Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Haki ya migomo katika ajira na taratibu zake kisheria

Ni jambo la kawaida kwa watu kutokubaliana katika mambo ya msingi yanayogusia uhusiano wao kiajira, mfano ongezeko la mshahara.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Tanzania Daima

Uachishaji kazi na taratibu zake — (2)

WIKI iliyopita nilisema kwamba kuna baadhi ya waajiri huajiri na kuachisha kazi au kufukuza wafanyakazi wao bila kufuata utaratibu uliowekwa katika sheria za kazi katika Sheria ya Ajira na Mahusiano...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uachishaji kazi na taratibu zake

UTARATIBU wa kuajiri na kuachisha kazi umetolewa na kuonyeshwa katika sheria mbalimbali hapa nchini. Miongoni mwa sheria hizo ni Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini ya Mwaka 2004 (Na. 6...

 

10 years ago

Mwananchi

Haki za mmiliki wa ardhi kisheria-2

Uwanja wa Kambole ni ukurasa unaokuletea uchambuzi wa sheria za aina mbalimbali. Tulianza na sheria za ajira, sasa tupo kwenye sheria za ardhi lengo ni kukupa ufahamu kiasi na uelewa wa sheria mbalimbali.

 

10 years ago

Mwananchi

Haki na jukumu la mkopaji kisheria

Imekuwa ni kawaida sana kwa watu wengi kujikuta wameingia kwenye mkopo bila kujua majukumu au haki zao kama wakopaji na matokeo yake wanafilisiwa au wanashindwa kabisa kurudisha mkopo.

 

10 years ago

Mwananchi

Haki za mmiliki wa ardhi kisheria

Watu wengi humiliki ardhi kwa njia zozote zinazotambulika kisheria kama kukaa muda mrefu, kwa kurithi au kupewa.

 

10 years ago

Mwananchi

Fahamu haki, wajibu wa mwanahisa kisheria

Haki na wajibu ni sawa na pande mbili za sarafu moja. Ili iwepo haki lazima wajibu uwepo. Kwa hiyo ni muhimu sana mwanahisa ukafahamu wajibu wako ili upate uhalali na nguvu za kutosha za kudai na kuzisimamia haki zako.

 

10 years ago

Mwananchi

Fahamu haki na wajibu wa mfanyakazi kisheria

Huwezi kudai kitu ambacho hufahamu kuwa kipo na hata kama unajua kipo hujui kinapatikanaje na hata kama unajua kinavyopatikana hujui nani anawajibika kukupatia.

 

10 years ago

Michuzi

JE WAJUA MKATABA WAKO WA AJIRA NI WA AINA GANI KISHERIA.


Na  Bashir  Yakub
Kama  ilivyo  makubaliano  katika  shughuli  nyingine  za  kijamii  ajira  nayo  huwa  na  makubaliano  maalum  wakati   inapoingiwa. Makubaliano  haya ndiyo  huitwa  mkataba na  yumkini  huingiwa  kati  ya  wahusika  wawili  yaani  muajiriwa  na  muajiri. Aina  ya  mahusiano  wanayoingia  wahusika  ndiyo  huibua  aina za haki  na   wajibu  kwa  pande  zote  mbili. Mwenye  haki  hutakiwa  kutoa  haki  hiyo  kwa  mwenzake  naye  mwenye  wajibu  huwa  hana hiari  isipokuwa ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani