Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yapongeza mradi wa Champion

SERIKALI imepongeza juhudi zilizofanywa na Mradi wa Champion katika kupunguza maambukizi ya Ukimwi. Hayo yalisemwa leo na Mganga Mkuu wa Serikali, Donan Mmbando katika mkutano wa kufunga mradi huo uliofanyika jijini Dar es Salaam.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

UNDP yapongeza Serikali ya Umoja wa Kitaifa

Alberic KacouMWAKILISHI wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) amepongeza Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar kwa kuondosha siasa za chuki na uhasama kwa wananchi wa Zanzibar na kufungua ukurasa mpya wa maelewano.

 

9 years ago

Habarileo

JET yapongeza Serikali kwa kurejesha ardhi ya Mbarali

CHAMA cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET ) kimempongeza Rais John Magufuli kwa kufuta hati ya umiliki wa hekta 1,870 alizouziwa mwekezaji mwaka 2006 na kuamuru ardhi hiyo kurudishwa kwa wananchi wa Kijiji cha Kapunga, wilayani Mbarali.

 

5 years ago

Michuzi

Serikali yapongeza juhudi za usafi wa mazingira kwenye shule za Mkoa wa Manyara

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais -TAMISEMI, akikagua uwepo wa maji safi na salama katika moja ya tenki la kuhifadhia maji katika Shule ya Sekondari ya Waschana ya Nangwa, iliyopo Wilaya ya Hanang mkoani Manyara.Wanafunzi katika moja ya Shule, mkoani Manyara wakati wa Ziara ya Naibu Katibu Mkuu OR-TAMISEMI, Dkt Dorothy Gwajima, alipokuwa...

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI YA MKOA WA IRINGA YAPONGEZA MTANDAO WA MATUKIODAIMA KWA KUHAMASISHA AMANI

Mkurugenzi na  mmiliki wa mitandao(BLOGU)  ya   www.matukiodaima.co.tz Bw  Francis Godwin  akimkabidhi mkuu  wa mkoa wa Iringa Bi Amina Masenza stecker za kubandika katika magari na maeneo mbali mbali zinazohamasisha amani kuelekea  uchaguzi  mkuu utakaofanyika Octoba 25  mwaka  huuKamanda  wa  polisi  wa  mkoa wa Iringa Ramadhan  Mungi akionyesha sticker za  kuhamasisha amani na  utulivu nchini kuelekea  uchaguzi  mkuu zinazotolewa na mtandao  wa www.matukiodaima.co.tz kwa mkoa wa Iringa na...

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI KILIMANJARO YAPONGEZA JITIHADA ZA WAFANYABIASHARA KUTANGAZA HIFADHI YA MLIMA KILIMANJARO

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akimvisha taji,mfanyabiashara mashuhuri katika mikoa ya Arusha na Kilimanjaro,Vicent Laswai mara baada ya kufanikiwa kufika katika Kilele cha Mlima Kilimanjaro.Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akimkabidhi cheti mfanyabiashara mashuhuri,Vicent Laswai kwa niaba ya hifadhi ya taifa ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA ) mara baada ya kufanikiwa kufika katika kilele cha Mlima Kilimanjaro.
RC Gama akikabidhi zawadi za T-shirt kutoka KINAPA kwa mke wa...

 

10 years ago

StarTV

Serikali yaruhusu mradi wa mkaa endelevu.

Na Jackson Monela,

Morogoro.

 

Serikali imeruhusu kuendelea kutekelezwa kwa mradi wa mkaa endelevu wilayani Kilosa mkoani Morogoro licha ya baadhi ya wadau wa mazingira kupinga kwa madai kuwa umeleta athari ya kupoteza misitu mingi.

 

Awali mradi huo ulisitishwa kwa muda mara baada ya kuona ukichangia uharibifu wa mazingira kutokana na kukithiri kwa ukataji miti hatua ambayo iliilazimu Serikali kutaka mradi huo usitishwe kwa muda ili kupisha uchunguzi maalum.

 

Kwa muda mrefu nishati ya mkaa...

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yaombwa kuanzisha mradi wa kuchakata mazao

SERIKALI imetakiwa kuanzisha mradi wa mfano wa kuchakata mazao ya kilimo na hasa matunda katika ngazi ya mikoa. Hayo yamebainishwa na Mratibu wa Taasisi ya Tan Tanzania, Deusdedit Kizito wakati wa kuzungumzia fursa za mazao ya kilimo katika soko la dunia baada ya kuhudhuria maonesho ya bidhaa za Kilimo hai ya BioFach ya Ujerumani na mboga ya Berlin.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lembeli: Serikali iondoe VAT vifaa vya mradi

MWENYEKITI  wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya  Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli, ameishauri serikali kuondoa kodi  kwenye vifaa vya  mradi wa ujenzi wa nyumba za gharama nafuu unaoendeshwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani