Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Virusi vya corona: Makubaliano ya kupunguza uzalishaji mafuta yafikiwa: Je hili litamaliza mvutano wa bei?

Opec bado haijatangaza rasmi makubaliano hayo lakini nchi husika zimethibitisha kuwa ziko tayari kwa mabadiliko.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wagonjwa wa corona Kenya kutibiwa nyumbani ili kupunguza msongamano hospitalini

Serikali ya Kenya inatenegeneza muongozo wa uangalizi salama wa wagonjwa wa virusi vya corona wakia nyumbani.

 

5 years ago

Michuzi

WANAOUGUA CORONA NI WENGI ZAIDI KULIKO WENYE VIRUSI VYA CORONA ...MUNGU TUPONYE NA JANGA HILI


Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii

TUKUBALIANE nitakachoelezea hapa hakuna uhusiano na ukweli wa moja kwa moja ila ni mtazamo wangu wa kijinga uliojaa na upumbavu ndani yake.

Nataka kuzungumzia ugonjwa hatari wa COVID-19 ( Corona) ambao umeifanya dunia kuhaha kutafuta kinga yake kwa ajili ya kuokoa maisha ya wanadamu. Corona haina adabu kabisa inakatisha maisha ya watu bila huruma. Ukweli dunia imekosa furaha kabisa kutokana na virusi vya Corona ambavyo havina tiba wala chanjo.

Nenda...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: 'Janga hili linaua mara mbili'

Italia imepiga marufuku mazishi ya watu wanaofariki kutokana na janga la corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Mvulana wa miaka 9 avumbua njia ya kupunguza maambukizi Kenya

Mbunifu kutoka Kenya mwenye umri wa miaka tisa amevumbua njia ya kijanja na ya kipekee ya kunawa mikono, ambayo inapunguza kusambaa kwa virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Nchi zinazoongozwa na wanawake wametumia mikakati gani kukabiliana na janga hili?

Baadhi ya mikakati inayotumiwa na wanawake kukabiliana na janga la corona kwa nchi zinazoongozwa na wanawake

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku

Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.

 

5 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA LIQUID TELECOM YAJA NA MAJIBU YA WATU KUENDELEA NA SHUGHULI ZA UZALISHAJI LICHA YA KUWEPO KWA VIRUSI VYA CORONA KATIKA BARA LA AFRIKA


Na Mwandishi Wetu, Michuzi Globu ya jamii

MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Liquid Telecom Nic Rudnick amesema kwamba katika kipindi hiki ambacho Dunia inakabiliwa na virusi vya COVID-19 ( Coronavirus) na kusabababisha shughuli nyingi za kiuchumi kusimama katika nchi mbalimbali wao kipaumbele cha cha kampuni hiyo kwa sasa ni kusaidia na kulinda afya, ustawi na usalama wa wafanyikazi, wateja, washirika na umma mkakati wa kudumisha mwendelezo wa biashara katika viwango vyote.

Amesisitiza katika...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mabadiliko ya virusi vya corona: Kwanini virusi vya corona vina tabia ya magonjwa yanayosambazwa kupitia ngono

Utafiti wa virusi vya Covid-19 ulikadiria kwamba kiwango kikuu cha maambukizi ya virusi hivyo hutokea siku moja au mbili kabla ya mtu aliyeambukizwa kuanza kuonyesha dalili.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

EWURA yaagizwa kupunguza zaidi bei ya mafuta


NA WAANDISHI WETU
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetakiwa kuhakikisha inaendelea kupunguza bei ya mafuta kulingana na mabadiliko katika soko la dunia. Agizo hilo limetolewa jana na Kamati ya PAC wakati ilipokutana na watendaji na maofisa wa EWURA, ambapo imesema ni lazima bei ya mafuta nchini ibadilike kulingana na bei ya soko duniani. Makamu Mwenyekiti wa PAC, Ismail Aden Rage, alisema bei ya mafuta kwenye soko la dunia imepungua kwa asilimia 25, hivyo mamlaka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani