Bei ya Tanzanite nchini yapaa
Bei ya madini ya Tanzanite hapa nchini imepanda huku bei hiyo ikiporomoka katika soko la kimataifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi09 Jul
Mfumuko wa bei nchini waporomoka, shilingi yapaa
11 years ago
Habarileo![](http://www.habarileo.co.tz/images/images_2012_june_dec/Noti10000.jpg)
Bei ya vyakula yapaa
KUTOKANA na kuanza kwa Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, baadhi ya wafanyabiashara katika mikoa mbalimbali nchini, wamepandisha bei za vyakula, hali iliyoanza kuleta usumbufu kwa wananchi. Gazeti hili lilitembelewa masoko kadhaa katika mikoa ya Dar es Salaam, Zanzibar na Shinyanga jana na kubaini kuwa bei za vyakula, zimepanda maradufu mara tu baada ya Mfungo kuanza juzi.
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Bei ya Tanzanite yaporomoka nje
5 years ago
CCM BlogWAZIRI BITEKO:SEKTA YA MADINI YAONGOZA KWA UKUAJI NCHINI. MAKUSANYO YAPAA KUTOKA BIL. 39 HADI BIL.58 APRILI
Nuru Mwasampeta na Tito Mselem,WM- Dodoma
WAZIRI wa Madini, Doto Biteko amesema ukuaji na mchango wa Sekta ya Madini kwenye pato la taifa unakua kwa kasi na kuwa mwaka 2019 mchango huo umeongezeka na kufikia asilimia 17.7 kutoka ukuaji wa asilimia 1.5 kwa mwaka 2018.
Amesema, kwa ukuaji huo sekta ya madini imeongoza sekta zote kwa ukuaji ikifuatiwa na sekta ya ujenzi ikiwa na ukuaji wa asilimia 14.1.
Ameongeza kuwa, wizara yake imekuwa ikikusanya kiasi cha wastani wa shilingi bilioni 39 kwa...
11 years ago
Uhuru Newspaper16 Jun
Meneja Tanzanite One atoroka nchini
Na Mwandishi Wetu, Arusha
MENEJA Mauzo wa Kampuni ya Tanzanite One, Jacques Beytel (39) maarufu ‘Kibakuli’ raia wa Afrika Kusini aliyekamatwa wiki iliyopita kwa kosa la kufanya kazi nchini bila ya kibali, ametoroka.
Habari za kuaminika zimesema kuwa Kibakuli alitoroka kwa kusaidiwa na wafanyakazi wa kampuni hiyo.
Wiki iliyopita gazeti hili liliripoti tukio la kukamatwa kwa Kibakuli na maofisa wa Idara ya Uhamiaji mkoani Arusha, kwa kosa la kufanya kazi nchini bila ya kuwa na kibali.
Mkuu wa...
11 years ago
Dewji Blog06 Jun
Kinana ashuhudia mchimbaji mdogo wa Tanzanite anavyosaidia wenzake kwa kuwauzia kwa bei nafuu vifaa vya uchimbaji madini Mererani
Mchimbaji mdogo wa madini ya Tanzanite kwenye machimbo ya Mererani wilayani Simanjiro, Mahmoud Karia (kulia) akimuonyesha Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahmahn Kinana vifaa vya kisasa vya uchimbaji madini hayo, ambavyo huviuza kwa wachimbaji wengine kwa gharama nafuu. Karia alipata fursa ya kuonyesha vifaa hivyo Kinana alipomtembelea kwenye eneo la machimbo la mchimbaji huyo mdogo, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi mkoani Manyara, mapema...
10 years ago
Habarileo19 Nov
Asilimia 80 ya tanzanite nchini yauzwa kinyemela
SERIKALI imesema asilimia 80 ya madini adimu duniani ya tanzanite, yanayochimbwa nchini pekee katika mji wa Mirerani wilayani Simanjiro, Manyara yanauzwa nje ya nchi kwa `njia ya panya’.
9 years ago
Vijimambo28 Sep
Tanzanite: The hidden treasure of Tanzania We arrive at Tanzanite One on a cool September morning.
![](http://in2eastafrica.net/wp-content/uploads/2015/09/tanzanite.jpg)
The global tanzanite market is only worth $50m
The drive from the nearest town, Arusha, was not too long, but the last stretch on a gravel road littered with ditches made the hairs on the back of my neck stand up.
Once we got to the mine, we were given an induction and a quick briefing on the safety rules. After that we were off to the actual shaft, where we were allocated overalls, helmets and yellow plastic boots.
When I saw the contraption that would carry us 460 metres (yards) below ground,...
10 years ago
MichuziTANZANITE YAZIDI KUNG'ARA KWENYE MAONYESHO YA VITO NCHINI BANGKOK