Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wazuru kiwanda cha kimea Moshi

VIONGOZI wa Vyama vya Ushirika mkoani Arusha, wamefanya ziara kiwanda cha kimea kinachomilikiwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), mjini Moshi mkoani Kilimanjaro na kuonesha kufurahishwa na namna kimea kinavyoandaliwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WAKULIMA WA ZAO LA SHAYIRI WATEMBELEA KIWANDA CHA KIMEA CHA TBLMOSHI

 MENEJA wa Kiwanda cha Kimea - Moshi, Vitus Mhus akiwaonyesha hatua ya kwanza ya zao la Shayiri linalotumika kutengenezea kimea mahali linapopokelewa kabla ya kuanza kuingizwa kiwandani.Wakulima hao kutoka Vyama Nane vya Ushirika vya wilaya ya Karatu na Monduli mkoani Arusha walitembelea kiwandani hapo hapo juzi ili kujifunza na kujionea zao wanalolima linaandaliwa vipi hadi kutengeneza Kimea  wakulima wa zao la Shayiri kutoka Vyama Nane vya Ushirka vya wilaya ya Karatu na Monduli mkoani...

 

11 years ago

Mwananchi

Mgogoro Kiwanda cha kahawa Moshi wafukuta

Kiwanda cha Kukoboa Kahawa cha Tanganyika (TCCCO) kimeshikilia msimamo wake wa kuuza baadhi ya majengo yake ili kununua mitambo mipya na ya kisasa ya kukoboa kahawa.

 

10 years ago

Michuzi

WAKUU WA TAASISI ZA MAGEREZA KUTOKA NCHI ZA AFRIKA WATEMBELEA KIWANDA CHA VIATU CHA GEREZA KUU KARANGA MOSHI, MKOANI KILIMANJARO

 Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini Botswana, Silas Motlalekgosi akisalimiana na Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Magereza wa Mkoani Kilimanjaro alipotembelea Kiwanda cha Viatu cha Gereza Kuu Karanga Moshi leo Juni 25, 2015 akiwa na Viongozi Wakuu wa Taasisi za Urekebishaji/ Magereza kutoka Nchi za Swaziland, Uganda, Kenya, Zambia. Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini Swaziland, Isaya Ntshangase akisaini kitabu cha Wageni alipowasili katika Kiwanda cha Viatu cha Gereza Kuu Karanga, Moshi...

 

9 years ago

StarTV

Kiwanda cha China Papers Co-operation Ltd Moshi chafungwa

Baraza la Usimamizi wa Mazigira nchini NEMC limekifunga kiwanda cha China papers Co-operation Limited cha mjini Moshi mkoani Kilimanjaro kwa muda usiojulikana kutokana na kutokidhi vigezo vilivyowekwa na Serikali ikiwemo suala la usafi wa mazingira.

Miongoni mwa sababu zilizochangia kufungwa kiwanda hicho ambacho kinatengeneza  Karatasi maalumu (Toilet Paper) ni pamoja na kuwepo kwa mazingira machafu hali ambayo inahatarisha afya za wafanyakazi na wakazi wanaoishi maeneo ya kuzunguka ...

 

11 years ago

Michuzi

KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA NCHINI NAMIBIA ATEMBELEA KIWANDA CHA VIATU GEREZA KARANGA MOSHI, MKOANI KILIMANJARO

Kamishna wa Magereza Nchini Namibia, Raphael Tuhaferi(suti nyeusi) akisalimiana na Maafisa Waandamizi wa Magereza Mkoani Kilimanjaro alipotembelea Kiwanda cha Viatu, Gereza Kuu Karanga Moshi, Juni 21, 2014 Mkoani Kilimanjaro. Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini Namibia, Raphael Tuhaferi(suti nyeusi) akiteta jambo na Kamishna wa Sheria na Uendeshaji wa Magereza, Dkt. Juma Malewa(vazi la drafti) alipotembelea Kiwanda cha Viatu, Gereza Kuu Karanga Moshi, Juni 21, 2014. Wengine ni Maafisa...

 

10 years ago

Mtanzania

Mafuriko yaharibu kiwanda, makazi Moshi

NA RODRICK MUSHI, MOSHI
ZAIDI ya kaya 700 katika Kata ya Arusha Chini TPC, Wilaya ya Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro, hazina makazi baada ya nyumba zao kuharibiwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa iliyonyesha juzi.
Pamoja na madhara hayo kwa wananchi, pia mafuriko hayo yameharibu miundombinu ya Kiwanda cha Sukari cha TPC, taasisi mbalimbali pamoja na mashamba ya mazao ya chakula.

Taarifa hiyo ilitolewa jana na Ofisa Mtendaji na Utawala wa Kiwanda cha TPC, Jaffari Ally, alipokuwa akitoa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mafuriko Moshi yazingira vijiji saba, kiwanda

>Vijiji saba pamoja na Kiwanda cha Sukari cha TPC Ltd katika Wilaya ya Moshi, vimezingirwa na maji kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua za masika zinazoendelea kunyesha mkoani Kilimanjaro.

 

10 years ago

Michuzi

PINDA AONGOZA KIKAO CHA KUTATUA MGOGORO WA KIWANDA CHA CHAI CHA LUPONDE

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na   Ali Juma Mkangala ,mmoja washiriki wa Mkutano wa Kutatua mgogoro wa kiwanda cha chai cha Liponda kilichopo Bumbuli Tanga. Mkutano huo ulifanyika kwenye ukumbi wa Ofisi  ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga Septemba  13, 2014.Mbunge wa Mlalo, Brigedia Jenerali Mstaafu, Hassan Ngwilizi (kushoto) na Mbunge wa  Bumbuli , Januari Makamba (kulia) wakiteta na Waziri wa Kilimo , Chakula na Ushiriki Mhandisi Christopher  Chiza katika mkutano wa kutatua mgogoro wa kiwanda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani