Baadhi ya wananchi wakosa makazi kutokana Mafuriko Mara
Mvua kubwa imenyesha mjini Bunda mkoani Mara na kusababisha mafuriko yaliyoharibu mali za wananchi, chakula na samani za ndani.
Mvua hiyo iliyonyesha kwa zaidi ya saa moja majira ya alasiri imesababisha hasara kubwa kwa wakazi wa Mji huo, kwani baadhi ya wananchi wamekosa mahali pa kuishi kutokana na nyumba zao kujaa maji na nyingine kubomoka.
Mvua hiyo imeleta hasara kubwa katika karibu mitaa yote ya Mji wa Bunda, ambapo katika mitaa ya Kabarimu, majengo, Nyasura na mbugani mafuriko hayo...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HVBebG1pzFE/VUth3OffLlI/AAAAAAAHV_A/_l8cspxbrBk/s72-c/IMG_8042.jpg)
DAR YAFUNIKWA NA MAJI KUTOKANA NA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA, WANANCHI WAKOSA MAKAZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-HVBebG1pzFE/VUth3OffLlI/AAAAAAAHV_A/_l8cspxbrBk/s640/IMG_8042.jpg)
MAFURIKO,Mafuriko,Mafuriko .! Jiji la Dar limejaa maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha wengine kukosa makazi.
Maeneo yaliyokumbwa kwa mafuriko ni Mnyamani (Ilala),Bonde la Mpunga (Kinondoni) ,Kigogo (Kinondoni),Mikocheni ( Kinondoni),Vingunguti (Ilala) Tabata Kisiwani (Ilala)na Kurasini (Temeke) na maeneo mengine ambayo hayajawahi kupata mafuriko yamefika.
Mvua hizo zimeharibu miundombinu katika barabara ya Morogoro kwa kujaa...
11 years ago
Tanzania Daima30 Mar
Wahanga wa mafuriko Dumila wakosa makazi
WAHANGA wa mafuriko katika maeneo ya Dumila, mkoani Morogoro wanakabiliwa na hali ngumu ya ukosefu wa makazi baada ya nyumba zao za muda (mahema) kuezuliwa na kimbunga kilichoambatana na mvua....
11 years ago
Mwananchi10 Apr
Wakosa makazi baada ya mvua kubwa
10 years ago
Habarileo11 Jan
Nyumba 13 zachomwa moto, 35 wakosa makazi
WATU 35 wakazi wa kitongoji cha Iroba kisiwani Bwiro wilaya ya Ukerewe, Mwanza hawana mahali pa kuishi baada ya nyumba zao 13 kuchomwa moto katika tukio linalohusishwa na imani za kishirikina.
9 years ago
StarTV03 Dec
Ukamilishaji jengo la biashara Mutukula wachelewa kutokana na mvua za mara kwa mara
Ujenzi wa jengo la kisasa la biashara linalojengwa na shirika la Nyumba la Taifa katika mpaka wa Mutukula mkoani Kagera umechelewa kukamilika kutokana na mvua za mara kwa mara ambazo zimekuwa kikwazo katika shughuli mbalimbali za ujenzi wa jengo hilo linalokadiriwa kugharimu kiasi cha shilingi bilioni tatu nukta nne tano hadi litakapokamilika.
Awali ujenzi wa jengo hilo ulipangwa kukamilika Desemba mwaka huu lakini kutokana na mvua za mara kwa mara, jengo hilo sasa linatarajiwa kukamilika...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Mafuriko yakosesha makazi watu 7,000
TAKRIBAN wakazi 7,000 wa kata tatu zilizopo Tarafa ya Magole, wilayani Kilosa, Morogoro hawana mahala pa kuishi baada ya nyumba zao zinazokadiriwa kufikia 2,500 kusombwa na kumezwa na mafuriko. Mafuriko...
10 years ago
Mtanzania04 May
Mafuriko yaharibu kiwanda, makazi Moshi
NA RODRICK MUSHI, MOSHI
ZAIDI ya kaya 700 katika Kata ya Arusha Chini TPC, Wilaya ya Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro, hazina makazi baada ya nyumba zao kuharibiwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa iliyonyesha juzi.
Pamoja na madhara hayo kwa wananchi, pia mafuriko hayo yameharibu miundombinu ya Kiwanda cha Sukari cha TPC, taasisi mbalimbali pamoja na mashamba ya mazao ya chakula.
Taarifa hiyo ilitolewa jana na Ofisa Mtendaji na Utawala wa Kiwanda cha TPC, Jaffari Ally, alipokuwa akitoa...
10 years ago
StarTV30 Dec
Baadhi ya maeneo Dar yakumbwa na mafuriko.
Na Josephine Mwaiswaga,
Dar Es Salaam.
Watu wawili wamefariki katika meeneo ya Sinza na Mwananyamala jijini Dar es Salaam kufuatia mvua iliyonyesha na kusababisha baadhi ya nyumba kujaa maji yaliyotokana na mafuriko.
Taarifa ya vifo hivyo imethibitishwa na kamanda wa polisi mkoa wa Kipolisi Kinondoni Kinondoni kamishina msaidizi wa Polisi Camilius Wambura.
Maeneo yaliyoathiriwa zaidi na Mvua hiyo ni yale ya Wakazi waliojenga nyumba zao maeneo ya Mabondeni ikiwamo kati kati ya Jiji...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vVBxhI4Mxm4/Uu89r9EFkPI/AAAAAAAFKiE/hkdnbLz68B0/s72-c/unnamed+(20).jpg)
WANANCHI WAOMBWA KUCHANGIA DAMU MARA KWA MARA