Athari ya mvua, Kaya 30 zakosa makazi Bukoba.
Na Mariam Emily,
Bukoba.
Athari za mvua zinazoendelea katika maeneo mbalimbali nchini zimezidi kuonekana, baada ya kaya thelathini katika eneo la Nyamkazi Manispaa ya Bukoba, kukosa makazi baada ya mvua kubwa inayonyesha mfululizo mjini humo kuharibu makazi yao pamoja na kupoteza mali kadhaa ikiwemo mazao ya chakula, mifugo pamoja na kuharibu miundombinu ya barabara.
Baadhi ya wananchi wamesema kiini cha mafuriko hayo ni mkondo wa maji kuzibwa na uchafu pamoja na mmea wa gugu maji...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi16 Dec
Mvua yaua watu watatu, kaya zaidi ya 70 zakosa makazi
11 years ago
Tanzania Daima01 Jan
Kaya 12 zakosa makazi Mtwara
KAYA 12 za wakazi wa Magomeni A katika Manispaa ya Mtwara-Mikindani mkoani hapa, wamekosa mahala pa kuishi baada ya nyumba zao kubomolewa na mvua iliyonyesha hivi karibuni. Akizungumza na waandishi...
11 years ago
Habarileo28 Apr
Kaya 235 zakosa makazi Kyela
MBUNGE wa Kyela, Dk Harrison Mwakyembe amesema kaya 235 zenye wakazi 1,087 katika wilaya hiyo, zipo katika hali mbaya. Amesema kaya hizo zimeathiriwa vibaya na mafuriko, yaliyoikumba wilaya hiyo na kwamba sasa zimehamishiwa kwenye makanisa na shule ili kupewa msaada wa karibu.
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
Kaya 19 zilizopo katika mpango wa kunusuru kaya maskini zakosa malipo yao Manyoni
Baadhi ya wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya maskini wa Kijiji cha Sukamahela, tarafa ya Kilimatinde waliokosa malipo yao licha ya kuwa na taarifa na fomu za kupokelea malipo hayo, na kujikuta wakikaa kwa muda wa zaidi ya saa tano wakisubiri kuitwa wakapokee malipo hayo.
Mwenyekiti wa Kijiji cha Sukamahela, Bwana Stephen Chilewa Mgusi (wa kwanza kutoa kulia), Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Sukamahela, Bwana Ernesti Gyunda Kitundu (wa pili kutoka kulia) na Mwezeshaji wa TASAF wilaya ya...
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Familia 400 zakosa makazi
9 years ago
Mwananchi01 Dec
Mvua yaharibu makazi ya familia 14
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-GY4IO4JuQ58/XvTMHUavVqI/AAAAAAACOb8/08nUot_Fo-w4fAL9jR77pWrsMFJenQJTQCLcBGAsYHQ/s72-c/3%2B%25282%2529.jpg)
SERIKALI YARAHISISHA UPATIKANAJI WA MAJI BUKOBA, KAYA ZAIDI YA 18,103 SASA KUNUFAIKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GY4IO4JuQ58/XvTMHUavVqI/AAAAAAACOb8/08nUot_Fo-w4fAL9jR77pWrsMFJenQJTQCLcBGAsYHQ/s400/3%2B%25282%2529.jpg)
Na Allawi Kaboyo, Bukoba
Kaya Zaidi ya 18,103 zenye wakazi wapatao 90,517 Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera zinatarajia kunufaika na upanuzi wa mtandao wa maji kutokana na ujenzi wa mradi mkubwa wa maji unaotekelezwa kwa thamani ya shilingi bilioni 2.4 hadi kukamilika kwake.
Taarifa ya utekelezaji wa mradi huo imetolewa na mkurugenzi mtendaji wa mamlaka ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sOmuYu1xAow/XmZGuz5e01I/AAAAAAALiQw/0ynG0rD90OwSARPGL9Nn-1IrtOM8-QQBgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-09%2Bat%2B14.07.01.jpeg)
MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA ZAENDELEA KULETA ATHARI
![](https://1.bp.blogspot.com/-sOmuYu1xAow/XmZGuz5e01I/AAAAAAALiQw/0ynG0rD90OwSARPGL9Nn-1IrtOM8-QQBgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-09%2Bat%2B14.07.01.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-JXV4BJM6YuI/XmZGunSaD7I/AAAAAAALiQs/UJ9z79uYn40boNwFY8HS24Ffh4DeHVx_ACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-09%2Bat%2B14.07.02.jpeg)
11 years ago
Mwananchi10 Apr
Wakosa makazi baada ya mvua kubwa