Nguvu ya umma yashinda mgogoro wa ardhi Mbarali
HATIMAYE serikali imekiri kuwa hekta 1,870 ziliingizwa kwenye Shamba la Kapunga, katika Wilaya ya
Felix Mwakyembe
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog22 Sep
Wizara ya Ardhi yawatangazia umma kuwasilisha malalamiko ya mgogoro ya Ardhi mkoa wa Dar
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mh. William Lukuvi.
WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI INAPENDA KUWATANGAZIA WANANCHI WOTE KUWA MHE. WAZIRI WA ARDHI ATAPOKEA MALALAMIKO YA WANANCHI WENYE MIGOGORO INAYOHUSU ARDHI KATIKA MKOA WA DAR ES SALAAM TAREHE 22 – 23, SEPTEMBA, 2015 KUANZIA SAA 4.00 ASUBUHI MAKAO MAKUU YA WIZARA. KATIKA TUKIO HILO, MNATAKIWA KUZINGATIA YAFUATAYO;-
1.TAREHE 22 SEPTEMBA 2015 ATAPOKEA MALALAMIKO YA WANANCHI KWA MANISPAA YA KINONDONI;
2.TAREHE...
10 years ago
Mtanzania18 Apr
Nyalandu amaliza mgogoro Mbarali
NA ELIUD NGONDO, MBEYA
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amemaliza mgogoro wa ardhi uliodumu karibu miaka 10 wilayani Mbarali, mkoani Mbeya.
Mgogoro huo unahusisha wakazi wa vijiji 21 waliotakiwa kuondolewa kwa madai ya kuvamia eneo la Hifadhi ya Taifa ya Ruaha.
Nyalandu, ambaye yuko ziarani mkoani Mbeya, jana alizungumza na wananchi na kuwahakikishia kuwa Serikali haiwezi kuwaacha wakiangamia.
Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliohudhuriwa na wakazi zaidi ya 15,000,...
9 years ago
Habarileo07 Jan
JET yapongeza Serikali kwa kurejesha ardhi ya Mbarali
CHAMA cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET ) kimempongeza Rais John Magufuli kwa kufuta hati ya umiliki wa hekta 1,870 alizouziwa mwekezaji mwaka 2006 na kuamuru ardhi hiyo kurudishwa kwa wananchi wa Kijiji cha Kapunga, wilayani Mbarali.
10 years ago
Habarileo16 Jan
RC kumaliza mgogoro wa ardhi Nyakato
KATIKA kukabiliana na mgogoro wa ardhi katika eneo la Mahangu C kata ya Nyakato wilayani Ilemela, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo ameahidi kupeleka wataalamu wengine kwa ajilii ya kufanya uhakiki mpya.
11 years ago
BBCSwahili13 Jan
7 wauawa kwenye mgogoro wa ardhi TZ
10 years ago
Habarileo04 Jun
Mgogoro mwingine wa ardhi wazuka Arumeru
SAKATA la migogoro ya ardhi katika wilaya ya Arumeru mkoani Arusha imekuwa ikichukua sura mpya kila kukicha, sasa kumeibuka mgogoro mwingine wa kugombea mpaka kati ya Kijiji cha Olkung’wadu wilayani humo na kijiji cha Lekimurunyi cha wilayani Siha, Mkoani Kilimanjaro.
11 years ago
Tanzania Daima25 Jan
‘Hakuna mmiliki mgogoro wa ardhi Kiwangwa’
WAKATI mgogoro wa ardhi ya mwekezaji Ester Shayo iliyoporwa na Kombo Juma, anayedai amepewa na Rais Jakaya Kikwete ukiendelea, Mwenyekiti wa zamani wa Kijiji cha Kiwangwa, Salimu Adamu, amesema wote...
10 years ago
Tanzania Daima04 Dec
Tume yaundwa mgogoro wa ardhi Ndarakwai
SERIKALI imeunda Tume ya Maridhiano itakayoshughulikia chanzo cha mgogoro baina ya mwekezaji wa Ndarakwai na wafugaji wa kimasai walivamia na kuchoma moto nyumba 16 katika shamba la mwekezaji huyo mwezi...
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Miaka 20 mgogoro wa ardhi Loliondo imetosha