Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MADAKATARI WAMWAMBIA BOBBY BROWN AACHE BOBBI KRISTINA APUMZIKE KWA AMANI

Bobby Brown akiwa nje ya hospitali ya chuo kikuu cha Emory siku ya Alhamisi Feb 5, 2015 kwenye siku yake ya kuzaliwa akipokua ametoka kwa ajili ya kuvuta sigara.Bobby Brown akiongozana na familia ya Houston alipokua akiwasili hospitali mapema leo Alhamisi kumjulia hali mwanae Bobbi Kristina ambaye yupo kwenye koma. Familia ya Houston imekuwanae sambamba tangia siku ya kwanza ya maswahibu ya mtoto Bobbi Kristina.bobby-brown-sad-birthday-at-the-hospitalBobby Brown akiongozana na Gary Houston ambaye ni mpwa wake Whitney...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Exclusive gossip: Bobby Brown Says Bobbi Kristina ‘Is Awake’

720x405-153963570

Bobbi

“I can say today, Bobbi is awake. She’s watching me,” he told a shocked crowd at the Verizon Theater in Dallas, Texas, on Saturday. A video of his statement was posted to Instagram.

The video was captioned, “Theirs [sic] been terrible rumors circulating for months … @kingbobbybrown would like to share a message with you all … From our family to yours … Thank you for all the well wishes and prayers for his daughter #BK …. But let it be known that #GOD holds the glory …. continue to...

 

10 years ago

Bongo5

Madaktari wamuomba Bobby Brown awaruhusu wazime mashine inayomsaidia Bobbi Kristina kupumua sababu hakuna matumaini

Madaktari wa hospitali alipolazwa aliyekuwa mtoto wa mwanamuziki wa nchini Marekani,marehemu Whitney Houston, Bobbi Kristina hawana tena matumaini ya kuokoa maisha ya binti huyo. Madaktari hao wamemuomba baba yake Bobby Brown kutoa ruhusa ya kuzima mashine inayomsaidia kupumua ikiwa na maana kwamba kukubali matokeo ya kuwa hawezi kupona,TMZ imeripoti. Vyanzo vya familia hiyo vimeiambia TMZ […]

 

10 years ago

Mtanzania

Bobby Brown achoshwa na hali ya Kristina

bobby-brown-bobbi-kristinaNA BADI MCHOMOLO
BAADA ya Kristina Brown kukaa hospitali kwa muda wa siku 73 tangu aanguke bafuni Januari 31 mwaka huu, baba yake, Bobby Brown, ameonekana kukata tamaa ya kupona kwa binti yake huyo.
Kristina bado anaishi kwa kutegemea nguvu ya mashine, lakini hata hivyo hali yake haileti matumaini tangu alipopelekwa hospitalini.
“Mpaka sasa hatujui nini kitatokea kwa mtoto wetu, tumemkabidhi Mungu kila kitu kwa kuwa yeye ndiye mwenye maamuzi ya mwisho katika kila jambo.”
Mbali na Bobby Brown...

 

10 years ago

Dewji Blog

Bobbi Kristina Brown Dies at 22

GTY_bobbi_kristina_brown_4_jt_150131_4x3_992

Bobbi Kristina Brown, the daughter of late music legend Whitney Houston and R&B singer Bobby Brown, died on July 26, surrounded by her family, at Peachtree Christian Hospice in Duluth, Georgia. She was 22.

“She is finally at peace in the arms of God,” the Houston family said in statement to ET. “We want to again thank everyone for their tremendous amount of love and support during these last few months.”

On Jan. 31, Bobbi Kristina was found unresponsive in her bathtub, and was then taken...

 

10 years ago

GPL

BOBBY BROWN: SIWEZI KUONDOA MASHINE YA KUPUMUA, MUNGU ATAMWOKOA MWANANGU BOBBI

Bobby Brown akipozi na binti yake Bobbi Kristina. Marehemu Whitney Houston akiwa katika pozi na mwanaye Bobbi Kristina mwaka 2007.…

 

10 years ago

Mwananchi

Tumwache Mwalimu apumzike kwa amani amani

Watangazania urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), wameanza kutangaza nia na wengine kuchukua fomu

 

10 years ago

GPL

BAADA YA KUZIMIA KWA MIEZI MIWILI, BOBBI KRISTINA AZINDUKA

Bobbi Kristina. Bobbi Kristina ambaye ni mtoto wa nguli wa muziki Bobby Brown na marehemu Whitney Houston, amezinduka baada ya kupoteza fahamu kwa zaidi ya miwili kutokana na kilichoelezwa kuwa ni matumizi ya dawa za kulevya. Bobbi Kristina akiwa na baba'ke Bobby Brown.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na tovuti ya MTV na kuthibitishwa na Bobby Brown na shangazi yake, binti huyo amefumbua macho na sasa hatumii tena mashine ya...

 

10 years ago

Bongo5

Polisi walikuta dawa za kulevya nyumbani kwa mtoto wa Whitney Houston, Bobbi Kristina

Familia ya mtoto wa kike wa marehemu Whitney Houston, Bobbi Kristina imethibitisha kuwa polisi walikuta dawa za kulevya nyumbani kwake baada ya kurudi kwa mara ya pili kufanya ukaguzi, TMZ imeripoti. Binti huyo mwenye miaka 21 alikutwa bafuni kwenye ‘bathtub’ Jumamosi iliyopita akiwa amepoteza fahamu. Kwa mujibu wa taarifa ya polisi, siku moja kabla ya […]

 

10 years ago

GPL

BOBBY BROWN AOMBA MSAMAHA KWA KUSAHAU MASHAIRI

Mwanamuziki wa kimataifa wa R&B, Bobby Brown. GEORGIA, Marekani
MWANAMUZIKI wa kimataifa wa R&B, Bobby Brown hivi karibuni aliwaomba msamaha mashabiki waliohudhuria kwenye tamasha lake huko Atlanta, Georgia baada ya kusahau mashairi ya wimbo aliokuwa anaimba hali iliyosababisha yeye na madensa wake kupishana jukwaani. Bobby hakuonekana kabisa mwenye furaha katika tamasha hilo ambalo ni la pili kufanya tangu Januari… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani