'Wafanyabiashara punguzeni bei za vyakula'
WAFANYABIASHARA visiwani hapa wametakiwa kupunguza bei ya vyakula kutoa nafasi kwa wananchi kutekeleza vizuri mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani ambao ni moja ya ibada muhimu kwa Waislamu.
habarileo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania