TAROWU YAWATAHADHARISHA MADEREVA KUTOJIHUSISHA NA MIGOMO KATIKA SEKTA YA USAFIRISHAJI
![](http://4.bp.blogspot.com/-jGx6aokockM/VSaWZw745TI/AAAAAAAHP20/ujlDiD7q-zU/s72-c/IMG_0535.jpg)
Mwenyekiti wa Chama wafanyakazi wa sekta ya usafirishaji ,Sharifu Mohamed akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salam juu ya wafanyakazi wa sekta hiyo kutojihusisha na migomo ,Kuhoto Katibu Mkuu Salum Abdallaha TAROWU,kulia Mlezi wa TAROWU,Yakuub Rajabu (Picha na Avila Kakingo wa Globu ya Jamii)
Na Avila Kakingo,Globu ya Jamii.
CHAMA cha wafanyakazi wa usafirishaji kwa njia ya barabara Tanzania (TAROWU) kimewatahadharisha wafanyakazi wa sekta ya usafirishaji...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMADEREVA WAPEWA KIPAUMBELE KWENYE KAMATI YA KUSIMAMIA USAFIRISHAJI.
Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda wakati akizungumza na wandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo.
Makonda amesema kuwa kamati hiyo haitaundwa na serikali, wajumbe watatokana na uchaguzi wa madereva wenyewe pia na...
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Fuso kuimarisha sekta ya usafirishaji nchini
11 years ago
Uhuru Newspaper12 Jun
Sekta za utalii, usafirishaji zaongeza mapato
NA SELINA WILSON, DODOMA
TANZANIA imeendelea kufanya vizuri katika biashara ya nje, ikiwemo huduma za utalii na usafirishaji bidhaa kupitia nchini kwenda nchi jirani na hivyo kuongeza mapato.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wassira, alisema hayo jana bungeni mjini Dodoma, alipokuwa akiwasilisha taarifa ya hali ya uchumi kwa mwaka 2013 na mpango wa maendeleo wa taifa wa 2014/2015.
Wassira alisema kwa mwaka 2013, katika huduma za utalii, mapato yaliongezeka kutoka...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Jgwl1GPfK74/VSefL0Qqi4I/AAAAAAAHQDo/sJ3rJnwy3_8/s72-c/MMGL3176.jpg)
MGOMO WA MADEREVA WA VYOMBO VYA USAFIRISHAJI WATIKISA NCHI LEO
Hali ya mgomo huo, umepelekea adha kubwa kwa abiria wa vyombo hivyo, hasa wale waliokuwa wakielekea mikoani, kwani katika Stendi kuu ya Mabasi ya Ubungo jijini Dar es salaam, hakuna basi hata moja lililoondoka huku daladala nazo zikiwa hazionekani kabisa vituoni.
Uongozi...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s72-c/IMG_2076.jpg)
MKUTANO WA WADAU WA UHAMASISHAJI WA UBIA BAINA YA SEKTA YA UMMA NA SEKTA BINAFSI (PPP) KATIKA SEKTA AFYA MKOANI RUKWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s1600/IMG_2076.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cQBbNUVLyrE/U2xvWU187II/AAAAAAAFgbQ/lTR6Pf8_UDc/s72-c/unnamed+(1).jpg)
Serikali ya Tanzania yasaini msaada wa zaidi ya Sh. Bilioni 134 kusaidia sekta ya kilimo na usafirishaji
![](http://3.bp.blogspot.com/-cQBbNUVLyrE/U2xvWU187II/AAAAAAAFgbQ/lTR6Pf8_UDc/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rs10SNH6hyI/U2xvWjPPWUI/AAAAAAAFgbU/m0dLreWyiuo/s1600/unnamed+(2).jpg)
11 years ago
Dewji Blog08 May
Serikali ya Tanzania yasaini msaada wa zaidi ya Sh. Bilioni 134 kusaidia sekta ya kilimo na usafirishaji
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kulia) akisaini mkataba wa msaada wa sh. Bilioni 134 kwa niaba ya Serikali ya Tanzania leo jijini Dar es salaam. Kushoto ni Balozi EU nchini Filiberto Ceriani Sebregondi.
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kulia) akibadilishana hati ya mkataba wa msaada wa sh. Bilioni 134 waliosaini kwa niaba ya Serikali ya Tanzania leo jijini Dar es salaam. Kushoto ni Balozi EU nchini Filiberto Ceriani Sebregondi.(Picha na Wizara ya...
10 years ago
Dewji Blog09 Jun
Bodi ya mikopo kuboresha huduma katika kupambana na migomo
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mhe. Anne Kilango Malecela.
Na Georgina Misama, MAELEZO-Dodoma
Katika kuboresha mahusiano kati ya Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu na Tume ya Vyuo Vikuu na kuondosha migomo na maandamano ya wanafunzi dhidi ya Bodi, serikali imeweka muwakilishi wa Tume ya Vyuo Vikuu kuwa mjumbe kwenye Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu.
Akijibu swali Bungeni Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mhe. Anne Kilango Malecela amesema pia chuo kimeelekezwa...
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Haki ya migomo katika ajira na taratibu zake kisheria