MSD YAWATAHADHARISHA WANAOPANDISHA BEI ZA VIKINGA KORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-iZWRvQvt1fU/XnUtto5J0TI/AAAAAAALkk0/JYLSkrtOZ2MFM6p_BO_0w69Ci_Wvx1TUwCLcBGAsYHQ/s72-c/8302dcba-d0f7-47a7-af41-39dc60159e14_1.41a3b9a2554e740d25eca99681bd33f7.jpeg)
Na Mwandishi wetu- Maelezo
Mkurugenzi Mkuu wa Bohari Kuu ya Dawa (MSD) Lawrean Bwanakunu amesema kuwa endapo wafanyabiashara wa bidhaa zinazosaidia kujikinga na maambukizi ya virusi vya korona wataendelea na tabia ya kupandisha bei ya bidhaa hizo itabidi MSD iingize bidhaa hizo mtaani.
Akielezea suala la bei ya vikinga virusi vya korona Bwanakunu alitolea mfano na kusema “Dawa za kuoshea mikono (sanitizer) ambayo bei yake halali katika soko ni shilingi 2,500 lakini kwa sasa wafanyabiashara...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-H8mB6H3_xNA/XnTCTpoeu2I/AAAAAAALkjU/5eBva9I-oB4ZrFZZ6NRPp7trO2tbuy6tACLcBGAsYHQ/s72-c/pic%252Bmsd.jpg)
MSD YAWAONYA WANAOPANDISHA BEI ZA VIKINGA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-H8mB6H3_xNA/XnTCTpoeu2I/AAAAAAALkjU/5eBva9I-oB4ZrFZZ6NRPp7trO2tbuy6tACLcBGAsYHQ/s640/pic%252Bmsd.jpg)
Mkurugenzi Mkuu wa Bohari Kuu ya Dawa (MSD) Lawrean Bwanakunu amesema kuwa endapo wafanyabiashara wa bidhaa zinazosaidia kujikinga na maambukizi ya virusi vya korona wataendelea na tabia ya kupandisha bei ya bidhaa hizo itabidi MSD iingize bidhaa hizo mtaani.
Akielezea suala la bei ya vikinga virusi vya korona Bwanakunu alitolea mfano na kusema “Dawa za kuoshea mikono (sanitizer) ambayo bei yake halali katika soko ni shilingi 2,500 lakini kwa sasa wafanyabiashara...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-VmwLhp1xrzQ/XnX3kBB8LII/AAAAAAAC1ZY/8EG287KaSOIc9X_lqV2snPBknrUQ4e9awCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MSD YAWATAHADHARISHA WANAOPANDISHA BEI BIDHAA ZINAZOSAIDIA KUJIKINGA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-VmwLhp1xrzQ/XnX3kBB8LII/AAAAAAAC1ZY/8EG287KaSOIc9X_lqV2snPBknrUQ4e9awCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Akielezea suala la bei ya vikinga virusi vya korona Bwanakunu alitolea mfano na kusema “Dawa za kuoshea mikono (sanitizer) ambayo bei yake halali katika soko ni shilingi 2,500 lakini kwa sasa wafanyabiashara...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Ae-xW-DsD7I/XqFoRJTv4pI/AAAAAAALn94/BNO2KjfGVyosaWQ0rrVgNcF-ImPzq5HjgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-23%2Bat%2B12.52.05%2BPM.jpeg)
BEI YA SUKARI YATANGAZWA, SERIKALI YAONYA WAFANYABIASHARA WANAOPANDISHA BEI KIHOLELA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ae-xW-DsD7I/XqFoRJTv4pI/AAAAAAALn94/BNO2KjfGVyosaWQ0rrVgNcF-ImPzq5HjgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-23%2Bat%2B12.52.05%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-T7j7LFV7AUw/XqFoRLlHXfI/AAAAAAALn98/niTepAN1TG0nOdSvHSY5EHxbBafM3qn1wCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-23%2Bat%2B12.53.14%2BPM.jpeg)
Charles James, Michuzi TVSERIKALI...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-p1b8hyTvUyI/Xq_4sRFfjPI/AAAAAAALpB0/xgutdYS6RYsLskWX1xuXAux5VIxMcEvgACLcBGAsYHQ/s72-c/17b9d5d4-1bc8-41b9-a2a6-f81976619abe.jpg)
RC MAKONDA ATANGAZA VITA NA WANAOPANDISHA BEI YA SUKARI, MSAKO MKALI KUANZA KESHO.
![](https://1.bp.blogspot.com/-p1b8hyTvUyI/Xq_4sRFfjPI/AAAAAAALpB0/xgutdYS6RYsLskWX1xuXAux5VIxMcEvgACLcBGAsYHQ/s640/17b9d5d4-1bc8-41b9-a2a6-f81976619abe.jpg)
RC Makonda amewaelekeza Wakuu wa Wilaya zote Tano za Mkoa huo kuhakikisha msako huo unaanza kesho na asisalie Mfanyabiashara yoyote anaeuza Sukari hiyo kwa Bei ya Juu.
Hatua hiyo imekuja...
10 years ago
BBCSwahili10 Feb
BBC yawatahadharisha juu ya utapeli
11 years ago
Tanzania Daima20 Apr
TMA yawatahadharisha wakazi mikoa ya Kusini
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya kuwepo kwa vipindi vya mvua kubwa kwenye mikoa ya Lindi, Mtwara, Ruvuma na baadhi ya maeneo ya Pwani na Morogoro....
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-necLNKrGp-E/VA2tZHvdYpI/AAAAAAAGh3s/iP30Kk0AWk0/s72-c/3.jpg)
Serikali yawatahadharisha wananchi kuhusu matumizi mabaya ya Mawasiliano
![](http://4.bp.blogspot.com/-necLNKrGp-E/VA2tZHvdYpI/AAAAAAAGh3s/iP30Kk0AWk0/s1600/3.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) bw. Innocent Mungy amesema kumekuwa na watu wachache wanaotumia mawasiliano pasipo kuzingatia sheria na kanuni.
Kumekuwa na matukio yanayoashiria kutumika kwa mitandao ya kijamii kuleta madharambalimbali kwa watumiaji...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jGx6aokockM/VSaWZw745TI/AAAAAAAHP20/ujlDiD7q-zU/s72-c/IMG_0535.jpg)
TAROWU YAWATAHADHARISHA MADEREVA KUTOJIHUSISHA NA MIGOMO KATIKA SEKTA YA USAFIRISHAJI
![](http://4.bp.blogspot.com/-jGx6aokockM/VSaWZw745TI/AAAAAAAHP20/ujlDiD7q-zU/s1600/IMG_0535.jpg)
Na Avila Kakingo,Globu ya Jamii.
CHAMA cha wafanyakazi wa usafirishaji kwa njia ya barabara Tanzania (TAROWU) kimewatahadharisha wafanyakazi wa sekta ya usafirishaji...