Watanzania waonywa dhidi ya kutumiwa na wanasiasa
WAUMINI wa dini mbalimbali nchini na Watanzania kwa ujumla wameonywa juu ya kuacha kukubali kutumiwa na wanasiasa kufanya vitendo vya kuvunja sheria siku ya uchaguzi mkuu, hali inayoweza kuleta vurugu na kuvuruga amani na utulivu
Mmoja wa viongozi wa dini ya Kiislamu mkoani Singida Shekhe Issa Nasoro amesema leo kuwa kauli kinzani za Tume ya uchaguzi, Serikali na baadhi ya wanasiasa kubaki au kuondoka vituoni baada ya kupiga kura zinapaswa kupimwa na kila mtu kutumia akili zake ili...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo13 Jun
‘Vijana kataeni kutumiwa na wanasiasa’
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Tabora mjini, Moshi Nkonkota ameshauri vijana kujitambua na kutokukubali kutumika kama daraja na wanasiasa wabinafsi katika kutafutia uongozi.
10 years ago
Dewji Blog17 Oct
Redio jamii zisikubali kutumiwa na wanasiasa kwa manufaa binafsi
Afisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) Bw. Al Amin Yusuph akizungumza machache kabla ya kumkaribisha Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis Mtungi kuzungumza na washiriki 31 wa mtandao wa redio jamii Tanzania (COMNETA) unaotekeleza mradi wa demokrasia na amani (DEP) kuelekea uchaguzi mkuu 2015 wanaohudhuria warsha ya siku nne inayoendelea mjini Dodoma.
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini...
10 years ago
Habarileo18 Oct
Jaji Mutungi: Redio jamii msikubali kutumiwa ‘kijinga’ na wanasiasa
MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi amezitaka redio za jamii kutokubali kutumiwa na vyama vya siasa vinavyotumia unyonge wa Watanzania kiuchumi kujinufaisha kisiasa.
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_0043.jpg)
REDIO JAMII ZISIKUBALI KUTUMIWA NA WANASIASA KWA MANUFAA BINAFSI
9 years ago
MichuziVIJANA MSIKUBALI KUTUMIWA VIBAYA NA BAADHI YA WANASIASA KWA FAIDA YA WACHACHE-MAMA SALMA KIKWETE
Rai hiyo imetolewa jana na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea kwa nyakati tofauti na wananchi wa kijiji cha Kikomolela kilichopo jimbo la Mchinga na mtaa wa Likotwa uliopo Jimbo la Lindi mjini waliohudhuria kampeni ya kuwanadi wagombea wa nafasi za udiwani, ubunge na urais...
10 years ago
Habarileo18 May
Wanasiasa wanaonunua madaraka waonywa
WANANCHI wametakiwa kuwa waangalifu na wanasiasa wanaotumia rushwa kutaka uongozi kwani hawana nia kuongoza nchi.
11 years ago
Habarileo02 Mar
Wanasiasa waonywa kuhusu urani
WANASIASA wametakiwa kuzingatia utafiti na ushauri wa kitaalamu, kabla ya kuruhusu kuanzishwa kwa migodi ya uchimbaji wa madini ya urani, yaliyogundulika katika maeneo mbalimbali nchini.
10 years ago
Mwananchi09 Nov
Sakata la IPTL, sasa wanasiasa waonywa
10 years ago
Habarileo20 Mar
Wanasiasa waonywa kumsemea Rais Kikwete
VIONGOZI wa kisiasa wametakiwa kutomsemea wala kumuwekea maneno mdomoni Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Jakaya Kikwete kuwa ana nia ya kukata baadhi ya majina ya ugombea urais kwenye uchaguzi mkuu.