Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mvua kubwa kuathiri baadhi ya mikoa nchini.

Na Josephine Mwaiswaga,

Dar es Salaam.

 

Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini TMA imetoa mwelekeo ya utabiri wa hali ya hewa wa Januari hadi Februari mwaka 2015 ikitahadharisha kuwepo kwa matukio ya mvua kubwa zenye athari katika mikoa ya Mbeya, Iringa, Ruvuma, Lindi,   Katavi, Kigoma na Tabora.

Utabiri wa Mamlaka hiyo umekuja ikiwa ni siku moja tangu kutokea kwa mafuriko ya mvua kubwa iliyonyesha jijini Dar es salaam na kusababisha vifo vya watu wawili.

Aidha, katika utabiri huo Mamlaka ya...

StarTV

Read more


Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani