Wakazi mikoa ya Kusini waonywa kuhusu mvua
MAMLAKA ya Hali ya Hewa nchini(TMA) imehadharisha wakazi wa mikoa ya Kusini, kutokana na kile ilichosema utabiri unaonesha kuanzia mwezi huu hadi Machi, itapata mvua juu ya wastani zinazoweza kusababisha mafuriko.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima20 Apr
TMA yawatahadharisha wakazi mikoa ya Kusini
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya kuwepo kwa vipindi vya mvua kubwa kwenye mikoa ya Lindi, Mtwara, Ruvuma na baadhi ya maeneo ya Pwani na Morogoro....
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/NILch8FjIRE/default.jpg)
Wakazi wa mkoa wa Iringa wagundua dawa ya kuzuia mvua za mawe pamoja na mvua za upepo mkali
Waumi ni wa pentekoste mkoani Singida wamefanya ibada maalumu ya kumuombea Rais Magufuli ili aendelee kutumbua majipu: https://youtu.be/1dRmKUcqGHg
Waumini wa dini ya kiislamu wajitoa kusaidia wasiojiweza katika kuadhimisha sikukuu ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W) https://youtu.be/-sI1j96PQ4E
Viongozi wa kamati ya Shehia visiwani Unguja...
11 years ago
Habarileo18 Mar
Wananchi waonywa mvua za masika
WANANCHI wametakiwa kuchukua tahadhari za aina mbalimbali kukabiliana na maafa zaidi katika kipindi hiki cha mvua zinazonyesha za masika.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VQMqV2ZZ0IQ/VOHYjgumF2I/AAAAAAAHD88/xq8B_W50FyM/s72-c/1%2B(1).jpg)
Afisa Mtendaji Mkuu wa TTCL,afanya ziara mikoa ya kusini na Nyanda za juu kusini
Dr Kazaura ailijionea juhudi mbalimbali zinazofanywa na wafanyakazi wa TTCL katika kuhakikisha miundombinu ya TTCL na Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano inakuwa salama muda.
Hivi sasa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) imekuwa kampuni pekee ya mawasiliano ambayo imefanikiwa...
10 years ago
BBCSwahili10 Apr
Chuki:Viongozi waonywa Afrika Kusini
11 years ago
Habarileo02 Mar
Wanasiasa waonywa kuhusu urani
WANASIASA wametakiwa kuzingatia utafiti na ushauri wa kitaalamu, kabla ya kuruhusu kuanzishwa kwa migodi ya uchimbaji wa madini ya urani, yaliyogundulika katika maeneo mbalimbali nchini.
10 years ago
Habarileo20 May
Watanzania waonywa kuhusu amani
VIONGOZI wa dini, wanasiasa na wazee nchini wamewaonya Watanzania kujiepusha na viashiria vyovyote vya uvunjifu wa amani.
10 years ago
StarTV31 Dec
Mvua kubwa kuathiri baadhi ya mikoa nchini.
Na Josephine Mwaiswaga,
Dar es Salaam.
Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini TMA imetoa mwelekeo ya utabiri wa hali ya hewa wa Januari hadi Februari mwaka 2015 ikitahadharisha kuwepo kwa matukio ya mvua kubwa zenye athari katika mikoa ya Mbeya, Iringa, Ruvuma, Lindi, Katavi, Kigoma na Tabora.
Utabiri wa Mamlaka hiyo umekuja ikiwa ni siku moja tangu kutokea kwa mafuriko ya mvua kubwa iliyonyesha jijini Dar es salaam na kusababisha vifo vya watu wawili.
Aidha, katika utabiri huo Mamlaka ya...
10 years ago
Habarileo18 Feb
Wafanyabiashara Lindi waonywa kuhusu kodi
WAFANYABIASHARA mjini Lindi wameshauriwa kulipa kodi stahiki za Serikali kuisaidia kunyanyua uchumi wa taifa.