Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BOBBY BROWN: SIWEZI KUONDOA MASHINE YA KUPUMUA, MUNGU ATAMWOKOA MWANANGU BOBBI

Bobby Brown akipozi na binti yake Bobbi Kristina. Marehemu Whitney Houston akiwa katika pozi na mwanaye Bobbi Kristina mwaka 2007.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Madaktari wamuomba Bobby Brown awaruhusu wazime mashine inayomsaidia Bobbi Kristina kupumua sababu hakuna matumaini

Madaktari wa hospitali alipolazwa aliyekuwa mtoto wa mwanamuziki wa nchini Marekani,marehemu Whitney Houston, Bobbi Kristina hawana tena matumaini ya kuokoa maisha ya binti huyo. Madaktari hao wamemuomba baba yake Bobby Brown kutoa ruhusa ya kuzima mashine inayomsaidia kupumua ikiwa na maana kwamba kukubali matokeo ya kuwa hawezi kupona,TMZ imeripoti. Vyanzo vya familia hiyo vimeiambia TMZ […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Exclusive gossip: Bobby Brown Says Bobbi Kristina ‘Is Awake’

720x405-153963570

Bobbi

“I can say today, Bobbi is awake. She’s watching me,” he told a shocked crowd at the Verizon Theater in Dallas, Texas, on Saturday. A video of his statement was posted to Instagram.

The video was captioned, “Theirs [sic] been terrible rumors circulating for months … @kingbobbybrown would like to share a message with you all … From our family to yours … Thank you for all the well wishes and prayers for his daughter #BK …. But let it be known that #GOD holds the glory …. continue to...

 

10 years ago

Vijimambo

MADAKATARI WAMWAMBIA BOBBY BROWN AACHE BOBBI KRISTINA APUMZIKE KWA AMANI

Bobby Brown akiwa nje ya hospitali ya chuo kikuu cha Emory siku ya Alhamisi Feb 5, 2015 kwenye siku yake ya kuzaliwa akipokua ametoka kwa ajili ya kuvuta sigara.Bobby Brown akiongozana na familia ya Houston alipokua akiwasili hospitali mapema leo Alhamisi kumjulia hali mwanae Bobbi Kristina ambaye yupo kwenye koma. Familia ya Houston imekuwanae sambamba tangia siku ya kwanza ya maswahibu ya mtoto Bobbi Kristina.bobby-brown-sad-birthday-at-the-hospitalBobby Brown akiongozana na Gary Houston ambaye ni mpwa wake Whitney...

 

9 years ago

Michuzi

Muhimbili yapokea mashine ya ventilator ya kusaidia wagonjwa kupumua

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MHN), Profesa Lawrence Mseru akipokea mashine ya ventilator ya kusaidia wagonjwa kupumua endapo wamezidiwa baada ya kuugua. Kushoto ni Mkurugenzi Mauzo wa Mashariki ya Kati na Afrika, Qasem Sumrein akikabidhi mashine hiyo leo. Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MHN), Profesa Lawrence Mseru akitoa ufafanuzi baada ya kupokea mashine hiyo. Daktari Bingwa wa Magonjwa Mahututi na Uzingizi, Moa Kalunga katika...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Waandisi wanaorekebisha mashine za kusaidia kupumua bila malipo

Wahandisi wawili kutoka Nigeria wamekuwa wakitengeneza vifaa vya kusaidia kupumua vilivyoharibika bila malipo katika hospitali moja nchini humo

 

10 years ago

BBCSwahili

Bobby Brown asema mwanawe yu hai

Imeripotiwa kuwa mashine inayomsaidia kupumua mtoto wa Whitney Houston Bobby Kristina imezimwa,

 

10 years ago

Mtanzania

Bobby Brown achoshwa na hali ya Kristina

bobby-brown-bobbi-kristinaNA BADI MCHOMOLO
BAADA ya Kristina Brown kukaa hospitali kwa muda wa siku 73 tangu aanguke bafuni Januari 31 mwaka huu, baba yake, Bobby Brown, ameonekana kukata tamaa ya kupona kwa binti yake huyo.
Kristina bado anaishi kwa kutegemea nguvu ya mashine, lakini hata hivyo hali yake haileti matumaini tangu alipopelekwa hospitalini.
“Mpaka sasa hatujui nini kitatokea kwa mtoto wetu, tumemkabidhi Mungu kila kitu kwa kuwa yeye ndiye mwenye maamuzi ya mwisho katika kila jambo.”
Mbali na Bobby Brown...

 

11 years ago

GPL

SAJENTI: SIWEZI KUSAHAU KITENDO CHA CHAZ BABA KUMKANA MWANANGU

MIMI napenda kukuuliza kwa nini uliachana na mwanamuziki Chaz Baba na inavyoonekana mnaendana sana? Selemani Alifa, Dar, 0718803204
SAJENTI: Kila kitu kina wakati wake hivyo ule ulikuwa ni wakati wangu lakini haikuwa riziki. Mwanamuziki Chaz Baba. PICHA ZA UTUPU
Kwa nini unapenda kupiga picha za utupu? Huoni kama unaishusha hadhi yako? Andrew Kazala, Dar, 0717179570
SAJENTI: Sijawahi kupiga picha za utupu. URAFIKI
...

 

10 years ago

GPL

MTOTO WA KIKE AMPA FARAJA BOBBY BROWN

Mwanamuziki Bobby Brown. Massachusetts, Marekani
MWANAMUZIKI Bobby Brown amepata faraja baada ya mkewe Alicia Etheredge kumletea mtoto wa kike ambaye amejifungua hivi karibuni. Bobby Brown akiwa na mkewe.
Wanandoa hao walioana mwaka 2012 ambapo walijaaliwa kupata watoto wa kiume ukiacha Bobbi Kristina ambaye ni wa Bobby Brown na sasa wamempata wa kike ambaye amewapoza machungu kutokana na Bobbi kuwa mgonjwa kwa muda… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani