NEWS ALERT: MAGARI YAKWAMA ENEO LA HEDARU BAADA YA MVUA KUBWA KUNYESHA NA KUZUIA BARABARA

Baadhi ya wasafiri waliokwama wakiangalia greda inayojaribu kutengeneza njia ili waweze kupita.
Wasafiri wakiwa wamekwama eneo la hedaru
Maroli na mabasi yakiwa kwenye foleni baada ya njia kuzibwa na mafuriko ya maji
Wakandarasi wakijadiliana jambo ili kuweza kupata ufumbuzi
Umati wa wasafiri wakiwa wanashangaa jinsi barabara ilivyozuiwa na maji
Hii ndio hali halisi inavyoonekana malori yakiwa yamekwama katikati ya barabara
Magari zaidi ya 300 yamekwama mda huu eneo la hedaru...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
MAGARI ZAIDI YA 3000 YAKWAMA HEDARU KUTOKANA NA MVUA
10 years ago
GPLHALI ILIVYOKUWA ENEO LA SINZA-AFRIKA SANA BAADA YA KUNYESHA MVUA KUBWA JANA
11 years ago
GPL
MAGARI YAKWAMA DARAJA LA RUVU KUTOKANA NA MVUA KUBWA ZINAZONYESHA
9 years ago
Michuzi
11 years ago
GPLMAGARI ZAIDI YA MIA YAKWAMA ENEO LA MANZESE BARABARA YA DAR ES SALAAM MTWARA
11 years ago
Dewji Blog06 May
Magari zaidi ya 100 yakwama eneo la Manzese barabara ya Dar Es Salaam Mtwara
Malori na Mabasi yakiwa kwenye msururu mrefu mara baada ya kushindwa kuendelea na safari kwa takribani masaa zaidi ya nane katika eneo la Manzese lililopo Kilwa barabara ya Dar Es salaam kuelekea Mtwara hapo jana kutokana na eneo hilo kuharibiwa vibaya na mvua zinazoendelea kunyesha na kupelekea magari zaidi ya mia kukwama.
Baadhi ya wasafiri kwenye mabasi yaendayo Dar Es Salaam kutoka Mtwara, Lindi na Kilwa na yale yatokayo Jijini Dar Es Salaam kuekelea mikoa ya Kusini wakiwa wamesimama...
11 years ago
GPL
HALI ILIVYO ENEO LA JANGWANI BAADA YA MVUA KUNYESHA JIJINI DAR