Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa: Hii ni nguvu ya umma

Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa amesema anawatakia kila la heri wanaobeza nguvu ya umma.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Hii Ndiyo Shughuli ya Lowassa Kesho.. Je! Hao Wana CCM Wengine Wanaotarajia Kutangaza nia Wana Nguvu ya Kutosha?


Hii ndiyo shughuli ya Lowassa kesho.. Uwanja wa Sheikh Amri Abeid utatapika kesho ...Je! Hao wana CCM wengine wanaotarajia kutangaza nia wana nguvu ya kutosha? Makongoro, Wasira, Membe, Mwigulu... Mkombozi wenu ni CHIMWAGA (NEC) tu..

 

9 years ago

Raia Mwema

Nguvu ya umma yashinda mgogoro wa ardhi Mbarali

HATIMAYE serikali imekiri kuwa hekta 1,870 ziliingizwa kwenye Shamba la Kapunga, katika Wilaya ya

Felix Mwakyembe

 

9 years ago

Mtanzania

Mafuriko yamzidi nguvu Lowassa

LOWASSA 1*Avunja mkutano Tanga kwa hofu watu kupoteza maisha

 

Fredy Azzah na Amina Omari, Tanga

 

WAKATI baadhi ya watu wakimshawishi kuwania urais kupitia  Chama Cha Mapinduzi (CCM), Edward Lowassa, alisema hawezi kuzua mafuriko kwa mikono.

Lakini jana jijini Tanga mafuriko hayo (watu) yalitaka ‘kumsomba’ kutoka na maelfu ya watu kufurika katika uwanja Tangamano kwa ajili ya kumsikiliza.

Baada ya kuona watu wanazidi kuongezeka, huku wengi wakianguka na kupoteza fahamu, Lowassa alitangaza kuuvunja...

 

10 years ago

Mwananchi

Nguvu hii ya wananchi haizuiliki

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Jumapili iliyopita umeacha alama isiyofutika katika maisha ya Watanzania – watawala na watawaliwa.

 

9 years ago

Vijimambo

LOWASSA APATA MAPOKEZI YA NGUVU MJINI TARIME

Vijana wa Mjini Tarime wakiongoza mapokezi ya Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, alipowasili mjini Tarime kwa Mkutano wa Kampeni, Oktoba 10, 2015.PICHA NA OTHMAN MICHUZI. Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akiwahutubia wananchi wa Tarime katika Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Sabasaba, Tarime Mjini, Mkoani Mara Oktoba 10,...

 

10 years ago

Michuzi

Jumapili hii njoo ushuhudie mchuano wa nguvu wa ma-DJ wakali club bilicanas

Jumapili hii njoo ushuhudie mchuano wa nguvu kutoka kwa ma Dj wakali wa bongo watakaochuana pale juu ni @djzeroxxl @chokadj na @djvasley hii ni ndani ya @bilznightclub pekee! Unakosaje kushududia ni Dj gani atapagawisha zaidi? Airtel watatoa zawadi kibao 🎁🎁🎁Kiingilo ni buku 10 tu TAG kuwajulisha washkaji 👍 FOLLOW: @airtel_tanzania

 

10 years ago

Vijimambo

SKYLIGHT BAND WAENDELEA KUTOA BURUDANI YA NGUVU JIJI DAR, NI IJUMAA HII TENA

Binti mwenye sauti ya kumtoa Nyoka pangoni, Ashura Kitenge akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) ndani ya kiota cha Thai Village, Masaki jijini Dar es Salaam Ijumaa iliyopita huku akipewa sapoti na Meneja wa Skylight Band, Aneth Kushaba AK47 pamoja na Kisura mwingine wa Skylight Band anayefamika kwa jina la Baby. Tukutane baadae tupunguze stress za wiki nzima kwa burudani iliyoenda shule na sehemu ya watu wastaarabu kama kawaida na mtonyo wetu ule ule getini.Msanii...

 

10 years ago

GPL

SKYLIGHT BAND WAENDELEA KUTOA BURUDANI YA NGUVU JIJI DAR, NI IJUMAA HII TENA‏

Binti mwenye sauti ya kumtoa Nyoka pangoni, Ashura Kitenge akiimba kwa hisia kali mbele ya mashabiki wa Skylight Band(hawapo pichani) ndani ya kiota cha Thai Village, Masaki jijini Dar Meneja wa Skylight Band, Aneth Kushaba AK47 akiimba uku akipewa support ya nguvu na Binti mwenye sauti ya kumtoa Nyoka pangoni, Ashura Kitenge( wa kwanza kushoto), Sam Mapenzi (wa pili kutoka kulia) pamoja na John Music ndani ya kiota cha Thai...

 

9 years ago

Vijimambo

MAMBO YA WIKIEND HAYO KAMA WEWE KAPO YA NGUVU HII INAKUHUSU UNAWEZA KUTUPIA HIVI KIROHO SAFI TU


Kama wewe couple ya nguvu weekend hii unaweza kutupia kama hivi ukiwa na mama mwenye nyumba wako kiroho safi. Wale wenye wivu wajinyoge na toilet paper  habari ndiyo hii jipendeni kwani maisha ni hapa hapa dunia.

Weekend yako fanya kama unasahau stress za schedule vile na tupieni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani