Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zitto aikaba koo Serikali mapato ya Tanzanite soko la nje

 Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe leo imeikaba koo Serikali na kutaka itoe majibu ya kina kuhusu mapato yatokanayo na mauzo ya madini ya Tanzanite katika soko la nje.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Amatre aikaba koo Simba

>Aliyewahi kuwa Kocha Msaidizi wa Simba, Mganda Richard Amatre amewasilisha rasmi barua ya malalamiko kwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) akiidai klabu hiyo Sh17.2 Milioni.

 

10 years ago

Mwananchi

RC ‘aikaba koo’ Halmashauri Moshi

Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama limeonekana ‘kuwasha moto’ kwa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi baada ya kutaka wanyang’anywe asilimia 80 ya maeneo inayoyashikilia kwa zaidi ya miaka 20 sasa.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yahaha kutafuta soko la mahindi nje

Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika imetoa wito kwa wafanyabiashara kuchangamkia masoko ya mazao ya chakula nje ya nchi hasa mahindi kwa kuwa yapo mengi nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Majibu ya mapato ya Tanzanite yazua kizaazaa bungeni

Bunge limeagiza kuwa swali lililoulizwa na Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Kidawa Hamid Saleh kuhusu kiasi cha mapato yaliyotokana na mauzo ya Tanzanite katika kipindi cha mwaka 2011 hadi 2014, lijibiwe tena na Serikali.

 

9 years ago

Dewji Blog

Serikali za Mitaa zaongeza mapato kupitia mfumo wa ukusanyaji Mapato kwa njia ya Kielektroniki

01

Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Waziri Mkuu- TAMISEMI Bi. Rebecca Kwandu akifurahia jambo na waandishi wa habari (hawapo pichani)leo jijini Dar es Salaam wakati akiwaeleza mafanikio ya mfumo wa ukusanyaji mapato kwa njia ya kielektroniki katika mamlaka za Serikali za Mitaa (LGRCIS). Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya TEHAMA wa ofisi hiyo Bw. Mtani Yangwe na kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Zamaradi Kawawa.

02

 Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Bei ya Tanzanite yaporomoka nje

>Bei ya madini ya Tanzanite hapa nchini imepanda huku bei hiyo ikiporomoka katika soko la kimataifa.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali, Bunge wakabana koo

Kumekuwa na mvutano mkubwa katika vikao vya mashauriano kati ya Serikali na Kamati ya Bunge ya Bajeti, ambao pamoja na mambo mengine unaelezwa kuchangiwa na hatua ya Serikali kukataa kuweka wazi vyanzo vya mapato kwa wajumbe wa kamati hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Maaskofu wazidi kuikaba koo Serikali

>Viongozi wa dini wamezidi kuikaba koo Serikali kuhusu kashfa ya Escrow na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

DK. KAMANI: Ukaguzi wa mazao ya samaki hukuza soko la nje

ILI Tanzania iweze kukubalika katika soko la mazao ya  samaki la ndani na nje ya nchi ni lazima kuwe na ubora wa viwango vinavyohitajika. Viwango vya mazao ya samaki ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani