VODACOM YATOA MADA KUHUSIANA NA HUDUMA ZAKE KWENYE WARSHA YA KUSHIRIKISHANA NJIA ZA KUBORESHA NA KUPANUA HUDUMA ZA KIFEDHA
![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdOrAXqFClet9mVhpHYYb2IrbqSSLxy5n4FOHD1pqLpnKnYDOmfsKoB4QCjuTFTlCgXxalQtu7aQlR0Pdqn4ydBC/001.jpg?width=650)
Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania ,Kelvin Twissa akitoa mada juu ya huduma zinazotolewa na kampuni yake wakati wa Warsha ya kushirikishana uzoefu kuhusu njia za kuboresha na kupanua huduma za kifedha kwa biashara ndogo na za kati hapo jana. Warsha hiyo iliandaliwa na Tanzania Private Sector Foundation (TPSF) na kudhaminiwa na Vodacom.Kushoto ni muongozaji wa mada Felix Mlaki na Katikati ni...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-D3lacmOEXz0/U_SXOojZ9wI/AAAAAAAGA5g/rRCeYG-2M7U/s72-c/004.jpg)
VODACOM YATOA MADA KUHUSIANA NA HUDUMA ZAKE KWENYE WARSHA YA KUSHIRIKISHANA NJIA ZA KUBORESHA NA KUPANUA HUDUMA ZA KIFEDHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-D3lacmOEXz0/U_SXOojZ9wI/AAAAAAAGA5g/rRCeYG-2M7U/s1600/004.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-kEpw8MMJLyw/U_SXRz0dGQI/AAAAAAAGA50/_wb7wyKVLgY/s1600/006.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gDF3S0THO9xaLxKrBLF-NcW3dpcS--dMgIBn-UqPXh-VLsIrWTU5YcJ1nInbDtx3N3nkDvmllKahgEDaV7c0DNUnYJ8kgAjU/001.LEO.jpg?width=650)
VODACOM NA TIGO WAUNGANA KUTOA HUDUMA BORA ZA KIFEDHA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v4ZZJy3ZUOd*uiOH7cPIijJlqn3XYdiEkpKDz5c7mRTyshhnGru8NVYG41qEwxcqhytwj7iI-2Ogfr-mFHxoh8Dk6iODXxgi/003.Moneygram.jpg)
VODACOM NA MONEYGRAM WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO YA KUTOA HUDUMA ZA KIFEDHA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zcg5CJIee48z*eIIl0T0iTQhGdaxbYxshxlaiqivKwfNWre5*efhWLopu7srbaLyWL5*8bso51VdyErM0v5zPasmPd*1SCPO/001.Kongamano.jpg)
VODACOM TANZANIA YASHIRIKI KONGAMANO LA WIKI YA HUDUMA ZA KIFEDHA NA UWEKEZAJI JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eAkQ2xyNfS6YsHWC6JXhIcpXbrbkeUR9MRh2iNx96vtLJQ*X3CJkOCA65ue-VaidLqZmNjMo-C9wUJc8ysfJ3CLp3D2EJDlF/006.MKATABA.jpg?width=650)
VODACOM KUJIKITA ZAIDI KUBORESHA HUDUMA ZA MAWASILIANO VIJIJINI
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
Vodacom yaendelea kupanua wigo wa huduma
WATEJA wa Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom wameendelea kukumbushwa kupata huduma katika maduka mapya yanayoendelea kufunguliwa maeneo mbalimbai karibu na makazi yao, ili kuepuka gharama na usumbufu usio wa lazima...
10 years ago
Dewji Blog09 Feb
Tigo kuwekeza dola milioni 1 kupanua huduma zake Zanzibar
Kaimu Meneja Mkuu mpya wa Tigo Bi. Cecile Tiano.
Tigo Tanzania imepanga mwaka huu kujenga minara 10 mipya ya simu yenye thamani ya dola milioni moja (1) katika visiwa vya Zanzibar kama moja ya mikakati yake ya upanuzi wa huduma zake nchini.
Hii ilitangazwa leo na Kaimu Meneja Mkuu mpya wa Tigo Bi. Cecile Tiano wakati alipotembelea Zanzibar kwa mara ya kwanza kukutana na wadau wa kampuni kisiwani hapo.
Bi. Tiano alisema kwamba minara hii mipya 10 ni uwekezaji mkubwa ambao kampuni hiyo...
11 years ago
Mwananchi13 Feb
BoT: Kuboresha huduma za kifedha ngazi ya kaya
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hjddvqSdx_8/UwnBB1gBJgI/AAAAAAAFO3E/3ui7tQTmXRc/s72-c/unnamed+(5).jpg)
Vodacom yaendelea kupanua wigo wa huduma kwa wateja Dar es Salaam