JET yapongeza Serikali kwa kurejesha ardhi ya Mbarali
CHAMA cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET ) kimempongeza Rais John Magufuli kwa kufuta hati ya umiliki wa hekta 1,870 alizouziwa mwekezaji mwaka 2006 na kuamuru ardhi hiyo kurudishwa kwa wananchi wa Kijiji cha Kapunga, wilayani Mbarali.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Kilindi kurejesha ardhi kwa wananchi
HALMASHAURI ya Wilaya ya Kilindi, Mkoa wa Tanga, imekusudia kuirejesha katika serikali za vijiji ardhi iliyochukuliwa kinyume na sheria, ili iweze kugawiwa kwa wananchi wasio na maeneo. Pia halmashauri hiyo...
9 years ago
Raia Mwema07 Oct
Nguvu ya umma yashinda mgogoro wa ardhi Mbarali
HATIMAYE serikali imekiri kuwa hekta 1,870 ziliingizwa kwenye Shamba la Kapunga, katika Wilaya ya
Felix Mwakyembe
9 years ago
MichuziSERIKALI YA MKOA WA IRINGA YAPONGEZA MTANDAO WA MATUKIODAIMA KWA KUHAMASISHA AMANI
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-FgLfDOG1RHc/VZsXKAI0-sI/AAAAAAAATFM/VcpK8wXJ54k/s72-c/IMG-20150706-WA0053.jpg)
MTIA NIA UBUNGE JIMBO LA MBARALI LIBERATUS MWANG'OMBE AWASILI MWALIMU NYERERE INTERNATIONA AIRPORT TAYARI KWA KUANZA SAFARI YAKE YA KUWATUMIKIA WANA MBARALI
![](http://1.bp.blogspot.com/-FgLfDOG1RHc/VZsXKAI0-sI/AAAAAAAATFM/VcpK8wXJ54k/s1600/IMG-20150706-WA0053.jpg)
Mwang'ombe anatarajia kuwa na mikutano na baadhi ya viongozi wa kitaifa Makao Makuu ya CHADEMA hapo kesho kabla ya kuelekea jimboni, Mbarali, siku mbili zijazo.
Akiongea na muwakilishi wa studio za SUN SHINE kutoka Chimala punde tu alipo shuka Airport ya Mwalimu Nyerere, Mwang'ombe amesema...
11 years ago
Habarileo30 Apr
Serikali yapongeza mradi wa Champion
SERIKALI imepongeza juhudi zilizofanywa na Mradi wa Champion katika kupunguza maambukizi ya Ukimwi. Hayo yalisemwa leo na Mganga Mkuu wa Serikali, Donan Mmbando katika mkutano wa kufunga mradi huo uliofanyika jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Habarileo08 Jan
UNDP yapongeza Serikali ya Umoja wa Kitaifa
MWAKILISHI wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) amepongeza Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar kwa kuondosha siasa za chuki na uhasama kwa wananchi wa Zanzibar na kufungua ukurasa mpya wa maelewano.
9 years ago
StarTV11 Sep
 Serikali yadaiwa zaidi ya Sh. Mil. 872 wilayani Mbarali
Walimu wa shule za msingi na Sekondari katika Halmashauri ya wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya wanaidai Serikali zaidi ya Shilingi Milioni 872 za malimbikizo ya stahiki mbalimbali ikiwemo Mishahara. Takwimu zilizotolewa na uongozi wa Chama cha Walimu CWT wilayani humo zinaonesha kuwa sehemua ya madai hayo inawahusu walimu wastaafu na baadhi yao wameshafariki.
Waalimu hao wamesema kucheleweshewa kulipwa madeni yao kunasababisha malalamiko ya marakwa mara kutokana na kuahidiwa kulipwa madani yao...
10 years ago
Habarileo06 May
Serikali kufuta miliki za ardhi kwa vigogo
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amesema Serikali itafuta umiliki wa ardhi kwa vigogo waliojilimbikizia maeneo.