Wahanga wa mafuriko Dumila wakosa makazi
WAHANGA wa mafuriko katika maeneo ya Dumila, mkoani Morogoro wanakabiliwa na hali ngumu ya ukosefu wa makazi baada ya nyumba zao za muda (mahema) kuezuliwa na kimbunga kilichoambatana na mvua....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV24 Nov
Baadhi ya wananchi wakosa makazi kutokana Mafuriko Mara
Mvua kubwa imenyesha mjini Bunda mkoani Mara na kusababisha mafuriko yaliyoharibu mali za wananchi, chakula na samani za ndani.
Mvua hiyo iliyonyesha kwa zaidi ya saa moja majira ya alasiri imesababisha hasara kubwa kwa wakazi wa Mji huo, kwani baadhi ya wananchi wamekosa mahali pa kuishi kutokana na nyumba zao kujaa maji na nyingine kubomoka.
Mvua hiyo imeleta hasara kubwa katika karibu mitaa yote ya Mji wa Bunda, ambapo katika mitaa ya Kabarimu, majengo, Nyasura na mbugani mafuriko hayo...
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Wananchi Dumila ‘walilia’ makazi
10 years ago
Habarileo11 Jan
Nyumba 13 zachomwa moto, 35 wakosa makazi
WATU 35 wakazi wa kitongoji cha Iroba kisiwani Bwiro wilaya ya Ukerewe, Mwanza hawana mahali pa kuishi baada ya nyumba zao 13 kuchomwa moto katika tukio linalohusishwa na imani za kishirikina.
11 years ago
Mwananchi10 Apr
Wakosa makazi baada ya mvua kubwa
11 years ago
Mwananchi28 Jan
JK aiponda ripoti ya mafuriko Dumila
11 years ago
Mwananchi05 Feb
Mikasa, vitimbi na shida mafuriko ya Magole-Dumila
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HVBebG1pzFE/VUth3OffLlI/AAAAAAAHV_A/_l8cspxbrBk/s72-c/IMG_8042.jpg)
DAR YAFUNIKWA NA MAJI KUTOKANA NA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA, WANANCHI WAKOSA MAKAZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-HVBebG1pzFE/VUth3OffLlI/AAAAAAAHV_A/_l8cspxbrBk/s640/IMG_8042.jpg)
MAFURIKO,Mafuriko,Mafuriko .! Jiji la Dar limejaa maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha wengine kukosa makazi.
Maeneo yaliyokumbwa kwa mafuriko ni Mnyamani (Ilala),Bonde la Mpunga (Kinondoni) ,Kigogo (Kinondoni),Mikocheni ( Kinondoni),Vingunguti (Ilala) Tabata Kisiwani (Ilala)na Kurasini (Temeke) na maeneo mengine ambayo hayajawahi kupata mafuriko yamefika.
Mvua hizo zimeharibu miundombinu katika barabara ya Morogoro kwa kujaa...
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Mafuriko yaikumba dumila, kilosa, mamia waathirika na daraja kuvunjika
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rpTO7xq7SsFfYjsf6n-IOg8QR5tM5ui7fxzl0M*bpiFFkWM7mtxkfBESPGEKX7TJPDUnWKs*Q-7IqukaQnu*X-x2XYMhjx*B/mafuriko.jpg?width=650)
MAFURIKO DUMILA YAMUUMBUA MKE WA MTU AKISALITI NDOA GESTI