Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BEI YA SUKARI YATANGAZWA, SERIKALI YAONYA WAFANYABIASHARA WANAOPANDISHA BEI KIHOLELA

 Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa akizungumza na wandishi wa habari leo katika mkutano wa pamoja na Waziri wa Kilimo ambapo wametangaza bei mpya ya sukari na kutoa onyo kwa wafanyabiashara ambao watapandisha bei kiholela.Waziri wa Kilimo, Josephat Hasunga (kulia) akitangaza bei mpya ya sukari nchini baada ya sukari kupanda ghafla katika kipindi hiki cha ugonjwa wa Corona, pembeni yake ni Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa.
Charles James, Michuzi TVSERIKALI...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

RC MAKONDA ATANGAZA VITA NA WANAOPANDISHA BEI YA SUKARI, MSAKO MKALI KUANZA KESHO.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo ametangaza vita na Wafanyabiashara wanaouza Sukari kwa bei ghali tofauti na bei elekezi ya Serikali ambapo amesema ifikapo Kesho kikosi kazi kitafanya ukaguzi na watakaobainika kuuza bidhaa hiyo kwa bei ya juu Watakamatwa na Sukari kutaifishwa na Serikali.

RC Makonda amewaelekeza Wakuu wa Wilaya zote Tano za Mkoa huo kuhakikisha msako huo unaanza kesho na asisalie Mfanyabiashara yoyote anaeuza Sukari hiyo kwa Bei ya Juu.

Hatua hiyo imekuja...

 

9 years ago

Habarileo

Serikali yajadili bei ya sukari

SERIKALI iko katika mazungumzo na viwanda vyote vinavyozalisha sukari kuangalia namna ya kuviondolea baadhi ya gharama za uzalishaji ili bidhaa hiyo ishuke bei.

 

9 years ago

StarTV

 Serikali kuangalia upya bei ya Sukari nchini

Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Charles Mwijage amesema Serikali imejipanga kuhakikisha kunakuwepo na uwiano sawa kati ya bei ya sukari inayotokana na viwanda vya ndani na inayoagizwa nje ya nchi.

Waziri Mwijage amesema hilo linaweza kufanikiwa kwa kupunguza baadhi ya gharama za uzalishaji zisizo na tija kwa viwanda vya ndani.

Kiwanda cha sukari cha Kagera kilichopo katika wilaya ya Missenyi Mkoani Kagera, moja ya kiwanda kinachotegemewa mno katika uzalishaji wa sukari hapa...

 

5 years ago

Michuzi

MSD YAWATAHADHARISHA WANAOPANDISHA BEI ZA VIKINGA KORONA

Na Mwandishi wetu- Maelezo

Mkurugenzi Mkuu wa Bohari Kuu ya Dawa (MSD) Lawrean Bwanakunu amesema kuwa endapo wafanyabiashara wa bidhaa zinazosaidia kujikinga na maambukizi ya virusi vya korona wataendelea na tabia ya kupandisha bei ya bidhaa hizo itabidi MSD iingize bidhaa hizo mtaani.

Akielezea suala la bei ya vikinga virusi vya korona Bwanakunu alitolea mfano na kusema “Dawa za kuoshea mikono (sanitizer) ambayo bei yake halali katika soko ni shilingi 2,500 lakini kwa sasa wafanyabiashara...

 

5 years ago

Michuzi

MSD YAWAONYA WANAOPANDISHA BEI ZA VIKINGA CORONA

Na Mwandishi wetu- Maelezo
Mkurugenzi Mkuu wa Bohari Kuu ya Dawa (MSD) Lawrean Bwanakunu amesema kuwa endapo wafanyabiashara wa bidhaa zinazosaidia kujikinga na maambukizi ya virusi vya korona wataendelea na tabia ya kupandisha bei ya bidhaa hizo itabidi MSD iingize bidhaa hizo mtaani. 
Akielezea suala la bei ya vikinga virusi vya korona Bwanakunu alitolea mfano na kusema “Dawa za kuoshea mikono (sanitizer) ambayo bei yake halali katika soko ni shilingi 2,500 lakini kwa sasa wafanyabiashara...

 

5 years ago

CCM Blog

MSD YAWATAHADHARISHA WANAOPANDISHA BEI BIDHAA ZINAZOSAIDIA KUJIKINGA NA CORONA

   Na Mwandishi wetu- MaelezoMkurugenzi Mkuu wa Bohari Kuu ya Dawa (MSD) Lawrean Bwanakunu amesema kuwa endapo wafanyabiashara wa bidhaa zinazosaidia kujikinga na maambukizi ya virusi vya korona wataendelea na tabia ya kupandisha bei ya bidhaa hizo itabidi MSD iingize bidhaa hizo mtaani.

Akielezea suala la bei ya vikinga virusi vya korona Bwanakunu alitolea mfano na kusema “Dawa za kuoshea mikono (sanitizer) ambayo bei yake halali katika soko ni shilingi 2,500 lakini kwa sasa wafanyabiashara...

 

10 years ago

Mwananchi

Bei za vifaa vya shule zapanda kiholela Tanga

Ongezeko la bei za sare na vifaa vya shule linalofanywa na wafanyabiashara jijini hapa, limewaweka wazazi njiapanda.

 

11 years ago

Habarileo

Bei ya mchele, sukari kuendelea kudhibitiwa

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) itaendelea kudhibiti bei za vyakula muhimu, ikiwemo mchele na sukari, ili kupunguza ukali wa maisha kwa wananchi wake.

 

10 years ago

Mwananchi

Bei za sukari, mchele zapanda Mbeya

Bei za sukari na mchele jijini Mbeya zimepanda, wakati mahindi yakishuka kulinganisha na kipindi kama hiki mwaka jana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani