TMA yawatahadharisha wakazi mikoa ya Kusini
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya kuwepo kwa vipindi vya mvua kubwa kwenye mikoa ya Lindi, Mtwara, Ruvuma na baadhi ya maeneo ya Pwani na Morogoro....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo01 Jan
Wakazi mikoa ya Kusini waonywa kuhusu mvua
MAMLAKA ya Hali ya Hewa nchini(TMA) imehadharisha wakazi wa mikoa ya Kusini, kutokana na kile ilichosema utabiri unaonesha kuanzia mwezi huu hadi Machi, itapata mvua juu ya wastani zinazoweza kusababisha mafuriko.
10 years ago
Michuzi.jpg)
Afisa Mtendaji Mkuu wa TTCL,afanya ziara mikoa ya kusini na Nyanda za juu kusini
Dr Kazaura ailijionea juhudi mbalimbali zinazofanywa na wafanyakazi wa TTCL katika kuhakikisha miundombinu ya TTCL na Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano inakuwa salama muda.
Hivi sasa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) imekuwa kampuni pekee ya mawasiliano ambayo imefanikiwa...
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
TMA yatahadharisha wakazi ukanda wa Pwani
MAMLAKA ya Hali ya Hewa (TMA), imewatahadharisha wakazi wa ukanda wa Pwani kuwa makini kutokana na upepo mkali pamoja na mawimbi makubwa unaotarajiwa kuvuma katika maeneo yao. Mikoa inayoweza kuathiriwa...
10 years ago
Raia Mwema02 Sep
Mikoa ya kusini na mahaba niue kwa CCM
WIKI iliyopita nilirejea baada ya kufanya safari ya mikoa ya kusini.
Mwandishi Wetu
9 years ago
Michuzi
WAKAZI WA MIKOA YA MANYARA,ARUSHA NA KILIMANJARO WAJITOKEZA UZINDUZI WA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA


Wanafunzi wa kozi ya awali ya Askari Polisi kutoka shule ya Polisi Tanania wakiwa katika manda,ano ya uzinduzi wa siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia Kanda ya Kaskazini.

10 years ago
Dewji Blog16 Mar
Tigo kupanua upatikanaji wa huduma za mawasiliano mikoa ya kusini
Kaimu Meneja Mkuu wa Tigo, Cecile Tiano (mwenye miwani) na Mrajisi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Iringa, John Kiteve (wa pili kulia) wakikata utepe kwa pamoja kuzindua rasmi mnara wa kisasa wa mawasiliano katika kijiji cha Maagubike, Iringa Vijijijini.
Kaimu Meneja Mkuu wa Tigo, Cecile Tiano (katikati) akisoma hotuba yake mara baada ya kampuni hiyo ya mawasiliano kuzindua mnara wake wa masiliano katika kijiji cha Maagubike, Iringa Vijijijini mwishoni mwa wiki.
Mrajisi wa Vyama vya...
10 years ago
Vijimambo
UKAWA KUWANUFAISHA WAKULIMA WA KOROSHO NA UFUTA MIKOA YA KUSINI

Mbunge wa jimbo la...
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Tigo yadhamini tamasha kubwa la muziki mikoa ya kusini
Mkurugenzi wa Kampuni ya Tigo wa Nyanda za Juu Kusini, Jackson Kiswaga (katikati walioketi) akielezea sababu za kampuni hiyo kudhamini tamasha la muziki (Mtikisiko) kwa mikoa ya Nyanda za Juu Kusini, Tamasha hilo litakalofanyika Songea, Njombe, Iringa na Mbeya kuanzia
kesho tamasha hilo limeandaliwa na Redio Ebony FM ya mjini Iringa na kudhaminiwa na Kampuni ya Tigo.
Sehemu ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mkurugenzi wa Kampuni ya Tigo wa Nyanda za Juu Kusini, Jackson Kiswaga.
Kampuni...