Mvua kubwa kuathiri baadhi ya mikoa nchini.
Na Josephine Mwaiswaga,
Dar es Salaam.
Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini TMA imetoa mwelekeo ya utabiri wa hali ya hewa wa Januari hadi Februari mwaka 2015 ikitahadharisha kuwepo kwa matukio ya mvua kubwa zenye athari katika mikoa ya Mbeya, Iringa, Ruvuma, Lindi, Katavi, Kigoma na Tabora.
Utabiri wa Mamlaka hiyo umekuja ikiwa ni siku moja tangu kutokea kwa mafuriko ya mvua kubwa iliyonyesha jijini Dar es salaam na kusababisha vifo vya watu wawili.
Aidha, katika utabiri huo Mamlaka ya...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-3dX2jkimCEY/U073NL4ApLI/AAAAAAAFbao/JfY5n01U0Us/s1600/New+Picture+%285%29.bmp)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6L5hslOlMac/VQwQcJ9tXFI/AAAAAAAHLn0/AiiJE611NW0/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-03-20%2Bat%2B3.19.10%2BPM.png)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6A05RJELsOANbdJ-Kjc9dTSlSC6SkQ2W0PAWvUaP68VSpfhUJsIj3kgb10na*lSMLVnrGUe7deOaP0fYmkeVxLlhbK-sG5iA/mvuakubwa.jpg?width=650)
10 years ago
Dewji Blog20 Mar
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JjNDg8n45M8/VQ7A6s_G_RI/AAAAAAAHMMA/RDIeg3wsJO8/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-03-22%2Bat%2B4.05.04%2BPM.png)
11 years ago
Dewji Blog17 Apr
Taarifa ya tahadhari ya mvua kubwa katika baadhi ya maeneo ya nchi 17/04/2014 hadi 18/04/2014
TAHADHARI 16-04-2014 by moblog
11 years ago
Michuzi18 Apr
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-U9xMl4ww11c/VLuReEr_QUI/AAAAAAAG-I0/OpQe2ESskuU/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-01-18%2Bat%2B1.53.39%2BPM.png)
11 years ago
Mwananchi11 May
Mvua zahofiwa kuathiri mradi wa bomba la gesi