MSD YAWAONYA WANAOPANDISHA BEI ZA VIKINGA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-H8mB6H3_xNA/XnTCTpoeu2I/AAAAAAALkjU/5eBva9I-oB4ZrFZZ6NRPp7trO2tbuy6tACLcBGAsYHQ/s72-c/pic%252Bmsd.jpg)
Na Mwandishi wetu- Maelezo
Mkurugenzi Mkuu wa Bohari Kuu ya Dawa (MSD) Lawrean Bwanakunu amesema kuwa endapo wafanyabiashara wa bidhaa zinazosaidia kujikinga na maambukizi ya virusi vya korona wataendelea na tabia ya kupandisha bei ya bidhaa hizo itabidi MSD iingize bidhaa hizo mtaani.
Akielezea suala la bei ya vikinga virusi vya korona Bwanakunu alitolea mfano na kusema “Dawa za kuoshea mikono (sanitizer) ambayo bei yake halali katika soko ni shilingi 2,500 lakini kwa sasa wafanyabiashara...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iZWRvQvt1fU/XnUtto5J0TI/AAAAAAALkk0/JYLSkrtOZ2MFM6p_BO_0w69Ci_Wvx1TUwCLcBGAsYHQ/s72-c/8302dcba-d0f7-47a7-af41-39dc60159e14_1.41a3b9a2554e740d25eca99681bd33f7.jpeg)
MSD YAWATAHADHARISHA WANAOPANDISHA BEI ZA VIKINGA KORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-iZWRvQvt1fU/XnUtto5J0TI/AAAAAAALkk0/JYLSkrtOZ2MFM6p_BO_0w69Ci_Wvx1TUwCLcBGAsYHQ/s400/8302dcba-d0f7-47a7-af41-39dc60159e14_1.41a3b9a2554e740d25eca99681bd33f7.jpeg)
Mkurugenzi Mkuu wa Bohari Kuu ya Dawa (MSD) Lawrean Bwanakunu amesema kuwa endapo wafanyabiashara wa bidhaa zinazosaidia kujikinga na maambukizi ya virusi vya korona wataendelea na tabia ya kupandisha bei ya bidhaa hizo itabidi MSD iingize bidhaa hizo mtaani.
Akielezea suala la bei ya vikinga virusi vya korona Bwanakunu alitolea mfano na kusema “Dawa za kuoshea mikono (sanitizer) ambayo bei yake halali katika soko ni shilingi 2,500 lakini kwa sasa wafanyabiashara...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-VmwLhp1xrzQ/XnX3kBB8LII/AAAAAAAC1ZY/8EG287KaSOIc9X_lqV2snPBknrUQ4e9awCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MSD YAWATAHADHARISHA WANAOPANDISHA BEI BIDHAA ZINAZOSAIDIA KUJIKINGA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-VmwLhp1xrzQ/XnX3kBB8LII/AAAAAAAC1ZY/8EG287KaSOIc9X_lqV2snPBknrUQ4e9awCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Akielezea suala la bei ya vikinga virusi vya korona Bwanakunu alitolea mfano na kusema “Dawa za kuoshea mikono (sanitizer) ambayo bei yake halali katika soko ni shilingi 2,500 lakini kwa sasa wafanyabiashara...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Ae-xW-DsD7I/XqFoRJTv4pI/AAAAAAALn94/BNO2KjfGVyosaWQ0rrVgNcF-ImPzq5HjgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-23%2Bat%2B12.52.05%2BPM.jpeg)
BEI YA SUKARI YATANGAZWA, SERIKALI YAONYA WAFANYABIASHARA WANAOPANDISHA BEI KIHOLELA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ae-xW-DsD7I/XqFoRJTv4pI/AAAAAAALn94/BNO2KjfGVyosaWQ0rrVgNcF-ImPzq5HjgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-23%2Bat%2B12.52.05%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-T7j7LFV7AUw/XqFoRLlHXfI/AAAAAAALn98/niTepAN1TG0nOdSvHSY5EHxbBafM3qn1wCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-23%2Bat%2B12.53.14%2BPM.jpeg)
Charles James, Michuzi TVSERIKALI...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-p1b8hyTvUyI/Xq_4sRFfjPI/AAAAAAALpB0/xgutdYS6RYsLskWX1xuXAux5VIxMcEvgACLcBGAsYHQ/s72-c/17b9d5d4-1bc8-41b9-a2a6-f81976619abe.jpg)
RC MAKONDA ATANGAZA VITA NA WANAOPANDISHA BEI YA SUKARI, MSAKO MKALI KUANZA KESHO.
![](https://1.bp.blogspot.com/-p1b8hyTvUyI/Xq_4sRFfjPI/AAAAAAALpB0/xgutdYS6RYsLskWX1xuXAux5VIxMcEvgACLcBGAsYHQ/s640/17b9d5d4-1bc8-41b9-a2a6-f81976619abe.jpg)
RC Makonda amewaelekeza Wakuu wa Wilaya zote Tano za Mkoa huo kuhakikisha msako huo unaanza kesho na asisalie Mfanyabiashara yoyote anaeuza Sukari hiyo kwa Bei ya Juu.
Hatua hiyo imekuja...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RwK51kHwoJM/XqRESsHGmpI/AAAAAAALoLc/RjM598BI54QlrAPQJaUjofg_QJuwvhRMQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_5575.jpeg)
PRAMPRAM PALLBEARERS KUPANDISHA BEI BAADA YA CORONA KUISHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-RwK51kHwoJM/XqRESsHGmpI/AAAAAAALoLc/RjM598BI54QlrAPQJaUjofg_QJuwvhRMQCLcBGAsYHQ/s400/IMG_5575.jpeg)
MITANDAO mingi ya kijamii ikiwemo Facebook, WhatsApp na TikTok, inaongelea video zao, ni kundi linalofanya shughuli za mazishi kutoka nchini Ghana linalojulikana kama Prampram Pallbearers ambalo kwa sasa limekua maarufu zaidi ulimwenguni kote.
Video la kundi hilo zinawaonesha wanaume watano waliovalia nguo nyeusi, miwani nyeusi wakiwa wamebeba jeneza wakisindikizwa na kibao cha "Astronomia" wimbo ulioimbwa na Tony Igy.
Mwanzilishi wa kundi hilo Benjamin...
5 years ago
CCM BlogSERIKALI IMEWATAKA WANAOUZA BIDHAA ZA KUJIKINGA DHIDI YA CORONA-19, KUUZA KWA BEI ILIYOKO SOKONI
Katika kuhakikisha changamoto hizo zinatatuliwa jana Waziri Innocent Bashungwa ametembelea viwanda vinavyozalisha sabuni na Vitakasa mikono vilivyoko Jijini Dar es Salaam kuangalia bei ya bidhaa hiyo na...
5 years ago
BBCSwahili13 Apr
Virusi vya corona: Makubaliano ya kupunguza uzalishaji mafuta yafikiwa: Je hili litamaliza mvutano wa bei?
10 years ago
Mwananchi08 Apr
Bei za vyakula zapaa, mfumuko wa bei mwezi Machi wafikia asilimia 4.2
11 years ago
Mwananchi25 Jul
DART yawaonya wafanyabiashara