Wavunjifu wa amani waonywa
MKUU wa mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe, amevionya baadhi ya vyama vya siasa vinavyowashawishi vijana kufanya vurugu, kung’oa mabango ya wagombea, kurusha mawe, kuzomea, kutoa vitisho na lugha za matusi vikomeshe mambo hayo mara moja.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo20 May
Watanzania waonywa kuhusu amani
VIONGOZI wa dini, wanasiasa na wazee nchini wamewaonya Watanzania kujiepusha na viashiria vyovyote vya uvunjifu wa amani.
10 years ago
Mtanzania17 Apr
Dk. Slaa: Tutawashitaki The Hague wavunjifu haki za binadamu
Na Mwandishi Wetu
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kinakusudia kuchukua hatua za kisheria dhidi ya vitendo vya uvunjifu wa haki za binadamu vilivyotokea miaka ya nyuma nchini.
Kwa mujibu wa mtandao wa Chadema Diaspora, Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Willibrod Slaa, alitoa kauli hiyo juzi wakati akizungumza katika mkutano na wanasheria 12 wakubwa nchini Marekani, uliofanyika Bloomington Jimbo la Indiana kuhusu matukio makubwa ya uvunjifu wa haki za binadamu yaliyogusa jumuiya ya...
9 years ago
Raia Mwema07 Oct
Tufanye yote, wimbo wetu uwe amani, amani, amani
Wiki hii Raia Mwema lilifanya mahojiano na mwanasheria mkuu wa serikali mstaafu, Jaji Mark Bomani
Mwandishi Wetu
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FPB20Vn_wS4/VFagXo5QG8I/AAAAAAAGvIA/pSmz81E0fBk/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
Dkt. Kigwangala aongoza Mbio za Amani 2014, ahimiza amani nchini
Akizungumza na wanamichezo wa vilabu mbalimbali vya kukimbia (Jogging) kutoka Tanzania bara na Zanzibar, katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, Mbunge wa jimbo la Nzega, ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya bunge ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EwbJBfAoCls/VFNUiF3tWyI/AAAAAAAGuWs/MResu-FXFgQ/s72-c/unnamed%2B(65).jpg)
TUTASHIRIKIANA NA WAPENDA AMANI KUISAIDIA DRC KUWA NA AMANI - TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-EwbJBfAoCls/VFNUiF3tWyI/AAAAAAAGuWs/MResu-FXFgQ/s1600/unnamed%2B(65).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Mt8rAKimY7o/VFNUicfeKnI/AAAAAAAGuWo/HCPKHFhAzJg/s1600/unnamed%2B(66).jpg)
10 years ago
Dewji Blog06 Jan
9 years ago
MichuziWADAU WA AMANI MKOA WA SHINYANGA WAKUTANA KUJADILI JINSI YA KUDUMISHA AMANI KIPINDI CHA UCHAGUZI
Mambo kadha wa kadha yamejadiliwa ikiwemo kuhakikisha ulinzi na usalama wa...
10 years ago
Mwananchi10 Jun
Tumwache Mwalimu apumzike kwa amani amani
9 years ago
StarTV06 Oct
Wadau wa amani Tanga wajadili udumishaji amani
Wadau wa amani jijini Tanga wamekutana kujadili namna ambayo watadumisha amani kwenye kipindi cha kampeni na uchaguzi mkuu wa madiwani, wabunge na nafasi ya urais unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25 mwaka huu.
Wadau hao ni viongozi wa dini na wa kisiasa, makundi ya kijamii na waandishi wa habari ambao wote kwa pamoja wametakiwa kutumia nafasi zao kuhakikisha amani inaendelea kuwepo wakati wa uchaguzi na baada ya uchaguzi.
Nafasi ya viongozi wa dini, siasa, makundi ya kijamii na waandishi wa...