Tumwache Mwalimu apumzike kwa amani amani
Watangazania urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), wameanza kutangaza nia na wengine kuchukua fomu
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo06 Feb
MADAKATARI WAMWAMBIA BOBBY BROWN AACHE BOBBI KRISTINA APUMZIKE KWA AMANI
9 years ago
Raia Mwema07 Oct
Tufanye yote, wimbo wetu uwe amani, amani, amani
Wiki hii Raia Mwema lilifanya mahojiano na mwanasheria mkuu wa serikali mstaafu, Jaji Mark Bomani
Mwandishi Wetu
10 years ago
MichuziDkt. Kigwangala aongoza Mbio za Amani 2014, ahimiza amani nchini
Akizungumza na wanamichezo wa vilabu mbalimbali vya kukimbia (Jogging) kutoka Tanzania bara na Zanzibar, katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, Mbunge wa jimbo la Nzega, ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya bunge ya...
10 years ago
Raia Tanzania13 Aug
Tunaweza kumwacha Mwalimu apumzike?
MWAKA huu tuna kwenda kufanya uchaguzi, miaka 20 baada ya uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi. Katika Uchaguzi huo Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere alikuwa ndiyo dira elekezi ya sifa za aina ya Rais tumayemtaka kwa wakati huo.
Oktoba 25, siku ya Uchaguzi Mkuu, tutakuwa tunatimiza miaka 16 na siku 11 ya Tanzania bila Baba wa taifa, hilo lakini halimaanishi kwamba hayupo kabisa kabisa, Mwalimu bado anaishi, yuko kwenye fikra zetu, kwenye mioyo yetu na kwa kweli kila mahali, watu aina...
10 years ago
MichuziTUTASHIRIKIANA NA WAPENDA AMANI KUISAIDIA DRC KUWA NA AMANI - TANZANIA
10 years ago
Dewji Blog06 Jan
9 years ago
MichuziWADAU WA AMANI MKOA WA SHINYANGA WAKUTANA KUJADILI JINSI YA KUDUMISHA AMANI KIPINDI CHA UCHAGUZI
Mambo kadha wa kadha yamejadiliwa ikiwemo kuhakikisha ulinzi na usalama wa...
9 years ago
StarTV06 Oct
Wadau wa amani Tanga wajadili udumishaji amani
Wadau wa amani jijini Tanga wamekutana kujadili namna ambayo watadumisha amani kwenye kipindi cha kampeni na uchaguzi mkuu wa madiwani, wabunge na nafasi ya urais unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25 mwaka huu.
Wadau hao ni viongozi wa dini na wa kisiasa, makundi ya kijamii na waandishi wa habari ambao wote kwa pamoja wametakiwa kutumia nafasi zao kuhakikisha amani inaendelea kuwepo wakati wa uchaguzi na baada ya uchaguzi.
Nafasi ya viongozi wa dini, siasa, makundi ya kijamii na waandishi wa...
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Kumng’oa Dk Amani: Kutaleta amani Bukoba?