Tigo kupanua upatikanaji wa huduma za mawasiliano mikoa ya kusini
Kaimu Meneja Mkuu wa Tigo, Cecile Tiano (mwenye miwani) na Mrajisi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Iringa, John Kiteve (wa pili kulia) wakikata utepe kwa pamoja kuzindua rasmi mnara wa kisasa wa mawasiliano katika kijiji cha Maagubike, Iringa Vijijijini.
Kaimu Meneja Mkuu wa Tigo, Cecile Tiano (katikati) akisoma hotuba yake mara baada ya kampuni hiyo ya mawasiliano kuzindua mnara wake wa masiliano katika kijiji cha Maagubike, Iringa Vijijijini mwishoni mwa wiki.
Mrajisi wa Vyama vya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog09 Feb
Tigo kuwekeza dola milioni 1 kupanua huduma zake Zanzibar
Kaimu Meneja Mkuu mpya wa Tigo Bi. Cecile Tiano.
Tigo Tanzania imepanga mwaka huu kujenga minara 10 mipya ya simu yenye thamani ya dola milioni moja (1) katika visiwa vya Zanzibar kama moja ya mikakati yake ya upanuzi wa huduma zake nchini.
Hii ilitangazwa leo na Kaimu Meneja Mkuu mpya wa Tigo Bi. Cecile Tiano wakati alipotembelea Zanzibar kwa mara ya kwanza kukutana na wadau wa kampuni kisiwani hapo.
Bi. Tiano alisema kwamba minara hii mipya 10 ni uwekezaji mkubwa ambao kampuni hiyo...
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Tigo yafikisha upatikanaji wa huduma ya 4G LTE Dodoma
Mkurugenzi wa kanda ya Kaskazini kutoka Tigo Bw.George Lugata akimkabidhi Bw.Danson Kaijage kushoto laini mpya ya 4G LTE katika uzinduzi wa huduma ya 4G LTE, katikati ni Territory Meneja wa Dodoma, Singida na Kondoa Bw.Innocent Anthony kutoka Tigo jijini Dodoma.
-Ni baada ya kuanza kutoa huduma...
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Tigo yadhamini tamasha kubwa la muziki mikoa ya kusini
Mkurugenzi wa Kampuni ya Tigo wa Nyanda za Juu Kusini, Jackson Kiswaga (katikati walioketi) akielezea sababu za kampuni hiyo kudhamini tamasha la muziki (Mtikisiko) kwa mikoa ya Nyanda za Juu Kusini, Tamasha hilo litakalofanyika Songea, Njombe, Iringa na Mbeya kuanzia
kesho tamasha hilo limeandaliwa na Redio Ebony FM ya mjini Iringa na kudhaminiwa na Kampuni ya Tigo.
Sehemu ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mkurugenzi wa Kampuni ya Tigo wa Nyanda za Juu Kusini, Jackson Kiswaga.
Kampuni...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-D3lacmOEXz0/U_SXOojZ9wI/AAAAAAAGA5g/rRCeYG-2M7U/s72-c/004.jpg)
VODACOM YATOA MADA KUHUSIANA NA HUDUMA ZAKE KWENYE WARSHA YA KUSHIRIKISHANA NJIA ZA KUBORESHA NA KUPANUA HUDUMA ZA KIFEDHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-D3lacmOEXz0/U_SXOojZ9wI/AAAAAAAGA5g/rRCeYG-2M7U/s1600/004.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-kEpw8MMJLyw/U_SXRz0dGQI/AAAAAAAGA50/_wb7wyKVLgY/s1600/006.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdOrAXqFClet9mVhpHYYb2IrbqSSLxy5n4FOHD1pqLpnKnYDOmfsKoB4QCjuTFTlCgXxalQtu7aQlR0Pdqn4ydBC/001.jpg?width=650)
VODACOM YATOA MADA KUHUSIANA NA HUDUMA ZAKE KWENYE WARSHA YA KUSHIRIKISHANA NJIA ZA KUBORESHA NA KUPANUA HUDUMA ZA KIFEDHA
10 years ago
Dewji Blog20 May
Tigo yazidi kupanua wigo wake maeneo ya vijijini
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi (aliyevaa miwani) pamoja na Mkurugenzi wa Kampuni ya Tigo wa Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini, Jackson Kiswaga wakikata utepe kuzindua minara ya mawasiliano ya mtandao wa simu wa Tigo katika vijiji vya Iguluba na Makukula, Jimbo la Isimani, wilayani Iringa mkoani Iringa. Wengine pichani ni viongozi wa wilaya ya Iringa na baadhi ya wananchi wa vijiji hivyo
Mkurugenzi wa Kampuni ya Tigo wa Nyanda za Juu Kusini, Jackson Kiswaga...
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
Vodacom yaendelea kupanua wigo wa huduma
WATEJA wa Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom wameendelea kukumbushwa kupata huduma katika maduka mapya yanayoendelea kufunguliwa maeneo mbalimbai karibu na makazi yao, ili kuepuka gharama na usumbufu usio wa lazima...
10 years ago
Dewji Blog10 Sep
Wateja wa Tigo Pesa kunufaika na huduma ya “Tigo wekeza” kwa kupata faida kupitia akaunti zao
Meneja Mkuu wa Tigo Diego Gutierrez akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu huduma mpya ya Tigo Wekeza iliyozinduliwa leo kwa ajili ya kuwawezesha wateja wa Tigo Pesa zaidi ya milioni 3.5 kuweza kupata gawiwo moja kwa moja katika akaunti zao za Tigo Pesa. Kushoto ni Profesa Andrew Temu kutoka mfuko wa fedha Financial Services Deepening Trust (FSDT), wa pili kulia ni Mkuu wa Idara ya Tigo Pesa Andrew Hodgson na wakala wa Tigo Pesa Ramadhan Wangwa.
Tigo Tanzania leo imekuwa...
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Shirika la Posta lajipanga kupanua wigo wa huduma
KWA mujibu wa takwimu za Shirika la Umoja wa Posta Duniani (UPU) mtandao wa mawasiliano kwa njia ya Posta unajumuisha ofisi za posta 660,000 zenye uwezo wa kusambaza wastani wa...