Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tani 7,400 za mahindi zakosa soko

Zaidi ya tani 7,400 za zao la mahindi zilizozalishwa na wakulima wadogo wa kata za Galapo na Qash wilayani Babati mkoani Manyara zimekosa soko na kurundikwa katika Soko la Galapo, eneo ambalo zinaweza kuharibika wakati wowote.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Tani 5,100 za pamba zakosa soko

Chama cha Ushirika cha Mkoa wa Shinyanga (Shirecu), kimeiomba Serikali kupitia chama hicho, inunue tani 5,100 za pamba ambayo bado iko kwenye maghala ya wakulima kutokana na kukosa soko.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania kuuza mahindi Kenya tani 50,000 za mahindi

Serikali ipo katika hatua za mwisho za makubaliano ya kuuza tani 50,000 za awali za mahindi nchini Kenya.

 

11 years ago

Mwananchi

Familia 400 zakosa makazi

 Kaimu Mkurugenzi wa Maafa wa Shirika la Msalaba Mwekundu, Renatus Mkaruka amesema familia zaidi ya 400 za Dar es Salaam hazina makazi na zinaishi kwenye vituo visivyo rasmi.

 

10 years ago

Mwananchi

NFRA kuuza tani 75,000 mahindi kuepusha kuharibika

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Hifadhi ya Taifa ya Chakula (NFRA), Charles Walwa amesema wakala huyo atauza tani 75,000 za mahindi zilizonunuliwa mwaka jana na kununua tani nyingine 200,000 katika msimu huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yahaha kutafuta soko la mahindi nje

Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika imetoa wito kwa wafanyabiashara kuchangamkia masoko ya mazao ya chakula nje ya nchi hasa mahindi kwa kuwa yapo mengi nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Soko la mahindi lipo DRC, Sudan Kusini’

Naibu katibu mkuu wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, Yamungu Kayandabila amewataka wafanyabiashara kuchangamkia soko la mahindi na mchele katika nchi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Sudan Kusini.

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI CHIZA ATEMBELEA SOKO LA MAHINDI NFRA DODOMA

Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika,Mhe. Eng Christopher Chiza (Mb) akijibu kero za wakulima na wafanyabiashara waliopeleka mahindi NFRA Dodoma kwa ajili ya kuyauza,Wakati alipowatembelea jana.
Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika,Mhe. Eng Christopher Chiza akionyesha uchafu uliokuwa kwenye magunia ya mahindi yaliyopelekwa na wakulima na wafanyabiashara NFRA Dodoma kwa ajili ya kuyauza.
Mahindi yaliyonunuliwa na kituo cha NFRA Dodoma yakipangwa nje kitaalamu kwa ajili ya kuhifadhiwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kaya 12 zakosa makazi Mtwara

KAYA 12 za wakazi wa Magomeni A katika Manispaa ya Mtwara-Mikindani mkoani hapa, wamekosa mahala pa kuishi baada ya nyumba zao kubomolewa na mvua iliyonyesha hivi karibuni. Akizungumza na waandishi...

 

11 years ago

Habarileo

Kaya 235 zakosa makazi Kyela

MBUNGE wa Kyela, Dk Harrison Mwakyembe amesema kaya 235 zenye wakazi 1,087 katika wilaya hiyo, zipo katika hali mbaya. Amesema kaya hizo zimeathiriwa vibaya na mafuriko, yaliyoikumba wilaya hiyo na kwamba sasa zimehamishiwa kwenye makanisa na shule ili kupewa msaada wa karibu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani