Muhimbili yapokea mashine ya ventilator ya kusaidia wagonjwa kupumua
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MHN), Profesa Lawrence Mseru akipokea mashine ya ventilator ya kusaidia wagonjwa kupumua endapo wamezidiwa baada ya kuugua. Kushoto ni Mkurugenzi Mauzo wa Mashariki ya Kati na Afrika, Qasem Sumrein akikabidhi mashine hiyo leo.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MHN), Profesa Lawrence Mseru akitoa ufafanuzi baada ya kupokea mashine hiyo.
Daktari Bingwa wa Magonjwa Mahututi na Uzingizi, Moa Kalunga katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili30 Mar
Coronavirus: Kwa nini mashine za kusaidia kupumua ni muhimu kwa wagonjwa wa virusi vya corona?
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Virusi vya corona: Waandisi wanaorekebisha mashine za kusaidia kupumua bila malipo
11 years ago
Tanzania Daima11 Jun
Muhimbili yapokea mashine
HOSPITALI ya Taifa Muhimbili imepokea msaada wa mashine yenye thamani ya sh milioni 24 kutoka Serikali ya India. Mashine hiyo itatumiwa na wagonjwa wenye matatizo ya figo waliopo katika wodi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-g-sq9dBjxnk/XpiKhm7VAOI/AAAAAAAAJHU/STSJF5oXiUQLsV8MnVMn4u_8FV7s7RnzACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200416_110636_444.jpg)
UTAFITI WA MASHINE YA KUSAIDIA KUPUMULIA KWA WAGONJWA WA COVID 19 WAENDELEA NA TANALEC
![](https://1.bp.blogspot.com/-g-sq9dBjxnk/XpiKhm7VAOI/AAAAAAAAJHU/STSJF5oXiUQLsV8MnVMn4u_8FV7s7RnzACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200416_110636_444.jpg)
Mwenyekiti wa Mtaa wa Levolosi Seif Abdi akipokea vifaa kutoka kwa Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-yMdgF9XeoCs/XpiJgRCgcQI/AAAAAAAAJGY/LB8DmUIOAhYrk-5R37_zSe3qGEjG1lSWgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200416_111020_267.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-UtBxeNtrtr8/XpiJ-lCQiMI/AAAAAAAAJGo/A7PKUYqpTvcuXM6EoJh1XyZRxu31IudGgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200416_104320_259.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1woV2DlXM1I/XqUwL4izw0I/AAAAAAAAJtw/6MyntbeTLfEXZtdFV-xmssz9EfzIDK4mgCLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-04-26-09-46-54.jpg)
MUHIMBILI KUFUNGA MASHINE TATU ZA KUSAFISHA DAMU HOSPITALI YA AMANA ILI KUHUDUMIA WAGONJWA WENYE MATATIZO YA FIGO WALIOAMBUKIZWA UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-1woV2DlXM1I/XqUwL4izw0I/AAAAAAAAJtw/6MyntbeTLfEXZtdFV-xmssz9EfzIDK4mgCLcBGAsYHQ/s640/PHOTO-2020-04-26-09-46-54.jpg)
Mojawapo ya mashine ya kusafisha damu kwa wagonjwa wa figo iliyofungwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana ambayo thamani yake ni TZS. 70 Mil.
![](https://1.bp.blogspot.com/-C9SzRQw0VPc/XqUwLzKSPZI/AAAAAAAAJts/i1i-k5MOdmwmeJrjW4vBmdnI-T-ipMihQCLcBGAsYHQ/s640/PHOTO-2020-04-26-09-46-54%2B2.jpg)
Mashine ya kusaidia mgonjwa kupumua ambayo itafungwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana ambayo thamani yake ni TZS. 56 Mil.
![](https://1.bp.blogspot.com/-QVchssb9eP4/XqUwL9rYO1I/AAAAAAAAJt0/-HWZUnwo1U4yzHAn5tQipuQ4RbiMVZPEACLcBGAsYHQ/s640/PHOTO-2020-04-26-09-46-54%2B3.jpg)
Mtambo wa kuchuja maji (Portable RO System) kwenda kwenye mashine ya kusafisha damu wenye thamani ya TZS. 28 Mil uliofungwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imefunga mashine tatu za kusafisha damu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xa7rDnAgaa6queK8L7Ixr7tIF1WoMxFGsG9lT85Sk2NcDg*nwJw5muJksBd1xcgVFbYA8Rfp6Tz7UbDDB5wRdPW1lToBcxn*/BROWNANDBOBBI.jpg)
BOBBY BROWN: SIWEZI KUONDOA MASHINE YA KUPUMUA, MUNGU ATAMWOKOA MWANANGU BOBBI
10 years ago
Bongo506 Feb
Madaktari wamuomba Bobby Brown awaruhusu wazime mashine inayomsaidia Bobbi Kristina kupumua sababu hakuna matumaini
5 years ago
BBCSwahili15 May
Virusi vya Corona: Zanzibar yapokea mashine yenye uwezo wa kupima watu 288 kwa siku
9 years ago
Mtanzania17 Nov
Mashine ya MRI Muhimbili yaharibika tena
Veronica Romwald na Allen Msapi (GHI), Dar es Salaam
MASHINE ya uchunguzi wa magonjwa mbalimbali ijulikanayo kama Magnetic Reasonance Imaging (MRI) iliyopo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, imeharibika tena baada ya kufanya kazi kwa siku mbili, tangu ilipofanyiwa matengenezo na Kampuni ya Philips.
Mashine hiyo ilifanyiwa matengenezo kutokana na shinikizo la Rais Dk. John Magufuli aliyefanya ziara ya kushtukiza hospitalini hapo na kuamuru zifanyiwe marekebisho haraka.
Katika ziara yake hiyo,...