Virusi vya corona: Mvulana wa miaka 9 avumbua njia ya kupunguza maambukizi Kenya
Mbunifu kutoka Kenya mwenye umri wa miaka tisa amevumbua njia ya kijanja na ya kipekee ya kunawa mikono, ambayo inapunguza kusambaa kwa virusi vya corona.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili21 May
Virusi vya corona: 80 wapatwa na maambukizi ya corona Kenya, akiwemo mtoto mchanga
Jumla ya watu waliopata virusi vya coroni nchini Kenya imefikia 1,109, Wizara ya Afya imetangaza Alhamisi.
5 years ago
BBCSwahili01 May
Virusi vya corona: Wagonjwa wa corona 4 wafariki huku 15 wakipata maambukizi Kenya
Kenya imeripoti jumla ya visa 411 vya maambukizi ya virusi vya corona Ijumaa, kwa mujibu wa taarifa za hivi punde zilizotangazwa na Waziri wa Afya wan chi hiyo Bwana Mutahi Kagwe
5 years ago
BBCSwahili02 May
Virusi vya corona: Watu 24 wapatikana na maambukizi ya corona kwa siku moja Kenya
Kenya imerekodi idadi kubwa ya maambukizi ya corona kwa siku moja , kuwahi kushuhudiwa tangu kisa cha kwanza cha maambukizi hayo kilipotangazwa tarehe 12 Machi
5 years ago
BBCSwahili04 Jun
Virusi vya corona: Wagonjwa wa corona Kenya kutibiwa nyumbani ili kupunguza msongamano hospitalini
Serikali ya Kenya inatenegeneza muongozo wa uangalizi salama wa wagonjwa wa virusi vya corona wakia nyumbani.
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya corona: Serikali yatangaza visa 7 zaidi vya maambukizi Kenya
Kenya imetangaza visa 7 zaidi vya maambukiz ya corona, idadi hiyo ikifanya idadi ya visa vya maambukizi ya virusi vya corona nchini humo kuwa 179
5 years ago
BBCSwahili09 May
Virusi vya corona: Kenya yatangaza visa 28 zaidi vya maambukizi ya Covid-19
Idadi ya maambukizi ya virusi vya corona nchini Kenya imepanda hadi kufikia jumla ya watu 649 Jumamosi, baada ya kutangazwa kwa matokeo chanya vya virusi katika sampuli za watu 28 miongoni mwa waliopimwa.
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Virusi vya corona: Mikutano mikubwa ya Kampeni za uchaguzi yaibua hofu ya maambukizi ya virusi vya corona
Picha zinazoonyesha mikusanyiko ya maelfu ya watu waliokusanyika Jumatatu kwa uzinduzi wa mikutano ya kampeni za kisiasa nchini zimeibua wasi wasi mkubwa ya kuongezeka kwa maambukizi ya virusi vya corona kabla ya taifa hilo kufanya uchaguzi unaotarajiwa tarehe 20 Mei mwaka huu.
5 years ago
BBCSwahili22 May
Virusi vya corona: Kenya kufikia kilele cha maambukizi baina ya Agosti na Septemba
Wizara ya Afya Kenya imetahadharisha wananchi kuwa huenda ikashuhudia idadi ya juu zaidi ya maambukizi huku kilele chake kikitarajiwe Agosti na Septemba.
5 years ago
BBCSwahili18 May
Virusi vya Corona: Maeneo mapya yapata maambukizi, huku idadi ya visa ikipanda Kenya
Watu 25 zaidi wamepatikana vna virusi vya corona, na kulifanya taifa la Kenya kuwa na jumla ya visa vya maambukizi 912, amesema Katibu tawala wa waziri wa Afya Rashid Aman.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania