Mafuriko yaharibu kiwanda, makazi Moshi
NA RODRICK MUSHI, MOSHI
ZAIDI ya kaya 700 katika Kata ya Arusha Chini TPC, Wilaya ya Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro, hazina makazi baada ya nyumba zao kuharibiwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa iliyonyesha juzi.
Pamoja na madhara hayo kwa wananchi, pia mafuriko hayo yameharibu miundombinu ya Kiwanda cha Sukari cha TPC, taasisi mbalimbali pamoja na mashamba ya mazao ya chakula.
Taarifa hiyo ilitolewa jana na Ofisa Mtendaji na Utawala wa Kiwanda cha TPC, Jaffari Ally, alipokuwa akitoa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi04 May
Mafuriko Moshi yazingira vijiji saba, kiwanda
9 years ago
Mwananchi01 Dec
Mvua yaharibu makazi ya familia 14
11 years ago
Tanzania Daima30 Mar
Wahanga wa mafuriko Dumila wakosa makazi
WAHANGA wa mafuriko katika maeneo ya Dumila, mkoani Morogoro wanakabiliwa na hali ngumu ya ukosefu wa makazi baada ya nyumba zao za muda (mahema) kuezuliwa na kimbunga kilichoambatana na mvua....
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Mafuriko yakosesha makazi watu 7,000
TAKRIBAN wakazi 7,000 wa kata tatu zilizopo Tarafa ya Magole, wilayani Kilosa, Morogoro hawana mahala pa kuishi baada ya nyumba zao zinazokadiriwa kufikia 2,500 kusombwa na kumezwa na mafuriko. Mafuriko...
9 years ago
StarTV24 Nov
Baadhi ya wananchi wakosa makazi kutokana Mafuriko Mara
Mvua kubwa imenyesha mjini Bunda mkoani Mara na kusababisha mafuriko yaliyoharibu mali za wananchi, chakula na samani za ndani.
Mvua hiyo iliyonyesha kwa zaidi ya saa moja majira ya alasiri imesababisha hasara kubwa kwa wakazi wa Mji huo, kwani baadhi ya wananchi wamekosa mahali pa kuishi kutokana na nyumba zao kujaa maji na nyingine kubomoka.
Mvua hiyo imeleta hasara kubwa katika karibu mitaa yote ya Mji wa Bunda, ambapo katika mitaa ya Kabarimu, majengo, Nyasura na mbugani mafuriko hayo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6b9laouqld8/XnC8KlXDBZI/AAAAAAALkGU/tFSww_qmYawjOHg1_OnbkA5o0f-fMePUQCLcBGAsYHQ/s72-c/1ae65a55-94fe-4493-a214-4bb2583c4051.jpg)
WALAZIMIKA KUHAMA MAKAZI YAO KUKWEPA ADHA YA MAFURIKO
![](https://1.bp.blogspot.com/-6b9laouqld8/XnC8KlXDBZI/AAAAAAALkGU/tFSww_qmYawjOHg1_OnbkA5o0f-fMePUQCLcBGAsYHQ/s640/1ae65a55-94fe-4493-a214-4bb2583c4051.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-XDM9UiQK3iM/XnC8KiD395I/AAAAAAALkGQ/x7T5zYm9odwKgy5OII6q3lRXQuh8mA9OwCLcBGAsYHQ/s640/2b2707c1-5f87-4e52-bcfc-bf2fa3c79313.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-YU5o-UI9JpI/XnC8KXX19_I/AAAAAAALkGM/XRKJ_yKCFbYbv77gWSFv10FVPHgE8dUUgCLcBGAsYHQ/s640/858ceee9-9309-472b-bfd6-d7b1a2ae6d0c.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-chAZ7HpX8uc/XnC8LsAaeXI/AAAAAAALkGY/q_dQByrL3Jo1PNwe-mXHQzkaFyLcz8RBACLcBGAsYHQ/s640/ed46afd9-f099-4ed2-a876-7d9c8f1ce2fc.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Wazuru kiwanda cha kimea Moshi
VIONGOZI wa Vyama vya Ushirika mkoani Arusha, wamefanya ziara kiwanda cha kimea kinachomilikiwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), mjini Moshi mkoani Kilimanjaro na kuonesha kufurahishwa na namna kimea kinavyoandaliwa...
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Mgogoro Kiwanda cha kahawa Moshi wafukuta
9 years ago
StarTV02 Oct
Kiwanda cha China Papers Co-operation Ltd Moshi chafungwa
Baraza la Usimamizi wa Mazigira nchini NEMC limekifunga kiwanda cha China papers Co-operation Limited cha mjini Moshi mkoani Kilimanjaro kwa muda usiojulikana kutokana na kutokidhi vigezo vilivyowekwa na Serikali ikiwemo suala la usafi wa mazingira.
Miongoni mwa sababu zilizochangia kufungwa kiwanda hicho ambacho kinatengeneza Karatasi maalumu (Toilet Paper) ni pamoja na kuwepo kwa mazingira machafu hali ambayo inahatarisha afya za wafanyakazi na wakazi wanaoishi maeneo ya kuzunguka ...