MADEREVA WAPEWA KIPAUMBELE KWENYE KAMATI YA KUSIMAMIA USAFIRISHAJI.
Na Avila Kakingo,Globu ya Jamii.
Madereva wamepewa kipaumbele kwenye tume itakayokuwaikisimamia usafirishaji,kwani tume hiyo itakuwa na wajumbe watano kutoka Umoja wa madereva tuu na kutoka sekta nyingine watakuwa wajumbe watatu .Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda wakati akizungumza na wandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo.
Makonda amesema kuwa kamati hiyo haitaundwa na serikali, wajumbe watatokana na uchaguzi wa madereva wenyewe pia na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMADEREVA 21 WA KAMPUNI YA MAJINJAH LOGISTICS LTD WAPATIWA MAFUNZO CHUO CHA TAIFA CHA USAFIRISHAJI (NIT) WAHITIMU WAPEWA VYETI.
9 years ago
BBCSwahili28 Dec
Vijana wapewa kipaumbele kuajiriwa DRC
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ozNoMjsgFzI/VjiGt1JGb7I/AAAAAAAID_s/SUVUk0R8MXk/s72-c/15190381524_7ae130369b_o.jpg)
WASICHANA WAPEWA KIPAUMBELE NA TAASISI YA DON BOSCO NET
![](http://2.bp.blogspot.com/-ozNoMjsgFzI/VjiGt1JGb7I/AAAAAAAID_s/SUVUk0R8MXk/s640/15190381524_7ae130369b_o.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-U_hhmNhlonU/VjiGuJKiMYI/AAAAAAAID_w/rRDuou6ojUo/s640/15190905173_08d600ae79_o.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-tpBkqKiv9V8/VjiGuAHCoFI/AAAAAAAID_0/miD_pCdI4d4/s640/Iringa%2B2014-77.jpg)
TAASISI ya Don Bosco Net Tanzania yahamasisha wasichana katika kujiendeleza kimapato na kimawazo kutokana na wasichana wengi baada ya kumaliza elimu ya Msingi au Sekondari kutofanikiwa kuendelea na masomo yao ya juu kwasababu mbali mbali. Moja wapo ikiwa ada, hali ngumu ya uchumi na maisha inayositisha ndoto yao yakujimudu na kujiendeleza.
Taasisi hiyo imeaanda Kampeni ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jGx6aokockM/VSaWZw745TI/AAAAAAAHP20/ujlDiD7q-zU/s72-c/IMG_0535.jpg)
TAROWU YAWATAHADHARISHA MADEREVA KUTOJIHUSISHA NA MIGOMO KATIKA SEKTA YA USAFIRISHAJI
![](http://4.bp.blogspot.com/-jGx6aokockM/VSaWZw745TI/AAAAAAAHP20/ujlDiD7q-zU/s1600/IMG_0535.jpg)
Na Avila Kakingo,Globu ya Jamii.
CHAMA cha wafanyakazi wa usafirishaji kwa njia ya barabara Tanzania (TAROWU) kimewatahadharisha wafanyakazi wa sekta ya usafirishaji...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Jgwl1GPfK74/VSefL0Qqi4I/AAAAAAAHQDo/sJ3rJnwy3_8/s72-c/MMGL3176.jpg)
MGOMO WA MADEREVA WA VYOMBO VYA USAFIRISHAJI WATIKISA NCHI LEO
Hali ya mgomo huo, umepelekea adha kubwa kwa abiria wa vyombo hivyo, hasa wale waliokuwa wakielekea mikoani, kwani katika Stendi kuu ya Mabasi ya Ubungo jijini Dar es salaam, hakuna basi hata moja lililoondoka huku daladala nazo zikiwa hazionekani kabisa vituoni.
Uongozi...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FpvwgH1XPsI/VjLseVEgaUI/AAAAAAAIDcA/xEz0_oXoXL0/s72-c/20151029_180128.jpg)
WASICHANA WAPEWA KIPAUMBELE NA TAASISI YA DON BOSCO NET KWA KAMPENI "BINTI THAMANI"
![](http://4.bp.blogspot.com/-FpvwgH1XPsI/VjLseVEgaUI/AAAAAAAIDcA/xEz0_oXoXL0/s640/20151029_180128.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jkNsE941FvE/VjLsevod1VI/AAAAAAAIDcE/YGUIWyIq0vU/s640/20151029_182223.jpg)
TAASISI ya Don Bosco Net yahamasisha wasichana katika kujiendeleza kimapato na...
10 years ago
Mwananchi05 May
Pinda aunda kamati kusimamia usafiri
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zyoP8QCjzTs/XoiciBjkM3I/AAAAAAALmBU/V_hLiEGWtQMYv-hDQ4Y_2hnG3QM4s4JOQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200403-WA0015-768x576.jpg)
UKUNI YAUNDA KAMATI KUSIMAMIA CHANGAMOTO YA UBOVU WA BARABARA
WAKAZI wa Kitongoji cha Ukuni Kata ya Dunda ,wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani, wameunda Kamati Maalumu itayosimamia ukarabati wa miundombinu ya Barabara ambayo imekuwa kero kwa wananchi .
Wakiwa katika kikao cha uundwaji wa Kamati hiyo, wajumbe wamejadiliana kwa kina kuhusiana na mchakato huo, unaolenga kuondokana na hali tete ya ubovu wa miundombinu hiyo iliyopo kwenye Kitongoji hicho, ambapo Kamati hiyo inatarajia kuanza kazi mara moja.
Mwenyekiti wa Kitongoji...
10 years ago
Dewji Blog27 Mar
Madereva 21 wa Kampuni ya Majinjah Logistics Ltd wapatiwa mafunzo na NIT, wahitimu wapewa vyeti
Wafanyakazi wa Kampuni ya Majinjah Logistics Ltd wakiwa katika picha ya pamoja na kutoka kushoto mstari wa mbele (wa pili) Mkuu wa Kampuni ya Majinjah,Geoffrey Mwambona, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Majinjah Logistics,Benjamin Mwandete, Mkuu wa Idara ya Tafiti, Machapisho na Masomo ya Elimu ya Juu (NIT), Dk,Ethel Kasembe, Mhandisi, Charles Kisunga na Dereva wa kike wa Majinjah, Grace Andrew.
Wahitimu wa mafunzo ya Udereva wa Kampuni ya Majinjah Logistics wakiwa katika picha...