Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kaya 235 zakosa makazi Kyela

MBUNGE wa Kyela, Dk Harrison Mwakyembe amesema kaya 235 zenye wakazi 1,087 katika wilaya hiyo, zipo katika hali mbaya. Amesema kaya hizo zimeathiriwa vibaya na mafuriko, yaliyoikumba wilaya hiyo na kwamba sasa zimehamishiwa kwenye makanisa na shule ili kupewa msaada wa karibu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kaya 12 zakosa makazi Mtwara

KAYA 12 za wakazi wa Magomeni A katika Manispaa ya Mtwara-Mikindani mkoani hapa, wamekosa mahala pa kuishi baada ya nyumba zao kubomolewa na mvua iliyonyesha hivi karibuni. Akizungumza na waandishi...

 

10 years ago

StarTV

Athari ya mvua, Kaya 30 zakosa makazi Bukoba.

Na Mariam Emily,

Bukoba.

 

Athari za mvua zinazoendelea katika maeneo mbalimbali nchini zimezidi kuonekana, baada ya kaya thelathini katika eneo la Nyamkazi Manispaa ya Bukoba, kukosa makazi baada ya mvua kubwa inayonyesha mfululizo mjini humo kuharibu makazi yao pamoja na kupoteza mali kadhaa ikiwemo mazao ya chakula, mifugo pamoja na kuharibu miundombinu ya barabara.

 

Baadhi ya wananchi wamesema kiini cha mafuriko hayo ni mkondo wa maji kuzibwa na uchafu pamoja na mmea wa gugu maji...

 

9 years ago

Mwananchi

Mvua yaua watu watatu, kaya zaidi ya 70 zakosa makazi

Watu watatu wamefariki dunia na familia zaidi ya 70 zimekosa mahala pa kuishi, huku mifugo zaidi ya 150 ikisadikiwa kufa baada ya kukumbwa na mafuriko kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha wilayani Arumeru mkoani Arusha.     

 

9 years ago

Dewji Blog

Kaya 19 zilizopo katika mpango wa kunusuru kaya maskini zakosa malipo yao Manyoni

SAM_0215

Baadhi ya wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya maskini wa Kijiji cha Sukamahela, tarafa ya Kilimatinde waliokosa malipo yao licha ya kuwa na taarifa na fomu za kupokelea malipo hayo, na kujikuta wakikaa kwa muda wa zaidi ya saa tano wakisubiri kuitwa wakapokee malipo hayo.

SAM_0229

Mwenyekiti wa Kijiji cha Sukamahela, Bwana Stephen Chilewa Mgusi (wa kwanza kutoa kulia), Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Sukamahela, Bwana Ernesti Gyunda Kitundu (wa pili kutoka kulia) na Mwezeshaji wa TASAF wilaya ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Familia 400 zakosa makazi

 Kaimu Mkurugenzi wa Maafa wa Shirika la Msalaba Mwekundu, Renatus Mkaruka amesema familia zaidi ya 400 za Dar es Salaam hazina makazi na zinaishi kwenye vituo visivyo rasmi.

 

9 years ago

Michuzi

NHIF YAJA NA MPANGO WA BIMA YA AFYA KAYA KWA KAYA

 Mwakilishi wa Kaimu Mkuruegenzi Mkuu wa NHIF, Eugen Mikongoti akifungua kikao kilichowashirikisha wenyeviti wa bodi na makatibu wa Vituo Vya Afya, Zahanati na Hospitali wa Manispaa ya Temeke juu ya mpango wa bima ya afya kwa kayo iliyofanyika leo jijni Dar es Salaam. Meneja wa Mkoa wa Temeke wa NHIF, Costantino Makala akitoa maada katika kikao hicho leo latika ukumbi wa Temeke jijini Dra es Salaam.wa katikati ni Mwakilishi wa Kaimu Mkuruegenzi Mkuu wa NHIF,Eugen Mikongoti Kushoto ni Mganga...

 

9 years ago

Habarileo

Tanesco yakamata 235 kwa hasara ya mil 200/

SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) mkoa wa Arusha limekamata watu 235 wanaodaiwa kuwa ni wezi waliokuwa wakihujumu baadhi ya miundombinu ya shirika hilo na kulisababishia hasara ya zaidi ya Sh milioni 200.

 

10 years ago

Mwananchi

Tani 7,400 za mahindi zakosa soko

Zaidi ya tani 7,400 za zao la mahindi zilizozalishwa na wakulima wadogo wa kata za Galapo na Qash wilayani Babati mkoani Manyara zimekosa soko na kurundikwa katika Soko la Galapo, eneo ambalo zinaweza kuharibika wakati wowote.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wizara tano zakosa mawaziri Tanzania

Pengo la mawaziri katika serikali ya Tanzania limefikia watano baada ya waziri wa Fedha, Dokta William Mgimwa kufariki dunia

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani