Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watanzania waonywa kuhusu amani

Waziri Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Warioba.VIONGOZI wa dini, wanasiasa na wazee nchini wamewaonya Watanzania kujiepusha na viashiria vyovyote vya uvunjifu wa amani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Wavunjifu wa amani waonywa

MKUU wa mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe, amevionya baadhi ya vyama vya siasa vinavyowashawishi vijana kufanya vurugu, kung’oa mabango ya wagombea, kurusha mawe, kuzomea, kutoa vitisho na lugha za matusi vikomeshe mambo hayo mara moja.

 

10 years ago

Habarileo

Watanzania waonywa urais wa fedha, udini

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard MembeWAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amewataka Watanzania kuwapuuza wanasiasa wenye kutaka kutumia fedha, dini, ukabila na aina yoyote ya ubaguzi kujijengea uhalali na kuombea kura katika uchaguzi mkuu ujao.

 

9 years ago

StarTV

Watanzania waonywa dhidi ya kutumiwa na wanasiasa

WAUMINI wa dini mbalimbali nchini na Watanzania kwa ujumla wameonywa juu ya kuacha kukubali kutumiwa na wanasiasa kufanya vitendo vya kuvunja sheria siku ya uchaguzi  mkuu, hali inayoweza  kuleta  vurugu na kuvuruga amani na utulivu

Mmoja wa viongozi wa dini ya Kiislamu mkoani Singida Shekhe Issa Nasoro amesema leo kuwa kauli  kinzani za Tume ya uchaguzi, Serikali na baadhi ya wanasiasa kubaki au kuondoka vituoni baada ya kupiga kura zinapaswa kupimwa na kila mtu kutumia akili  zake ili...

 

10 years ago

Dewji Blog

11 years ago

Habarileo

Wanasiasa waonywa kuhusu urani

WANASIASA wametakiwa kuzingatia utafiti na ushauri wa kitaalamu, kabla ya kuruhusu kuanzishwa kwa migodi ya uchimbaji wa madini ya urani, yaliyogundulika katika maeneo mbalimbali nchini.

 

10 years ago

Habarileo

Wafanyabiashara Lindi waonywa kuhusu kodi

Johnson MinjaWAFANYABIASHARA mjini Lindi wameshauriwa kulipa kodi stahiki za Serikali kuisaidia kunyanyua uchumi wa taifa.

 

11 years ago

Dewji Blog

UWT waonywa kuhusu vijembe, watakiwa kupendana

DSC07695

Mwenyekiti wa CCM mkoani Singida, Mgana Msindai.

 Na Nathaniel Limu

JUMUIYA ya wanawake wa Chama cha Mapinduzi (UWT) mkoani Singida wametakiwa kuacha tabia ya kupeana vijembe wenyewe kwa wenyewe na badala yake wajenge tabia ya kupendana ili kukiletea nguvu na ushindi chama hicho katika uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika mwezi Oktoba na uchaguzi mkuu mwakani.

Mwenyekiti wa CCM mkoani Singida, Mgana Msindai, amewaasa wanawake hao katika kongamano la siku tatu la umoja wa Wanawake...

 

11 years ago

Habarileo

Wakazi mikoa ya Kusini waonywa kuhusu mvua

Agness Kijazi MAMLAKA ya Hali ya Hewa nchini(TMA) imehadharisha wakazi wa mikoa ya Kusini, kutokana na kile ilichosema utabiri unaonesha kuanzia mwezi huu hadi Machi, itapata mvua juu ya wastani zinazoweza kusababisha mafuriko.

 

9 years ago

Raia Mwema

Watanzania hawajachoka na amani

KATIKA dunia hii kila jambo hutanguliwa na ishara.

Maggid Mjengwa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani