Serikali yahaha kutafuta soko la mahindi nje
Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika imetoa wito kwa wafanyabiashara kuchangamkia masoko ya mazao ya chakula nje ya nchi hasa mahindi kwa kuwa yapo mengi nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Serikali sasa kutafuta soko la Utalii nchi za Ghuba na Mashariki ya Kati
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amesema Serikali imeamua kutafuta soko la utalii kutoka nchi za Ghuba na Mashariki ya Kati ili kuongeza idadi ya watalii nchini na kukuza pato la Taifa kupitia sekta hiyo.
11 years ago
Tanzania Daima20 Jul
CCM yahaha kutafuta mgombea Zanzibar
HARAKATI za kutafuta mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwakani zimezidi kushika kasi ambapo safari hii baadhi ya majina kutoka Zanzibar yanatajwa tajwa kumrithi Rais...
10 years ago
BBCSwahili12 Nov
CAF yahaha kutafuta mbadala wa Morocco
Shirikisho la soka barani Africa CAF linahaha kutafuta nchi gani itakayookoa jahazi baada Morocco kuondolewa rasmi kuandaa fainali hizo.
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Simba yahaha kutafuta fedha za kujiandaa na ligi
Timu ya Simba inakabiliwa na ukata, ambapo inafanya juu chini kupata fedha kwa ajili ya kujiandaa na Ligi Kuu Tanzania bara itakayoanza Januari 25.
5 years ago
MichuziWAKULIMA MAZAO YA VIUNGO WATOA OMBI KWA SERIKALI , SAT WAELEZA WANAVYOSAIDIA KUTAFUTA SOKO LA UHAKIKA
Baadhi ya wakulima wa kilimo hai mkoani Morogoro wakiwa katika moja ya mkutano wenye lengo la kujadili masuala mbalimbali yanayohusu kilimo hicho ambapo wametumia nafasi hiyo kutoa ombi kwa Serikali kuanzisha bodi ambayo itahusika kusimamia mazao ya kilimo hai yakiwemo mazao ya viungo ambayo yamekuwa yakilimwa na baadhi ya wakulima ambao wako chini ya mradi wa unaosimamiwa na Shirika la Kilimo Endelevu Tanzania(SAT).
Mkurugenzi Mtendaji wa SAT Janeth Maro akifafanua jambo kwa waandishi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_x81dJ2AS_Q/XmegHoK-jnI/AAAAAAALidA/GeIEGKWcij4v432f4NJADGMpLrn8dGe6gCLcBGAsYHQ/s72-c/1-25.jpg)
SERIKALI ITAENDELEA KUTOA KIPAUMBELE KUTAFUTA RASILIMALI FEDHA ZA NDANI NA NJE
![](https://1.bp.blogspot.com/-_x81dJ2AS_Q/XmegHoK-jnI/AAAAAAALidA/GeIEGKWcij4v432f4NJADGMpLrn8dGe6gCLcBGAsYHQ/s640/1-25.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akiwasilisha taarifa ya Ofisi hiyo kuhusu kuhusu utekelezaji wa miradi ya maendeleo iliyotengewa fedha kwa mwaka wa fedha 2019/2020 mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira jijini leo Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-26.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira Mhe. Sadiq Murad akiongoza kikao cha kupokea na kujadili taarifa ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira)...
10 years ago
Mwananchi04 Feb
Zitto aikaba koo Serikali mapato ya Tanzanite soko la nje
 Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe leo imeikaba koo Serikali na kutaka itoe majibu ya kina kuhusu mapato yatokanayo na mauzo ya madini ya Tanzanite katika soko la nje.
10 years ago
Mwananchi20 Aug
Tani 7,400 za mahindi zakosa soko
Zaidi ya tani 7,400 za zao la mahindi zilizozalishwa na wakulima wadogo wa kata za Galapo na Qash wilayani Babati mkoani Manyara zimekosa soko na kurundikwa katika Soko la Galapo, eneo ambalo zinaweza kuharibika wakati wowote.
10 years ago
Mwananchi09 Dec
‘Soko la mahindi lipo DRC, Sudan Kusini’
Naibu katibu mkuu wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, Yamungu Kayandabila amewataka wafanyabiashara kuchangamkia soko la mahindi na mchele katika nchi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Sudan Kusini.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania