Watanzania waonywa kuhusu amani
VIONGOZI wa dini, wanasiasa na wazee nchini wamewaonya Watanzania kujiepusha na viashiria vyovyote vya uvunjifu wa amani.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo14 Sep
Wavunjifu wa amani waonywa
MKUU wa mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe, amevionya baadhi ya vyama vya siasa vinavyowashawishi vijana kufanya vurugu, kung’oa mabango ya wagombea, kurusha mawe, kuzomea, kutoa vitisho na lugha za matusi vikomeshe mambo hayo mara moja.
10 years ago
Habarileo09 Feb
Watanzania waonywa urais wa fedha, udini
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amewataka Watanzania kuwapuuza wanasiasa wenye kutaka kutumia fedha, dini, ukabila na aina yoyote ya ubaguzi kujijengea uhalali na kuombea kura katika uchaguzi mkuu ujao.
9 years ago
StarTV24 Oct
Watanzania waonywa dhidi ya kutumiwa na wanasiasa
WAUMINI wa dini mbalimbali nchini na Watanzania kwa ujumla wameonywa juu ya kuacha kukubali kutumiwa na wanasiasa kufanya vitendo vya kuvunja sheria siku ya uchaguzi mkuu, hali inayoweza kuleta vurugu na kuvuruga amani na utulivu
Mmoja wa viongozi wa dini ya Kiislamu mkoani Singida Shekhe Issa Nasoro amesema leo kuwa kauli kinzani za Tume ya uchaguzi, Serikali na baadhi ya wanasiasa kubaki au kuondoka vituoni baada ya kupiga kura zinapaswa kupimwa na kila mtu kutumia akili zake ili...
10 years ago
Dewji Blog06 Jan
11 years ago
Habarileo02 Mar
Wanasiasa waonywa kuhusu urani
WANASIASA wametakiwa kuzingatia utafiti na ushauri wa kitaalamu, kabla ya kuruhusu kuanzishwa kwa migodi ya uchimbaji wa madini ya urani, yaliyogundulika katika maeneo mbalimbali nchini.
10 years ago
Habarileo18 Feb
Wafanyabiashara Lindi waonywa kuhusu kodi
WAFANYABIASHARA mjini Lindi wameshauriwa kulipa kodi stahiki za Serikali kuisaidia kunyanyua uchumi wa taifa.
11 years ago
Dewji Blog31 Jul
UWT waonywa kuhusu vijembe, watakiwa kupendana
Mwenyekiti wa CCM mkoani Singida, Mgana Msindai.
Na Nathaniel Limu
JUMUIYA ya wanawake wa Chama cha Mapinduzi (UWT) mkoani Singida wametakiwa kuacha tabia ya kupeana vijembe wenyewe kwa wenyewe na badala yake wajenge tabia ya kupendana ili kukiletea nguvu na ushindi chama hicho katika uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika mwezi Oktoba na uchaguzi mkuu mwakani.
Mwenyekiti wa CCM mkoani Singida, Mgana Msindai, amewaasa wanawake hao katika kongamano la siku tatu la umoja wa Wanawake...
11 years ago
Habarileo01 Jan
Wakazi mikoa ya Kusini waonywa kuhusu mvua
MAMLAKA ya Hali ya Hewa nchini(TMA) imehadharisha wakazi wa mikoa ya Kusini, kutokana na kile ilichosema utabiri unaonesha kuanzia mwezi huu hadi Machi, itapata mvua juu ya wastani zinazoweza kusababisha mafuriko.
9 years ago
Raia Mwema14 Oct