfu ya watu kufurika katika uwanja Tangamano kwa ajili ya kumsikiliza.
Baada ya kuona watu wanazidi kuongezeka, huku wengi wakianguka na kupoteza fahamu, Lowassa alitangaza kuuvunja...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Mwema01 Jul
‘Mafuriko’ ya Lowassa
KAMBI ya Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa, imejigamba kutimiza idadi ya wadhamini 879,000
Waandishi Wetu
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-7MQZxzXFXvY/VXiBVsuIBUI/AAAAAAAAUu4/4RlNIRglDr0/s72-c/Lowassa%2B3.jpg)
MAFURIKO YA LOWASSA YAHAMIA SIMIYU
![](http://1.bp.blogspot.com/-7MQZxzXFXvY/VXiBVsuIBUI/AAAAAAAAUu4/4RlNIRglDr0/s640/Lowassa%2B3.jpg)
9 years ago
GPLSIRI YA MAFURIKO YA LOWASSA, MAGUFULI...
9 years ago
Mwananchi17 Aug
Lowassa: Hii ni nguvu ya umma
10 years ago
Dewji Blog10 Jun
Mafuriko ya Lowassa yatikisa mkoa ya Mara
![](http://4.bp.blogspot.com/-paqSUUYV6CQ/VXdI-J72xgI/AAAAAAAAUtg/jVaNpwOsF9o/s640/Lowassa%2Bawasili%2BMusoma.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-bULCAGaGLr4/VXdI6G5_PXI/AAAAAAAAUtU/1NSCYh6QbBE/s640/LOWASSA%2BAWASILI%2BmUSOMA2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Ro1X9pDa3WU/Vc9tF4mE2EI/AAAAAAAAAGc/l3rCL32sy8k/s72-c/tengeru.jpg)
MAFURIKO YA LOWASSA YAHAMIA JIJINI ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ro1X9pDa3WU/Vc9tF4mE2EI/AAAAAAAAAGc/l3rCL32sy8k/s640/tengeru.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UmqS5nPVW18/Vc9vX9wvQ2I/AAAAAAAAAIA/suOGZyK7Q8w/s640/MMGL0876.jpg)
9 years ago
Dewji Blog12 Sep
Mafuriko ya Lowassa yaendelea leo mjini Singida
![](http://1.bp.blogspot.com/-fItnEA5FhYw/VfRMU-BoYVI/AAAAAAAABu4/izD8sebFzC0/s640/OTH_2203.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2FWBBWLBMJ0/VfRMU-MbPEI/AAAAAAAABu8/VU37CGlmits/s640/OTH_2267.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WJWAy7qSvZg/VfRMVKdJHxI/AAAAAAAABvA/e0OblFoHic4/s640/OTH_2295.jpg)
10 years ago
Mwananchi26 Mar
Lowassa: Siwezi kuzuia mafuriko kwa mikono
9 years ago
Raia Mwema10 Sep
Wazee watazuia mafuriko Lowassa na kuliokoa taifa?
KUNA msemo kuwa; “Penye wazee haliharibiki neno”.
Lula wa Ndali Mwananzela