BBC yawatahadharisha juu ya utapeli
BBC inawatahadharisha wasikilizaji na watumiaji wa mtandao wake dhidi ya watu wenye nia ya kitapeli kwa kutumia jina lake.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima20 Apr
TMA yawatahadharisha wakazi mikoa ya Kusini
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya kuwepo kwa vipindi vya mvua kubwa kwenye mikoa ya Lindi, Mtwara, Ruvuma na baadhi ya maeneo ya Pwani na Morogoro....
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iZWRvQvt1fU/XnUtto5J0TI/AAAAAAALkk0/JYLSkrtOZ2MFM6p_BO_0w69Ci_Wvx1TUwCLcBGAsYHQ/s72-c/8302dcba-d0f7-47a7-af41-39dc60159e14_1.41a3b9a2554e740d25eca99681bd33f7.jpeg)
MSD YAWATAHADHARISHA WANAOPANDISHA BEI ZA VIKINGA KORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-iZWRvQvt1fU/XnUtto5J0TI/AAAAAAALkk0/JYLSkrtOZ2MFM6p_BO_0w69Ci_Wvx1TUwCLcBGAsYHQ/s400/8302dcba-d0f7-47a7-af41-39dc60159e14_1.41a3b9a2554e740d25eca99681bd33f7.jpeg)
Mkurugenzi Mkuu wa Bohari Kuu ya Dawa (MSD) Lawrean Bwanakunu amesema kuwa endapo wafanyabiashara wa bidhaa zinazosaidia kujikinga na maambukizi ya virusi vya korona wataendelea na tabia ya kupandisha bei ya bidhaa hizo itabidi MSD iingize bidhaa hizo mtaani.
Akielezea suala la bei ya vikinga virusi vya korona Bwanakunu alitolea mfano na kusema “Dawa za kuoshea mikono (sanitizer) ambayo bei yake halali katika soko ni shilingi 2,500 lakini kwa sasa wafanyabiashara...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-necLNKrGp-E/VA2tZHvdYpI/AAAAAAAGh3s/iP30Kk0AWk0/s72-c/3.jpg)
Serikali yawatahadharisha wananchi kuhusu matumizi mabaya ya Mawasiliano
![](http://4.bp.blogspot.com/-necLNKrGp-E/VA2tZHvdYpI/AAAAAAAGh3s/iP30Kk0AWk0/s1600/3.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) bw. Innocent Mungy amesema kumekuwa na watu wachache wanaotumia mawasiliano pasipo kuzingatia sheria na kanuni.
Kumekuwa na matukio yanayoashiria kutumika kwa mitandao ya kijamii kuleta madharambalimbali kwa watumiaji...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jGx6aokockM/VSaWZw745TI/AAAAAAAHP20/ujlDiD7q-zU/s72-c/IMG_0535.jpg)
TAROWU YAWATAHADHARISHA MADEREVA KUTOJIHUSISHA NA MIGOMO KATIKA SEKTA YA USAFIRISHAJI
![](http://4.bp.blogspot.com/-jGx6aokockM/VSaWZw745TI/AAAAAAAHP20/ujlDiD7q-zU/s1600/IMG_0535.jpg)
Na Avila Kakingo,Globu ya Jamii.
CHAMA cha wafanyakazi wa usafirishaji kwa njia ya barabara Tanzania (TAROWU) kimewatahadharisha wafanyakazi wa sekta ya usafirishaji...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-VmwLhp1xrzQ/XnX3kBB8LII/AAAAAAAC1ZY/8EG287KaSOIc9X_lqV2snPBknrUQ4e9awCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MSD YAWATAHADHARISHA WANAOPANDISHA BEI BIDHAA ZINAZOSAIDIA KUJIKINGA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-VmwLhp1xrzQ/XnX3kBB8LII/AAAAAAAC1ZY/8EG287KaSOIc9X_lqV2snPBknrUQ4e9awCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Akielezea suala la bei ya vikinga virusi vya korona Bwanakunu alitolea mfano na kusema “Dawa za kuoshea mikono (sanitizer) ambayo bei yake halali katika soko ni shilingi 2,500 lakini kwa sasa wafanyabiashara...
5 years ago
MichuziWIZARA YA AFYA YATHIBITISHA KUWEPO KWA MGONJWA MMOJA WA CORONA,YAWATAHADHARISHA WANANCHI
Serikali kupitia Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Mhe.Ummy Mwalimu imethibitisha kuwepo kwa mgonjwa mmoja wa Corona ambapo amewasisitiza wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa huo.
Akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Dar es Salaam, Waziri Ummy alisema kuwa Machi 15, 2020 aligundulika mgonjwa mmoja mwanamke mwenye umri wa miaka 46 ambaye aliwasili na ndege ya Rwandair akitokea nchini Ubelgiji.
“Mwanamke huyu aliondoka nchini Machi 5, 2020 na...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-X70QsS2H60M/UzxOO8CJY5I/AAAAAAAFX60/22xIfLW3uzw/s72-c/New+Picture+(7).bmp)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfbIEIcZp*y2eb1*kzoYYRH1cs-vMdAqYjV4Rt5Mr0n8O5Cz7XrK6Qsqs2BZ8cDqwuVx6sx0IqngW0zoBHLQ127D/MASOGANGE.jpg)
MASOGANGE NA SKENDO YA UTAPELI
Stori: Imelda Mtema
VIDEO Queen matata Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’ amefungua mdomo wake na kuwaka kuwa anachukizwa na tabia ya baadhi ya watu ambao wanatumia jina lake kutapeli kwenye mtandao wa kijamii wa Facebook.Akizungumza na mwanahabari wetu, Masogange alisema kuwa watu wanaotumia jina lake wakome Video Queen matata Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’. kwa sababu wanamjengea hisia tofauti...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania