Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAGARI ZAIDI YA MIA YAKWAMA ENEO LA MANZESE BARABARA YA DAR ES SALAAM MTWARA

 Malori na Mabasi yakiwa kwenye msururu mrefu mara baada ya kushindwa kuendelea na safari kwa takribani masaa zaidi ya nane katika eneo la Manzese lililopo Kilwa barabara ya Dar Es salaam kuelekea Mtwara hapo jana kutokana na eneo hilo kuharibiwa vibaya na mvua zinazoendelea kunyesha na kupelekea magari zaidi ya mia kukwama  Baadhi ya wasafiri kwenye mabasi yaendayo Dar Es Salaam kutoka Mtwara, Lindi na Kilwa na yale...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Magari zaidi ya 100 yakwama eneo la Manzese barabara ya Dar Es Salaam Mtwara

unnamed

Malori na Mabasi yakiwa kwenye msururu mrefu mara baada ya kushindwa kuendelea na safari kwa takribani masaa zaidi ya nane katika eneo la Manzese lililopo Kilwa barabara ya Dar Es salaam kuelekea Mtwara hapo jana kutokana na eneo hilo kuharibiwa vibaya na mvua zinazoendelea kunyesha na kupelekea magari zaidi ya mia kukwama.

unnamed (1)

Baadhi ya wasafiri kwenye mabasi yaendayo Dar Es Salaam kutoka Mtwara, Lindi na Kilwa na yale yatokayo Jijini Dar Es Salaam kuekelea mikoa ya Kusini wakiwa wamesimama...

 

11 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: MAGARI YAKWAMA ENEO LA HEDARU BAADA YA MVUA KUBWA KUNYESHA NA KUZUIA BARABARA

 Baadhi ya wasafiri waliokwama wakiangalia greda inayojaribu kutengeneza njia ili waweze kupita.  Wasafiri wakiwa wamekwama eneo la hedaru  Maroli na mabasi yakiwa kwenye foleni baada ya njia kuzibwa na mafuriko ya maji  Wakandarasi wakijadiliana jambo ili kuweza kupata ufumbuzi  Umati wa wasafiri wakiwa wanashangaa jinsi barabara ilivyozuiwa na maji Hii ndio hali halisi inavyoonekana malori yakiwa yamekwama katikati ya barabara Magari zaidi ya 300 yamekwama mda huu eneo la hedaru...

 

11 years ago

Michuzi

BARABARA ZAIDI ZA KUPUNGUZA MSONGAMANO WA MAGARI KUENDELEA KUJENGWA JIJINI DAR

Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli (aliyenyoosha mikono) akitoa taarifa kuhusu maendeleo ya utekelezaji wa ujenzi wa barabara za kupunguza msongamano katika jiji la Dar es Salaam wakati alipokutana na Kamati ya Bunge ya Miundombinu. Kulia kwa Waziri Magufuli ni Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi Eng. Gerson Lwenge na anayefuata ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Joseph Nyamhanga. Kushoto kwa Waziri ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu Mhe. Peter Serukamba na...

 

11 years ago

GPL

MAGARI ZAIDI YA 3000 YAKWAMA HEDARU KUTOKANA NA MVUA

Baadhi ya wasafiri waliokwama wakiangalia greda inayojaribu kutengeneza njia ili waweze kupita.  Wasafiri wakiwa wamekwama eneo la Hedaru.…

 

11 years ago

GPL

HII IMETOKEA MCHANA HUU ENEO LA MANZESE DARAJANI JIJINI DAR

AJALI hii imetokea mchana huu eneo la Manzese Darajani jirani na kituo cha Polisi Manzese jijini Dar es Salaam. (PICHA NA MDAU WA GPL,…

 

11 years ago

Mwananchi

Ajali yaua, magari yakwama kwa saa tatu Dar- Moro

 Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 14 kujeruhiwa baada ya basi dogo kugongana uso kwa uso na lori katika eneo la Bwawani Barabara ya Chalinze - Morogoro.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani