Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bei ya Tanzanite yaporomoka nje

>Bei ya madini ya Tanzanite hapa nchini imepanda huku bei hiyo ikiporomoka katika soko la kimataifa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Bei ya Tanzanite nchini yapaa

Bei ya madini ya Tanzanite hapa nchini imepanda huku bei hiyo ikiporomoka katika soko la kimataifa.

 

10 years ago

Mwananchi

Zitto aikaba koo Serikali mapato ya Tanzanite soko la nje

 Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe leo imeikaba koo Serikali na kutaka itoe majibu ya kina kuhusu mapato yatokanayo na mauzo ya madini ya Tanzanite katika soko la nje.

 

11 years ago

Dewji Blog

Kinana ashuhudia mchimbaji mdogo wa Tanzanite anavyosaidia wenzake kwa kuwauzia kwa bei nafuu vifaa vya uchimbaji madini Mererani

1. Mchimbaji mdogo wa Mererani, Mahmoud Karia (kulia) akimuonyesha Kinana vifaa vya uchimbaji amnavyouza kwa wachimbaji wengine pia

Mchimbaji mdogo wa madini ya Tanzanite  kwenye machimbo ya Mererani wilayani Simanjiro,  Mahmoud Karia (kulia) akimuonyesha Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahmahn Kinana vifaa vya kisasa vya uchimbaji madini hayo, ambavyo huviuza kwa wachimbaji wengine kwa gharama nafuu. Karia alipata fursa ya kuonyesha vifaa hivyo Kinana alipomtembelea kwenye eneo la machimbo la mchimbaji huyo mdogo, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi mkoani Manyara, mapema...

 

9 years ago

Vijimambo

Tanzanite: The hidden treasure of Tanzania We arrive at Tanzanite One on a cool September morning.


The global tanzanite market is only worth $50m
The drive from the nearest town, Arusha, was not too long, but the last stretch on a gravel road littered with ditches made the hairs on the back of my neck stand up.
Once we got to the mine, we were given an induction and a quick briefing on the safety rules. After that we were off to the actual shaft, where we were allocated overalls, helmets and yellow plastic boots.
When I saw the contraption that would carry us 460 metres (yards) below ground,...

 

9 years ago

StarTV

Serikali yaombwa kudhibiti biashara ya mazao nje kupunguza mfumko wa bei

Baadhi ya wananchi wakiwemo wafanyabiashara wa mazao mbalimbali jijini Mbeya wameiomba Serikali kudhibiti biashara ya mazao ya chakula nje ya nchi hatua ambayo itasaidia kupunguza mfumko wa bei za vyakula.

Wamesema kwa sasa bei za vyakula kutoka kwa wakulima mashambani zimepanda tofauti na ilivyokuwa miezi michache iliyopita hali inayochagiwa na uuzwaji wa mazao hayo nje ya nchi.

Mazao yaliyopanda bei ni pamoja nyanya na Mchele ambao sasa unauzwa kati ya shilingi 34,000 mpaka 40,000 kwa debe...

 

9 years ago

Habarileo

Netiboli yaporomoka kimataifa

TANZANIA imeporomoka katika viwango vya mchezo wa netiboli duniani baada ya kuondolewa katika orodha ya nchi zinazotambuliwa na Shirikisho la Kimataifa la Netiboli (INF), sababu kubwa ikiwa ni kushindwa kucheza michezo mingi ya kimataifa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Majengo 22 yaporomoka China

Majengo 22 yameanguka katika maeneo ya viwandani katika mji wa Shenzhen, Kusini mwa Uchina kufuatia maporomoko ya ardhi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kambi ya jeshi yaporomoka na kuua 23 Urusi

Takriban wanajeshi 23 wa Urusi wameuawa karibu na mji wa Omsk ulioko Siberia baada ya jengo la kambi yao kuporomoka.

 

10 years ago

Mwananchi

Tanzania yaporomoka uzalishaji korosho Afrika

>Tanzania imeporomoka hadi nafasi ya tatu kwa uzalishaji wa korosho kwa nchi za Afrika kutokana na kukosa viwanda vya kubangulia zao hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani