Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bei ya vyakula yapaa

KUTOKANA na kuanza kwa Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, baadhi ya wafanyabiashara katika mikoa mbalimbali nchini, wamepandisha bei za vyakula, hali iliyoanza kuleta usumbufu kwa wananchi. Gazeti hili lilitembelewa masoko kadhaa katika mikoa ya Dar es Salaam, Zanzibar na Shinyanga jana na kubaini kuwa bei za vyakula, zimepanda maradufu mara tu baada ya Mfungo kuanza juzi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Bei za vyakula zapaa, mfumuko wa bei mwezi Machi wafikia asilimia 4.2

Upungufu  wa chakula kwa baadhi ya mikoa nchini umeendelea kusababisha ongezeko la mfumuko wa bei wa Taifa kutoka asilimia 4.2 hadi asilimia 4.2 ndani ya mwezi mmoja.

 

11 years ago

Mwananchi

Bei ya Tanzanite nchini yapaa

Bei ya madini ya Tanzanite hapa nchini imepanda huku bei hiyo ikiporomoka katika soko la kimataifa.

 

11 years ago

Mwananchi

Mfumuko wa bei nchini waporomoka, shilingi yapaa

>Mfumuko wa bei za bidhaa za vyakula kwa mwezi uliopita umepungua kwa kiasi kikubwa, huku thamani ya shilingi ikipanda.

 

11 years ago

Habarileo

'Wafanyabiashara punguzeni bei za vyakula'

WAFANYABIASHARA visiwani hapa wametakiwa kupunguza bei ya vyakula kutoa nafasi kwa wananchi kutekeleza vizuri mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani ambao ni moja ya ibada muhimu kwa Waislamu.

 

10 years ago

StarTV

Bei za vyakula, bidhaa Dar zapanda.

Na Epiphania Magingo,

Dar es Salaam.

 

Zikiwa zimesalia siku chache za kusherehekea sikukuu za Krismas na mwaka mpya, bei za vyakula na bidhaa mbalimbali jijini Dar es Salaam zimeonekana kupanda kwa kasi na kufanya wanunuzi wengi kushindwa kununua bidhaa hizo.

 

Changamoto hii imekuwa ikionekana kila inapokaribia msimu wa sikukuu kubwa ambayo licha ya kukemewa lakini imeendelea kujitokeza na kuwa tatizo sugu linalowaathiri wananchi wengi.

 

Ni katika soko la Kariakoo Jijini Dar es Salaam,...

 

11 years ago

CloudsFM

BEI ZA VYAKULA JIJINI DAR ZAPANDA MFUNGO WA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI

BAADHI ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam, wamelalamikia bei kubwa za vyakula katika kipindi hiki cha Mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwenye badhi ya masoko jijini humo.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti, wakazi wa jiji hilo Bw. Khamis Mshaka na Bi. Salma Jumbe, walisema baadhi ya wafanyabiashara wanapandisha bei ya vyakula ili kupata faida.

Walisema hali hiyo inawafanya wananchi wengi hasa wenye kipato kidogo washindwe kumudu bei za vyakula wanapokwenda sokoni.

“Tabia hii si nzuri na...

 

10 years ago

Vijimambo

KIPINDI HIKI CHA THANKS GIVING "MGAHAWA WA SAFARI WAENDELEA KUWASHUKURU WATEJA WAKE KWA PUNGUZO LA BEI YA VYAKULA -LEO IJUMAA !!

                                                                    KARIBUNI

 

9 years ago

Habarileo

Yanga yapaa kileleni

YANGA jana iliishusha Azam na kukaa kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu baada ya kushinda bao 1-0 dhidi ya African Sports. Ushindi huo unaifanya Yanga ambayo ndio bingwa mtetezi wa ligi hiyo kufikisha pointi 27 na kuishusha Azam yenye pointi 26, lakini ikiwa na mchezo mmoja nyuma.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani