Mfumko wa bei waporomoka
MFUMKO wa bei kwa mwezi Oktoba 2014 umepungua hadi asilimia 5.9 kutoka asilimia 6.6 mwezi Septemba mwaka 2014.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV21 Dec
Serikali yaombwa kudhibiti biashara ya mazao nje kupunguza mfumko wa bei
Baadhi ya wananchi wakiwemo wafanyabiashara wa mazao mbalimbali jijini Mbeya wameiomba Serikali kudhibiti biashara ya mazao ya chakula nje ya nchi hatua ambayo itasaidia kupunguza mfumko wa bei za vyakula.
Wamesema kwa sasa bei za vyakula kutoka kwa wakulima mashambani zimepanda tofauti na ilivyokuwa miezi michache iliyopita hali inayochagiwa na uuzwaji wa mazao hayo nje ya nchi.
Mazao yaliyopanda bei ni pamoja nyanya na Mchele ambao sasa unauzwa kati ya shilingi 34,000 mpaka 40,000 kwa debe...
11 years ago
Mwananchi09 Jul
Mfumuko wa bei nchini waporomoka, shilingi yapaa
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/150911140445-02-mecca-crane-0911-restricted-exlarge-169.jpg?width=650)
MSIKITI NCHINI SAUDI ARABIA WAPOROMOKA NA KUUA WATU 107
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Licha ya kupata mwekezaji; Usafirishaji mizigo waporomoka kutoka tani 1.4 milioni hadi 200,000
10 years ago
Mwananchi08 Apr
Bei za vyakula zapaa, mfumuko wa bei mwezi Machi wafikia asilimia 4.2
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Ae-xW-DsD7I/XqFoRJTv4pI/AAAAAAALn94/BNO2KjfGVyosaWQ0rrVgNcF-ImPzq5HjgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-23%2Bat%2B12.52.05%2BPM.jpeg)
BEI YA SUKARI YATANGAZWA, SERIKALI YAONYA WAFANYABIASHARA WANAOPANDISHA BEI KIHOLELA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ae-xW-DsD7I/XqFoRJTv4pI/AAAAAAALn94/BNO2KjfGVyosaWQ0rrVgNcF-ImPzq5HjgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-23%2Bat%2B12.52.05%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-T7j7LFV7AUw/XqFoRLlHXfI/AAAAAAALn98/niTepAN1TG0nOdSvHSY5EHxbBafM3qn1wCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-23%2Bat%2B12.53.14%2BPM.jpeg)
Charles James, Michuzi TVSERIKALI...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-biVjInb1QNo/XmJaLshwELI/AAAAAAALhjk/MFWubLN0d78PBglFiJTP282cTr9RqWoKQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MKUU WA TAKWIMU ZA BEI ATOA TAKWIMU ZA BEI ZANZIBAR
Na Mwashungi Tahir Maelezo
Imeelezwa kwamba mfumko wa bei kwa mwaka uloishia February 2020 imeongezeka kufikia asilimia 6.2 ukilinganisha kwa mwaka ulioishia January 2020 asilimia 4.9
Hayo ameyasema Mkuu wa Kitengo cha mfumko wa bei kutoka Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Khamis Abrahmani Msham wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari huko ofisini kwake Mtakwimu Mkuu wa Serikali ilioko Mazizini .
Amesema ongezeko hilo limetokana na bidhaa mbali mbali zikiwemo vyakula...
5 years ago
MichuziMKUU WA TAKWIMU WA BEI ATOA TAKWIMU ZA BEI.