Serikali yaombwa kudhibiti biashara ya mazao nje kupunguza mfumko wa bei
Baadhi ya wananchi wakiwemo wafanyabiashara wa mazao mbalimbali jijini Mbeya wameiomba Serikali kudhibiti biashara ya mazao ya chakula nje ya nchi hatua ambayo itasaidia kupunguza mfumko wa bei za vyakula.
Wamesema kwa sasa bei za vyakula kutoka kwa wakulima mashambani zimepanda tofauti na ilivyokuwa miezi michache iliyopita hali inayochagiwa na uuzwaji wa mazao hayo nje ya nchi.
Mazao yaliyopanda bei ni pamoja nyanya na Mchele ambao sasa unauzwa kati ya shilingi 34,000 mpaka 40,000 kwa debe...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo18 Mar
Serikali yaombwa kuanzisha mradi wa kuchakata mazao
SERIKALI imetakiwa kuanzisha mradi wa mfano wa kuchakata mazao ya kilimo na hasa matunda katika ngazi ya mikoa. Hayo yamebainishwa na Mratibu wa Taasisi ya Tan Tanzania, Deusdedit Kizito wakati wa kuzungumzia fursa za mazao ya kilimo katika soko la dunia baada ya kuhudhuria maonesho ya bidhaa za Kilimo hai ya BioFach ya Ujerumani na mboga ya Berlin.
11 years ago
Mwananchi10 Feb
Serikali sasa yaombwa kupunguza pembejeo
10 years ago
Habarileo09 Nov
Mfumko wa bei waporomoka
MFUMKO wa bei kwa mwezi Oktoba 2014 umepungua hadi asilimia 5.9 kutoka asilimia 6.6 mwezi Septemba mwaka 2014.
11 years ago
MichuziSerikali yafanikiwa kudhibiti uvunaji haramu wa mazao ya misitu - Mafupa
Hayo yamesemwa na Meneja wa Wakala wa huduma za Misitu Tanzania kanda ya Kaskazini (TFS) bw. Cuthbert Mafupa wakati wa ziara ya waandishi wa Habari waliotembelea hifadhi ya Chome na ile ya Amani iliyipo mkoani Tanga ili kujifunza na kuona hatua...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Ktj3NBDBVTo/XucMFeOszMI/AAAAAAALt2I/98MQlk8TrboItq72uQPGxKsmCobzmmyOQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200601_093825_8.jpg)
SERIKALI YAOMBWA KULIINGIZA ZAO LA PILI PILI KICHAA KWENYE MAZAO YA KIMKAKATI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ktj3NBDBVTo/XucMFeOszMI/AAAAAAALt2I/98MQlk8TrboItq72uQPGxKsmCobzmmyOQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200601_093825_8.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-025CVN0La2s/XucMFO-PJNI/AAAAAAALt2E/CKwzyR6TMfMJ_69ZshTr-Xrp1HMmGX0JQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200601_094835_0.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-3Edogs1OgGQ/XucMGJETrfI/AAAAAAALt2Q/xmvNR2vB1KA72YDWw2jwe7ue6tyrMH2cwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200607_122200_7.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-L9zD5RFzrYE/XucMGb8yo9I/AAAAAAALt2U/KHURMuwcLAs3XQvoavMKAbeuCfIa92O7ACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200607_125938_2.jpg)
5 years ago
MichuziSERIKALI HAITOPANGA BEI ZA MAZAO YA WAKULIMA-MHE MGUMBA
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma
Serikali imesisitiza kuwa haitopanga wala kuingilia bei za mazao ya wakulima nchini badala yake wakulima watajipangia bei na kuuza wenyewe ilihali serikali ikisalia kama msimamizi.
Naibu Waziri wa Kilimo Mhe Omary Mgumba (Mb)...
11 years ago
Habarileo17 Feb
Serikali kupunguza bei ya ving’amuzi
KATIKA kuhakikisha ving'amuzi vinawafikia wananchi wengi na kwa bei nafuu, Serikali inatarajia kushusha bei zaidi za kodi ya ving'amuzi, ili kampuni nyingi zijitokeze kuuza ving'amuzi kwa wananchi walio wengi, tofauti na sasa. Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba, alisema hayo jana wakati akifunga mkutano wa jukwaa la kujadili mchakato wa kuhama kutoka analogia kwenda digitali, uliohusisha nchi zaidi ya 25 duniani.
10 years ago
Dewji Blog06 Feb
Serikali yajidhatiti kudhibiti ujangili na biashara haramu Nchini
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mahmoud Mgimwa akijibu swali bungeni.(Picha zote na Hussein Makame-MAELEZO, Dodoma).
Na Lorietha Laurence-Maelezo, Dodoma
SERIKALI imejidhatiti katika kudhibiti ujangili na biashara haramu ya mazao ya maliasili kwa kuridhia na kutekeleza mikataba minne ya kudhibiti ujangali wa tembo na unaovuka mipaka na kulinda mapori ya akiba.
Hayo yalisemwa na Naibu Waziri wa Utalii na Maliasili Mahmoud Mgimwa, bungeni Dodoma alipokuwa akijibu swali la Mch. Peter...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1SeEsbZpMHc/VGvHa-5SKQI/AAAAAAAGyIc/T7wUPb340v4/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
Serikali kudhibiti utoroshaji wa madini nje ya nchi