Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakazi mikoa ya Kusini waonywa kuhusu mvua

Agness Kijazi MAMLAKA ya Hali ya Hewa nchini(TMA) imehadharisha wakazi wa mikoa ya Kusini, kutokana na kile ilichosema utabiri unaonesha kuanzia mwezi huu hadi Machi, itapata mvua juu ya wastani zinazoweza kusababisha mafuriko.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

TMA yawatahadharisha wakazi mikoa ya Kusini

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya kuwepo kwa vipindi vya mvua kubwa kwenye mikoa ya Lindi, Mtwara, Ruvuma na baadhi ya maeneo ya Pwani na Morogoro....

 

9 years ago

Michuzi

Wakazi wa mkoa wa Iringa wagundua dawa ya kuzuia mvua za mawe pamoja na mvua za upepo mkali

Jeshi la polisi mkoani Tabora limetoa agizo kuwachukuliwa hatua polisi wanaojihusisha na uharifu na wanaotoa siri za jeshi hilo: https://youtu.be/ke0jqZIOm3o
Waumi ni wa pentekoste mkoani  Singida wamefanya ibada maalumu ya kumuombea Rais Magufuli ili aendelee kutumbua majipu: https://youtu.be/1dRmKUcqGHg
Waumini wa dini ya kiislamu wajitoa kusaidia wasiojiweza katika kuadhimisha sikukuu ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W) https://youtu.be/-sI1j96PQ4E
Viongozi wa kamati ya Shehia visiwani Unguja...

 

11 years ago

Habarileo

Wananchi waonywa mvua za masika

WANANCHI wametakiwa kuchukua tahadhari za aina mbalimbali kukabiliana na maafa zaidi katika kipindi hiki cha mvua zinazonyesha za masika.

 

10 years ago

Michuzi

Afisa Mtendaji Mkuu wa TTCL,afanya ziara mikoa ya kusini na Nyanda za juu kusini

Afisa Mtendaji Mkuu Dr Kamugisha Kazaura atembelea mikoa ya Lindi, Mtwara, Ruvuma na Mbeya ikiwa na lengo la kukagua miundombinu ya TTCL na Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano pamoja na kuzungumza na wafanyakazi wa TTCL wa mikoa hiyo.
Dr Kazaura ailijionea juhudi mbalimbali zinazofanywa na wafanyakazi wa TTCL katika kuhakikisha miundombinu ya TTCL na Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano inakuwa salama muda.
Hivi sasa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) imekuwa kampuni pekee ya mawasiliano ambayo imefanikiwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Chuki:Viongozi waonywa Afrika Kusini

Waziri wa masuala ya ndani nchini Afrika kusini ametoa wito kwa viongozi kukoma kutoa matamshi yanayoweza kusababisha maafa.

 

11 years ago

Habarileo

Wanasiasa waonywa kuhusu urani

WANASIASA wametakiwa kuzingatia utafiti na ushauri wa kitaalamu, kabla ya kuruhusu kuanzishwa kwa migodi ya uchimbaji wa madini ya urani, yaliyogundulika katika maeneo mbalimbali nchini.

 

10 years ago

Habarileo

Watanzania waonywa kuhusu amani

Waziri Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Warioba.VIONGOZI wa dini, wanasiasa na wazee nchini wamewaonya Watanzania kujiepusha na viashiria vyovyote vya uvunjifu wa amani.

 

10 years ago

StarTV

Mvua kubwa kuathiri baadhi ya mikoa nchini.

Na Josephine Mwaiswaga,

Dar es Salaam.

 

Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini TMA imetoa mwelekeo ya utabiri wa hali ya hewa wa Januari hadi Februari mwaka 2015 ikitahadharisha kuwepo kwa matukio ya mvua kubwa zenye athari katika mikoa ya Mbeya, Iringa, Ruvuma, Lindi,   Katavi, Kigoma na Tabora.

Utabiri wa Mamlaka hiyo umekuja ikiwa ni siku moja tangu kutokea kwa mafuriko ya mvua kubwa iliyonyesha jijini Dar es salaam na kusababisha vifo vya watu wawili.

Aidha, katika utabiri huo Mamlaka ya...

 

10 years ago

Habarileo

Wafanyabiashara Lindi waonywa kuhusu kodi

Johnson MinjaWAFANYABIASHARA mjini Lindi wameshauriwa kulipa kodi stahiki za Serikali kuisaidia kunyanyua uchumi wa taifa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani