Wakosa makazi baada ya mvua kubwa
Mvua kubwa ya mawe iliyoambatana na upepo mkali Kijiji cha Nyakiswa, Wilaya ya Butiama, mkoani Mara, imeezua na kubomoa zaidi ya nyumba 45 na kuharibu mashamba yenye mazao mbalimbali ya ukubwa wa zaidi ya ekari 1,200.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HVBebG1pzFE/VUth3OffLlI/AAAAAAAHV_A/_l8cspxbrBk/s72-c/IMG_8042.jpg)
DAR YAFUNIKWA NA MAJI KUTOKANA NA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA, WANANCHI WAKOSA MAKAZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-HVBebG1pzFE/VUth3OffLlI/AAAAAAAHV_A/_l8cspxbrBk/s640/IMG_8042.jpg)
MAFURIKO,Mafuriko,Mafuriko .! Jiji la Dar limejaa maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha wengine kukosa makazi.
Maeneo yaliyokumbwa kwa mafuriko ni Mnyamani (Ilala),Bonde la Mpunga (Kinondoni) ,Kigogo (Kinondoni),Mikocheni ( Kinondoni),Vingunguti (Ilala) Tabata Kisiwani (Ilala)na Kurasini (Temeke) na maeneo mengine ambayo hayajawahi kupata mafuriko yamefika.
Mvua hizo zimeharibu miundombinu katika barabara ya Morogoro kwa kujaa...
10 years ago
MichuziMAONYESHO YA SIKU YA WANAWAKE YA MKOA WA MOROGORO YAINGIA DOSARI BAADA YA MVUA KUBWA KUNYESHA
10 years ago
GPLHALI ILIVYOKUWA ENEO LA SINZA-AFRIKA SANA BAADA YA KUNYESHA MVUA KUBWA JANA
10 years ago
GPLMAONYESHO YA SIKU YA WANAWAKE YA MKOA WA MOROGORO YAINGIA DOSARI BAADA YA MVUA KUBWA KUNYESHA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aVOEANDMHVo/UviW-kpc5jI/AAAAAAAAK1o/aMf9fyuXIpo/s72-c/1.jpg)
NEWS ALERT: MAGARI YAKWAMA ENEO LA HEDARU BAADA YA MVUA KUBWA KUNYESHA NA KUZUIA BARABARA
![](http://2.bp.blogspot.com/-aVOEANDMHVo/UviW-kpc5jI/AAAAAAAAK1o/aMf9fyuXIpo/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XsTsJxVJDvU/UviW-1e7DeI/AAAAAAAAK1s/FIhiVuEuv-E/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZI-AJ21aAbs/UviW_B_YKKI/AAAAAAAAK1w/qhexnq9XvyE/s1600/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-x6FIto73Eoc/UviXaaiN3gI/AAAAAAAAK2A/AUsBgP0o9zw/s1600/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-vkwnDsQ0Lb0/UviXarisxqI/AAAAAAAAK2E/i_52vHdcwKM/s1600/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_YjXSsNQ90w/UviXbaXII2I/AAAAAAAAK2Q/MeM4R8xfN6I/s1600/6.jpg)
10 years ago
Habarileo11 Jan
Nyumba 13 zachomwa moto, 35 wakosa makazi
WATU 35 wakazi wa kitongoji cha Iroba kisiwani Bwiro wilaya ya Ukerewe, Mwanza hawana mahali pa kuishi baada ya nyumba zao 13 kuchomwa moto katika tukio linalohusishwa na imani za kishirikina.
11 years ago
Tanzania Daima30 Mar
Wahanga wa mafuriko Dumila wakosa makazi
WAHANGA wa mafuriko katika maeneo ya Dumila, mkoani Morogoro wanakabiliwa na hali ngumu ya ukosefu wa makazi baada ya nyumba zao za muda (mahema) kuezuliwa na kimbunga kilichoambatana na mvua....