Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BAADA YA KUZIMIA KWA MIEZI MIWILI, BOBBI KRISTINA AZINDUKA

Bobbi Kristina. Bobbi Kristina ambaye ni mtoto wa nguli wa muziki Bobby Brown na marehemu Whitney Houston, amezinduka baada ya kupoteza fahamu kwa zaidi ya miwili kutokana na kilichoelezwa kuwa ni matumizi ya dawa za kulevya. Bobbi Kristina akiwa na baba'ke Bobby Brown.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na tovuti ya MTV na kuthibitishwa na Bobby Brown na shangazi yake, binti huyo amefumbua macho na sasa hatumii tena mashine ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Mtoto wa Whitney Houston, Bobbi Kristina bado yupo mahututi, ni baada ya kukutwa bafuni hapumui

Mtoto wa kike wa marehemu, Whitney Houston, Bobbi Kristina yupo mahututi na ubongo wake umedaiwa kushindwa kufanya kazi. Madaktari wamedai kuwa hiyo si dalili nzuri. Msichana huyo mwenye umri wa miaka 21 alikutwa bafuni kwenye ‘bathtub’ uso wake ukiwa kwenye maji Jumamosi iliyopita na alikuwa hapumui. Alizinduka na kupelekwa hospitali ambako amelazwa kwenye wodi ya […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Jamaa afukuliwa miezi miwili baada ya kuzikwa

Familia moja nchini kenya imefukua mwili wa jamaa yao kutekeleza agizo lake la kuzikwa na pakiti ya sigara pamoja na peremende anzozipenda

 

10 years ago

Vijimambo

MADAKATARI WAMWAMBIA BOBBY BROWN AACHE BOBBI KRISTINA APUMZIKE KWA AMANI

Bobby Brown akiwa nje ya hospitali ya chuo kikuu cha Emory siku ya Alhamisi Feb 5, 2015 kwenye siku yake ya kuzaliwa akipokua ametoka kwa ajili ya kuvuta sigara.Bobby Brown akiongozana na familia ya Houston alipokua akiwasili hospitali mapema leo Alhamisi kumjulia hali mwanae Bobbi Kristina ambaye yupo kwenye koma. Familia ya Houston imekuwanae sambamba tangia siku ya kwanza ya maswahibu ya mtoto Bobbi Kristina.bobby-brown-sad-birthday-at-the-hospitalBobby Brown akiongozana na Gary Houston ambaye ni mpwa wake Whitney...

 

10 years ago

Bongo5

Polisi walikuta dawa za kulevya nyumbani kwa mtoto wa Whitney Houston, Bobbi Kristina

Familia ya mtoto wa kike wa marehemu Whitney Houston, Bobbi Kristina imethibitisha kuwa polisi walikuta dawa za kulevya nyumbani kwake baada ya kurudi kwa mara ya pili kufanya ukaguzi, TMZ imeripoti. Binti huyo mwenye miaka 21 alikutwa bafuni kwenye ‘bathtub’ Jumamosi iliyopita akiwa amepoteza fahamu. Kwa mujibu wa taarifa ya polisi, siku moja kabla ya […]

 

10 years ago

GPL

BOBBI KRISTINA KUREJESHWA NYUMBANI

Mtoto wa aliyekuwa mwimbaji mwenye sauti ya mvuto, Marehemu Whitney Houston, Bobbi Kristina. Georgia, Marekani
MTOTO wa aliyekuwa mwimbaji mwenye sauti ya mvuto, Marehemu Whitney Houston, Bobbi Kristina ambaye ni mgonjwa amepangwa kurejeshwa nyumbani huku hali yake ikiwa bado haijatengamaa. Bobbi Kristina akiwa na babaa'ke, Bobby Brown.
Kristina, 22, ambaye kwa sasa analelewa na Bobby Brown, yupo hospitali kwa miezi...

 

10 years ago

GPL

MASTAA WAMLILIA BOBBI KRISTINA

Marehemu Bobbi Kristina enzi za uhai wake.
New York, Marekani
INASIKITISHA SANA! Baada ya kifo cha mtoto wa staa wa R&B, Hayati Whitney Houston, Bobbi Kristina aliyefariki dunia mwishoni mwa wiki iliyopita, mastaa wengi nchini Marekani wameonesha hisia zao za kuguswa na kifo hicho kwa kutuma salamu za pole kuifariji familia ya marehemu. Keri Hilson. Baadhi ya mastaa waliotuma salamu za rambirambi kwa familia ya Bobbi… ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Bobbi Kristina Brown Dies at 22

GTY_bobbi_kristina_brown_4_jt_150131_4x3_992

Bobbi Kristina Brown, the daughter of late music legend Whitney Houston and R&B singer Bobby Brown, died on July 26, surrounded by her family, at Peachtree Christian Hospice in Duluth, Georgia. She was 22.

“She is finally at peace in the arms of God,” the Houston family said in statement to ET. “We want to again thank everyone for their tremendous amount of love and support during these last few months.”

On Jan. 31, Bobbi Kristina was found unresponsive in her bathtub, and was then taken...

 

10 years ago

GPL

APOTEZA FAHAMU KWA MIEZI MIWILI

JOSEPH Matitu anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 50  ambaye hajajulikana kuwa ni mkazi wa wapi, ameokotwa na wasamaria wema Machi 13, mwaka huu baada ya kudondoka ghafla na kupoteza fahamu. Joseph Matitu anayedaiwa kupoteza fahamu kwa miezi miwili, akiendelea kupata matibabu.
Kwa mujibu wa mtoa habari wetu, Matitu aliokotwa Kibaha, mkoani Pwani baada ya watu kumuona akiwa amelala chini, wakahisi alikuwa amefariki dunia....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani