Asilimia 80 ya tanzanite nchini yauzwa kinyemela
SERIKALI imesema asilimia 80 ya madini adimu duniani ya tanzanite, yanayochimbwa nchini pekee katika mji wa Mirerani wilayani Simanjiro, Manyara yanauzwa nje ya nchi kwa `njia ya panya’.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi02 Jul
Nyumba ya mwandishi wa Nyerere yauzwa kinyemela
>Nyumba ya aliyekuwa mwandishi wa habari wa Mwalimu Julius Nyerere, Paul Sozigwa imeuzwa katika mazingira ya kutatanisha na mke wake Monica Kuga baada ya mwanahabari huyo kupata maradhi ya kupoteza kumbukumbu.
10 years ago
Habarileo03 Feb
Jela mwaka mmoja kwa kuishi nchini kinyemela
RAIA wa Nigeria Amos Emeka (41) amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela au kulipa faini ya Sh 100,000 baada ya kupatikana na hatia ya kuishi nchini bila kibali.
10 years ago
MichuziMAWAKALA WA MAKOMANDOO WA NEPAL WALIOTUA NCHINI KINYEMELA NA KUJIFANYA 'WALINZI' WAPANDISHWA KORTINI
MKURUGENZI wa Kampuni ya Ulinzi ya Advanced Limited, Juma Ntinginya (47) na wenzake wawili, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma za kuwahifadhi raia wa Nepal.
Washtakiwa hao walipanda kizimbani jana mbele ya Hakimu Mkazi, Devotha Kisoka na kusomewa mashtaka na Wakili wa Serikali kutoka Idara ya Uhamiaji, Patrick Ngayomela.
Ngayomela alidai washtakiwa wengine katika kesi hiyo ni Meneja uendeshaji wa kampuni hiyo, Henry Mwakipunda (34) na dereva Hamza Sefu...
Washtakiwa hao walipanda kizimbani jana mbele ya Hakimu Mkazi, Devotha Kisoka na kusomewa mashtaka na Wakili wa Serikali kutoka Idara ya Uhamiaji, Patrick Ngayomela.
Ngayomela alidai washtakiwa wengine katika kesi hiyo ni Meneja uendeshaji wa kampuni hiyo, Henry Mwakipunda (34) na dereva Hamza Sefu...
11 years ago
Uhuru Newspaper16 Jun
Meneja Tanzanite One atoroka nchini
Na Mwandishi Wetu, Arusha
MENEJA Mauzo wa Kampuni ya Tanzanite One, Jacques Beytel (39) maarufu ‘Kibakuli’ raia wa Afrika Kusini aliyekamatwa wiki iliyopita kwa kosa la kufanya kazi nchini bila ya kibali, ametoroka.
Habari za kuaminika zimesema kuwa Kibakuli alitoroka kwa kusaidiwa na wafanyakazi wa kampuni hiyo.
Wiki iliyopita gazeti hili liliripoti tukio la kukamatwa kwa Kibakuli na maofisa wa Idara ya Uhamiaji mkoani Arusha, kwa kosa la kufanya kazi nchini bila ya kuwa na kibali.
Mkuu wa...
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Bei ya Tanzanite nchini yapaa
Bei ya madini ya Tanzanite hapa nchini imepanda huku bei hiyo ikiporomoka katika soko la kimataifa.
9 years ago
Vijimambo28 Sep
Tanzanite: The hidden treasure of Tanzania We arrive at Tanzanite One on a cool September morning.
The global tanzanite market is only worth $50m
The drive from the nearest town, Arusha, was not too long, but the last stretch on a gravel road littered with ditches made the hairs on the back of my neck stand up.
Once we got to the mine, we were given an induction and a quick briefing on the safety rules. After that we were off to the actual shaft, where we were allocated overalls, helmets and yellow plastic boots.
When I saw the contraption that would carry us 460 metres (yards) below ground,...
10 years ago
MichuziTANZANITE YAZIDI KUNG'ARA KWENYE MAONYESHO YA VITO NCHINI BANGKOK
Makamu wa Rais wa Taasisi ya Wafanyabiashara wa Madini ya Vito – Thailand, ambao ndiyo waandaaji wa Maonesho ya Vito ya Bangkok, Tony Brooks akizungumza na baadhi ya Watanzania wanaoshiriki katika Maonesho hayo nchini Thailand alipotembelea Banda la Tanzania. Mkuu wa Banda la Tanzania katika Maonesho ya Vito ya Bangkok ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kitengo cha Uthaminishaji wa Madini ya Almasi na Vito cha Wizara ya Nishati na Madini (TANSORT), Archard Kalugendo akimweleza mdau wa madini ya...
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Asilimia 51 ya watoto nchini hatarini kufa
Asilimia 51 ya watoto nchini imebainika hunyweshwa dawa zinazotibu ugonjwa wa malaria bila kuwa na ugonjwa huo.
11 years ago
Mwananchi10 Apr
Kanda ya Ziwa yachangia asilimia 30 ya uchumi nchini
Wakati Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) likisema uchumi wa Tanzania umekua kwa asilimia saba, Idara ya Uchumi ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) inaeleza kuwa Mkoa wa Mwanza pekee unachangia pato la Taifa kwa asilimia 29.6.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania