Mfumuko wa bei nchini waporomoka, shilingi yapaa
>Mfumuko wa bei za bidhaa za vyakula kwa mwezi uliopita umepungua kwa kiasi kikubwa, huku thamani ya shilingi ikipanda.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Bei ya Tanzanite nchini yapaa
Bei ya madini ya Tanzanite hapa nchini imepanda huku bei hiyo ikiporomoka katika soko la kimataifa.
10 years ago
Mwananchi11 Aug
Mfumuko wa bei waongezeka nchini
Mfumuko wa bei umeongezeka na kufikia asilimia 6.4 kutoka mwezi uliopita tofauti na ilivyokuwa Juni asilimia 6.1.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--XCHZQkdebo/VDVOUgX_Y4I/AAAAAAAGouo/-OQLKojKOjQ/s72-c/unnamed.jpg)
MFUMUKO WA BEI NCHINI WAPUNGUA
Na. Aron Msigwa-MAELEZO.
Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa mwezi Septemba 2014 umepungua hadi kufikia asilimia 6.6 kutoka asilimia 6.7 iliyokuwepo mwezi Agosti kutokana na kupungua kwa bei ya bidhaa na huduma katika maeneo mbalimbali nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam, Mkurugenzi wa Sensa na Takwimu za Jamii wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Bw. Ephraim Kwesigabo amesema kuwa bidhaa za vyakula zikiwemo mchele, mahindi, ulezi, matunda, Sukari na vinywaji baridi...
Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa mwezi Septemba 2014 umepungua hadi kufikia asilimia 6.6 kutoka asilimia 6.7 iliyokuwepo mwezi Agosti kutokana na kupungua kwa bei ya bidhaa na huduma katika maeneo mbalimbali nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam, Mkurugenzi wa Sensa na Takwimu za Jamii wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Bw. Ephraim Kwesigabo amesema kuwa bidhaa za vyakula zikiwemo mchele, mahindi, ulezi, matunda, Sukari na vinywaji baridi...
10 years ago
Mwananchi09 Jan
Mfumuko wa bei wapungua nchini
Mfumuko wa bei kwa mwaka ulioishia Desemba mwaka jana umeshuka hadi kufikia asilimia 4.8 kutoka asilimia 5.8 ya Novemba kutokana na kupungua kwa bei za bidhaa mbalimbali ikielezwa kwamba kupungua huko kulikuwa hakujatokea kwa miaka miwili iliyopita.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bco3t9J7*tRKEJMtHq7WAdC0BR4gZkMxApMyjISrHAUI9waHULRJ-KcsckL-en4x-wZ9lIuLQe2WtIzsN36BDqd9dtYjbNbY/Takwimu1.jpg?width=750)
MFUMUKO WA BEI NCHINI WAENDELEA KUPUNGUA
Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Bw. Ephraimu Kwesigabo akitoa taarifa ya kupungua kwa mfumuko wa bei nchini kwa mwezi Desemba, 2014 leo jijini Dar es salaam.Wengine ni Meneja wa Takwimu za Ajira na Bei wa Ofisi hiyo Bi. Ruth Minja (kushoto) na Johnson Nyella, Meneja Utafiti wa Uchumi wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT). Na. Aron Msigwa-MAELEZO. 8/1/2015.Dar es salaam.… ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nLML9an*avr6*g5w-cFa3Ryd9bVlS2LCophqQugdiUXBhtPDX3F8BgVr*TiqOJ4jJr3QTiQKt7xAWXioWfjXXMi9qU*PSch-/NBS1.jpg)
MFUMUKO WA BEI NCHINI WAPUNGUA
Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Bw. Ephraimu Kwesigabo akitoa taarifa ya kupungua kwa mfumuko wa bei nchini kwa mwezi Januari, 2015 leo jijini Dar es salaam.
Ofisi ya Taifa ya Takwimu imesema kuwa Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa mwezi Januari, 2015Â umepungua hadi kufikia asilimia 4.0 kutoka asilimia 4.8 ya mwezi Desemba, 2014 kutokana na kuendelea kupungua kwa kasi ya bei ya bidhaa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A1Qs8*3Ts4y5MbNakwFdvULk1Tf*iNS8uDEegw7XcWkNzjk6PQ1Gc4K3N5m03Vw4DDCTqFh6yNzhimcC-yh15Mg6LtqhA71a/NBS1.jpg?width=650)
NBS YATOA TAARIFA YA MFUMUKO WA BEI NCHINI
Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Bw. Ephraimu Kwesigabo akitoa taarifa ya mfumuko wa bei nchini kwa mwezi Agosti, 2014 leo jijini Dar es salaam. Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa mwezi Agosti, 2014 umeongezeka hadi kufikia asilimia 6.7 kutoka asilimia 6.5 iliyokuwepo mwezi Julai kutokana na kuendelea kupanda kwa bei ya baadhi ya bidhaa na huduma katika maeneo mbalimbali nchini. Mkurugenzi wa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mggY7584R-s/U7xeK1Fac7I/AAAAAAAFzFk/2Ax11WPKaWo/s72-c/unnamed+(43).jpg)
MFUMUKO WA BEI NCHINI UMEPUNGUA - OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU.
Na Aron Msigwa – MAELEZO.Ofisi ya Taifa ya Takwimu imeeleza kuwa mfumuko wa bei nchini kwa mwezi Juni 2014 umepungua ikilinganishwa na mwezi uliopita kutokana na kupungua kwa bei ya bidhaa na huduma za jamii katika maeneo mbalimbali. Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam Mkurugenzi wa Takwimu za Jamii na sensa ya Watu na Makazi Bw. Ephraim Kwesigabo amesema kuwa mfumuko wa bei wa Taifa kwa mwezi Juni, 2014 umepungua na kufikia asilimia 6.4 kutoka asilimia...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania