Serikali yaombwa kuanzisha mradi wa kuchakata mazao
SERIKALI imetakiwa kuanzisha mradi wa mfano wa kuchakata mazao ya kilimo na hasa matunda katika ngazi ya mikoa. Hayo yamebainishwa na Mratibu wa Taasisi ya Tan Tanzania, Deusdedit Kizito wakati wa kuzungumzia fursa za mazao ya kilimo katika soko la dunia baada ya kuhudhuria maonesho ya bidhaa za Kilimo hai ya BioFach ya Ujerumani na mboga ya Berlin.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV21 Dec
Serikali yaombwa kudhibiti biashara ya mazao nje kupunguza mfumko wa bei
Baadhi ya wananchi wakiwemo wafanyabiashara wa mazao mbalimbali jijini Mbeya wameiomba Serikali kudhibiti biashara ya mazao ya chakula nje ya nchi hatua ambayo itasaidia kupunguza mfumko wa bei za vyakula.
Wamesema kwa sasa bei za vyakula kutoka kwa wakulima mashambani zimepanda tofauti na ilivyokuwa miezi michache iliyopita hali inayochagiwa na uuzwaji wa mazao hayo nje ya nchi.
Mazao yaliyopanda bei ni pamoja nyanya na Mchele ambao sasa unauzwa kati ya shilingi 34,000 mpaka 40,000 kwa debe...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Ktj3NBDBVTo/XucMFeOszMI/AAAAAAALt2I/98MQlk8TrboItq72uQPGxKsmCobzmmyOQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200601_093825_8.jpg)
SERIKALI YAOMBWA KULIINGIZA ZAO LA PILI PILI KICHAA KWENYE MAZAO YA KIMKAKATI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ktj3NBDBVTo/XucMFeOszMI/AAAAAAALt2I/98MQlk8TrboItq72uQPGxKsmCobzmmyOQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200601_093825_8.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-025CVN0La2s/XucMFO-PJNI/AAAAAAALt2E/CKwzyR6TMfMJ_69ZshTr-Xrp1HMmGX0JQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200601_094835_0.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-3Edogs1OgGQ/XucMGJETrfI/AAAAAAALt2Q/xmvNR2vB1KA72YDWw2jwe7ue6tyrMH2cwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200607_122200_7.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-L9zD5RFzrYE/XucMGb8yo9I/AAAAAAALt2U/KHURMuwcLAs3XQvoavMKAbeuCfIa92O7ACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200607_125938_2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog27 Jan
Maafisa Mawasiliano watembelea Mradi wa kuchakata Gesi wa Tanzania Mnazi Bay and Songo Songo Gas Processing Plant
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Sihaba Nkinga akitembeea katika eneo la mradi wa nyumba za wafanyakazi wa Mradi wa kuchakata Gesi Tanzania Mnazi Bay and Songo Songo Gas Processing Plant wakati wa ziara ya Maafisa Mawasiliano Serikalini leo Mkoani Mtwara. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari – MAEEZO Bibi. Zamaradi Kawawa na Mkuu wa Kitengo Serikalini wa Wizara ya Nishati na Madini Bi. Badra Masoud(katikati).
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RXIPf3CuUlM/VMeq94U37UI/AAAAAAAG_zs/2v9uSDXLEoE/s72-c/1.jpg)
Maafisa Mawasiliano watembelea Mradi wa Kuchakata Gesi wa Tanzania Mnazi Bay and Songo Songo Gas Processing Plant na kutoa msaada katika hospital ya Ligula
![](http://4.bp.blogspot.com/-RXIPf3CuUlM/VMeq94U37UI/AAAAAAAG_zs/2v9uSDXLEoE/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-g1MuqSacGmc/VMeq97JZ8hI/AAAAAAAG_zw/Y3OqAU93lgE/s1600/2.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima30 Sep
Serikali yaombwa ruzuku Skauti
SERIKALI imeombwa kutenga bajeti maalumu itakayotolewa ruzuku kwa vijana Skauti nchini ikiwa ni hatua mojawapo ya kuwaandaa kuwa na uzalendo. Ombi hilo lilitolewa na Kamishina Mkuu Msaidizi Programu za VijanaSkauti,...
10 years ago
Mtanzania02 May
Serikali yaombwa kuwabana waajiri
Ramadhani Hassan na Pendo Mangala
WAFANYAKAZI Mkoa wa Dodoma wameishauri Serikali ihakikishe waajiri wanawaongezea mishahara kwa sababu malipo wanayolipwa sasa ni madogo.
Hayo yalisemwa jana na Katibu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Mkoa wa Dodoma, Ramadhani Mwenda, wakati wa kilele cha maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri.
Mwenda alisema kipato cha ujira wa mshahara wa mwezi hakitoshi na kwamba mishahara ya watumishi ni...
11 years ago
Mwananchi10 Feb
Serikali sasa yaombwa kupunguza pembejeo
11 years ago
BBCSwahili04 Feb
Serikali yaombwa kutofunga misikiti Kenya
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Serikali yaombwa kusaidia chakula Ngorongoro
SERIKALI imeombwa kuchukua hatua za haraka kuhakikisha inasaidia wananchi waishio katika Tarafa ya Ngorongoro ambao hivi sasa wanakabiliwa na uhaba wa chakula na kuchangia mahudhurio duni ya wanafunzi shuleni. Ombi...